Ningekuwa mimi ndio Waziri wa Michezo ningejikita kujenga vyuo vya mpira wa miguu vitakavyo simamiwa na Taifa stars

Ningekuwa mimi ndio Waziri wa Michezo ningejikita kujenga vyuo vya mpira wa miguu vitakavyo simamiwa na Taifa stars

Mkuu unaonaje kwenye thread yako kila ulipotumia neno vyuo ikasomeka neno "academies" au mm ndo sijakuelewa?
 
Jamii forum ni mtandao usioonyesha jinsia za watumiaji. Kuwa makini na content unazo weka kwenye mtandao huu.
 
Kwanza kabisa mikakati yangu ingekua ni kuifanya Taifa starts ijitegemee kwa kujiingizia kipato chake yenyewe.

Ningefanyeje kufanikisha hilo ningeomba bajeti kwaajili ya Taifa stars ijenge vyuo vya mpira wa miguu kila wilaya. Vyuo vitakavyo fundisha soka kwa watoto wadogo hadi vijana wa miaka 18. Walimu watakao fundisha soka wangetoka nchi za nje na wengine wangetoka Taifa stars.

Mapato ya ada zitakazo lipwa na wanafunzi yangeingi moja kwa moja kwenye mfuko wa taifa stars.

Vijana wakisha kuhitimu masomo ya nadharia na vitendo wangeuzwa moja kwenye vilabu vya mpira wa miguu vya ndani na nje ya nchi na mapato yote yangeingia moja kwa moja kwenye mfuko wa Taifa Stars.

Ningeiwezesha taifa stars kwa kuajiri wahandisi wanamichezo watakao husika na kujenga miundombinu yote ya michezo ikiwemo viwanja, shule na vyuo. Miradi yote ya ujenzi wa miundombinu ya mpira wa miguu ingepitia kwanza Taifa Stars.

Kupitia hivyo ingechukua miaka 20 tu kukuza mpira wa miguu kwa wachezaji wa ndani nchini.

very positive and costructive idea...
 
Kwanza kabisa mikakati yangu ingekua ni kuifanya Taifa starts ijitegemee kwa kujiingizia kipato chake yenyewe.

Ningefanyeje kufanikisha hilo ningeomba bajeti kwaajili ya Taifa stars ijenge vyuo (Football academies) vya mpira wa miguu kila wilaya. Vyuo vitakavyo fundisha soka kwa watoto wadogo hadi vijana wa miaka 18. Walimu watakao fundisha soka wangetoka nchi za nje na wengine wangetoka Taifa stars.

Mapato ya ada zitakazo lipwa na wanafunzi yangeingia moja kwa moja kwenye mfuko wa taifa stars.

Vijana wakisha kuhitimu masomo ya nadharia na vitendo wangeuzwa moja kwa moja kwenye vilabu vya mpira wa miguu vya ndani na nje ya nchi na mapato yote yangeingia moja kwa moja kwenye mfuko wa Taifa Stars.

Ningeiwezesha taifa stars kwa kuajiri wahandisi wanamichezo watakao husika na kujenga miundombinu yote ya michezo ikiwemo viwanja vya mpira wa miguu, shule za michezo na vyuo vyuo vya michezo (Football Academies). Miradi yote ya ujenzi wa miundombinu ya mpira wa miguu ingepitia kwanza Taifa Stars ndipo ujenzi uendelee.

Kupitia hivyo ingechukua miaka 20 tu kukuza mpira wa miguu kwa wachezaji wa ndani nchini. Vipaji vyote vya mpira wa miguu vilivyopo vijijini na mijini vingesajiliwa kusoma vyuo vilivyojengwa na Taifa Stars kwa ufadhili wa wizara.

Eti kusimamiwa na Taifa Stars 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom