Nini adhabu ya timu ngeni kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho?

Nini adhabu ya timu ngeni kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho?

Wajinga ni wale waliogoma kupeleka timu uwanjani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
Bodi ya ligi ya Egypt imenyooka kama rula; hii ya kwetu ni mwenza na Simba
 
Hawa mbumbumbu walitafuta tu kisingizio cha kuingia mitini baada ya kuhisi uwezekano mkubwa wa kuangushiwa mvua ya magoli.
walimwangaliaaaaaaaaaaaaa KATOLO, wakamwambia usitutanieee hii mbugi hutaiweza.
 
Back
Top Bottom