Dkisaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2018
- 623
- 1,809
Si ndio. Na hii ndo potential yake ya Kula pension akiwa kijana. Ningekua huyu mwamba ningeendelea kujifanya zwazwa nichukue ushahidi wa kutosha then ni vunje champagne š¾ kabla ya kuanza kaziMpaka anachezewa hivyo maana yake wamemuona hayuko smart,hiki anacho mshauri ndio anaweza kufanya?