Mgaa gaa upwa
Senior Member
- Jan 11, 2024
- 180
- 281
- Thread starter
- #41
Asante kwa faraja, Ila inabidi nipitie mapito magumu yasiyokwepeka jitahidi.Aisee polee sana. Usijali mkuu, utapata suluhu juu ya changamoto yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa faraja, Ila inabidi nipitie mapito magumu yasiyokwepeka jitahidi.Aisee polee sana. Usijali mkuu, utapata suluhu juu ya changamoto yako.
Unamkumbuka kuna mfanyabiashara fulani pale kariakoo alikuwa na kesi na TRA? Alitumia media mwisho wa siku hamna alichokipata.Ili alipwe fidia bila story nyingi. Lazima malalamiko yake yawe live social media . Hii itaipa uzito hii kesi na NMB watafanya kila wanaloweza kuclear mambo.
Alikurupuka. Taasisi za Benk ziko very sensitive kurespond malalamiko yoyote dhidi Yao especially Yale amboyo yako public (social media)Unamkumbuka kuna mfanyabiashara fulani pale kariakoo alikuwa na kesi na TRA? Alitumia media mwisho wa siku hamna alichokipata.
Naunga mkono.Alikurupuka. Taasisi za Benk ziko very sensitive kurespond malalamiko yoyote dhidi Yao especially Yale amboyo yako public (social media)
Why ? : Msingi wa Mafanikio ya bank yanatokana na reputation.
Hii ni Golden Chance kwa huyu mwamba.
Ni ngumu Sana kununua clip ambayo inatrend Tiktok au Twitter ukizingatia ushahidi wote utakua ndani ya videoNaunga mkono.
Ila hao social media hawatonunuliwa?
Upo mkoa ganUngenisaidia Mambo mawili.
1:- Niweze kumfahamu aliyekuwa mwanasheria wao.
2:-Kufahamu zaidi kuhusu kesi hiyo tafadhari.
Pole sana mkuu, mi ni crdb nimepigwa pin mpaka leo na wamedai account iko dissabled🥲..1:-Akaunti yangu ikafungiwa na kiasi changu Cha fedha zangu za akiba, matumizi binafsi na mkopo wenyewe zikafungiwa.
Nenda FCC ,wana dirisha la Consumer protection .nazani ni suluhisho na wana wanasheria watakusaidia .Poleni na majukumu ya Kila siku.
Mwezi wa tano nilimfungulia biashara ya uwakala mke wangu, nikajenga duka na lilipokamilika nikawa nimebakiwa na fedha kidogo Kama mtaji, baada ya biashara kuanza nikaona Umuhimu wa kupanua biashara.
Nikawahi Benki ya NMB na kupata mkopo wa fedha kidogo ili kukuza biashara nilichukua kidogo ili kuendana na upepo.
Upepo ukakubali hivyo nikaamua kuongeza mkopo (top up).
Hilo lilikuwa kosa kubwa kwani Mara baada ya fedha za top up kuingia tu matatizo yakaanza..
1:-Akaunti yangu ikafungiwa na kiasi changu Cha fedha zangu za akiba, matumizi binafsi na mkopo wenyewe zikafungiwa.
2:- Nikaanza kukatwa mkopo Mara mbili yaani nakatwa mkopo wa Kwanza ule mdogo nilioulipa (kwenye top up) na mkopo wa pili (mkopo mkuu uliobeba Deni lote) nakatwa pia.
3:- Mkopo wa Kwanza haujafutwa (Maana nimeulipia kwenye top up)
Nimefuatilia Sana tatizo langu hapa tawini Hadi branch manager akanichukia na kuanza kunitisha kuwa atanishtaki kwa mkurugenzi ili nifukuzwe kazi.
Nikaamua kuingia kwenye emails (NMB makao makuu,huduma kwa wateja na BOT huduma kwa wateja) nikatembelea tawi la NMB mkoani Ila tatizo lipo pale pale.
Kuanzia mwezi wa Tisa Hadi mwezi wa kumi na mbili bado namekatwa makato zaidi na fedha zangu zimezuiliwa.
Msaada wanajf maana mwaka unaelekea ukingoni na Mimi sijatimiza adhima ya kumuwezesha mke.
Nitumie mbinu gani, watu gani na njia gani kuchukua pesa zangu.
Nimeweka ushahidi wa emails hapo chini.
Mbona kuna kesi nyingi banks kama NMB zinashindwa tu? usimuogopeshe .fuatilia kesi nyingi tu tena advocates wadogo wanashinda .Hilo ndilo tatizo
(NMB Wana wanasheria pia wakubwa tu).
Na tena nimeshuhudia mtu akinyimwa haki yake zaidi ya miaka 30, napata Shaka kuu.
Ila penye Nia Pana njia ngoja niwacheki wanasheria Kwanza.
Asante kwa ushauri....inabidi kujipanga haswa kuhusu gharama za kesi.Mbona kuna kesi nyingi banks kama NMB zinashindwa tu? usimuogopeshe .fuatilia kesi nyingi tu tena advocates wadogo wanashinda .
Kama ni Haki yako Mungu atakuongoza
Uliza chochote kama unahisi nakudanganya nitakujibu.Nenda FCC ,wana dirisha la Consumer protection .nazani ni suluhisho na wana wanasheria watakusaidia .
Lakini bado hujashindwa ,NMB wenyewe watakusaidia ongea na credit manager wa HQ .
lakini kuna kitu haujatuambia kama unaficha .hawawezi fanya hivo tu bila taratibu ,labda kuna udanganyifu ulifanya tupe maelezo mazuri
Pole Sana Ila yangu ipo active na ninafanyiwa dhurma hiyo.Pole sana mkuu, mi ni crdb nimepigwa pin mpaka leo na wamedai account iko dissabled🥲..
Mwaka wa 3 huu,sijui nani katuloga.
Mtwara.Upo mkoa gan
Naomba email yake nimuandikie maana Nina uhakika Sina tatizo na mtu ndiyo maana nimeamua kujishusha ili nipate haki yangu.Lazima hapa kuna kitu hakiko sawa eidha kwa upande wa benki au upande wako. Kama huna au hujawahi kuwa na tatizo lolote na hiyo benki na marejesho ya mkopo wao ulikuwa unalipa kwa wakati bila kupitiliza muda wa malipo nakushauri umwandikie yule CEO wao atakusaidia. Ni mama mwelewa sana atakupa nushirikiano mzuri tu