Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

Nani alikuambia na Kukudanganya kuwa hakuwa na ' Rivals ' hao Mkuu? Uchawi wake na Kinga za Waganga wake toka Nigeria umemlinda sana.

Uchawi humfanya mtu kuwa kama zombie. Haujawahi kumpa msaada mtu yoyote. Leo imekuwa siku mbaya sana kwake maana duuh
 
Haiwezi tokea
Inawezekana Mkuu, This is the Matter of Probability; Mie nimewaza the same kwenye Criteria hizi
1. Kama Magu anamaanisha Amemaanisha Alichokisema, ina maana anaweza Akakatwa jina.
2. Inawezekana kwa mambo aliyofanya, Huenda pia Asipate kura nyingi sana za kutosha.

Nawaza tu kwamba huenda kwenye Awamu ya kwanza kulikuwa na Siri ambayo mzee hakutaka isanuke, mpaka atakapojihakikishia awamu zake zote mbili; Sasa kama hii ni uhakika, inawezekana yuko tayari kwa lolote lile; yaana hata akimmwaga ahana tena madhara, maana Adhma yake/msaada alioupata kwa mwanae (kama upo) utakuwa umeshatimia tayari.
 
Leo mmekuwa washaur wema kisa kautema, mnapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Banned sio burned

Vaa barakoa
I say wewe mtu wa kukariri. Najua maana ya banned, ila nilikuw nataka kusema burned. Labda kwa taarifa yako, japo umetaka kuonyesha unajua zaidi yangu, neno "burned" linatumika kwa mtu ambaye alikuwa anafanya kazi kwa kificho "undercover" na akawa exposed juu ya kazi yake halisi. Askari kanzu au shushushu (spy) wa kutojionyesha anapogundulika na watu kuwa ni askari au shushushu tunasema amekuwa "burned".

Kwa hiyo huko ulikoenda wewe wala siko niliko mimi.
 
kupanga ni kuchagua yeye kaona zaid kwenye ubunge ana ki2 cha kuprove zaid ya ukuu wa mkoa kwo tusubur jins itakavokuw baad ya uchaguz mud utaongea
 
Acha kunifokea wakati haujavaa barakoa.
 
Makonda makonda makondaaaaaaaaaaaaa

CC Zero IQ
 
Hana akili
 
Ubunge bro hauna pressure halafu pesa nyingi.
 
Kweli kabisa mkuu DeepPond ijapokuwa umeadimika sana kwenye lile jukwaa letu. Inawezekana alishapiga hela za kutosha, hivyo ameamua kutoka kiaina kwani huko aendako uwezakano wa kupigwa panga ni mkubwa sana. Kumbuka siasa za nchi hii hazitabiriki.
Bado nipo mkuu, ila MIKEKA uwa natandaza kimya kimya.

KWENYE Uzi wetu huwa napita mara kwa Mara kusoma TU comments.

Ila soon huu msimu unaoanza ntarejea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…