Ninawiwa kusema huyu MC Gara B anapendwa mno na hawa wanawake!

Ninawiwa kusema huyu MC Gara B anapendwa mno na hawa wanawake!

Wanawake wanapenda yale yanayoonekana kupendwa na wanawake wenzao. Hilo huwezi pingana nalo, kausha.

Fanya hatua nawe upendwe na wanawake wengine ili attention ya mkeo irudi kwako. Tafuta pesa, jenga mwili, vaa vizuri, ongeza kujiamini, kuwa mwanaume.
 
Hivi wanawake wanawatesaje hivi?
Vijana wa siku hizi mazuzu na uanaume wao unakuwa na walakin sana, mambo ya kipuuzi kabisa lakini eti wanayaona ya kawaida.
Mkeo anatoa wapi ujasiri wa kukwambia upuuzi, tuna vijana wa hovyo sana.
 
Leo hakuna cha salamu, nimeshaona kwa wanawake zaidi ya wanne wa jamaa zangu wakiwalazimisha waume zao kuwa liwalo na liwe kwenye events zao Mc ni lazima awe GaraB.

Sio mbaya, jamaa yupo vizuri na anafanya kazi nzuri. Napongeza kwa hilo. Shida ni hawa wake zetu hususani huyu wangu, karibu kila event ya GaraB anang'ang'ania kwenda.

Linaweza kuwa jambo zuri, ila kama mwanaume nasononeka mno kwa wife kuonesha kuvutiwa na events za jamaa japo ni jambo zuri!

Ila nimeongeza umakini na uangalifu kwa mke wangu kipindi hiki cha ujauzito wake, kuhusu mambo yake ya kuvutiwa na huyu MC.

Yaani kazini karibia wadada wote wanaonesha kumkubali mno GaraB mpaka wengine wanakiri kuwa tayari hata awafanye mipango ya kando tu.

Daaah! Hasara na pole kubwa kwa waume zao.
Huu ujinga wa watu kujipigia promo siku hiz umekithir sana humu jf.
 
Ko wee Gara B ndo umekuja kujipigia promo hapa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom