kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Mar 12, 2025 Thread starter #21 hydroxo said: Wajinga ni wale waliogoma kupeleka timu uwanjani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Click to expand... Bodi ya ligi ya Egypt imenyooka kama rula; hii ya kwetu ni mwenza na Simba
hydroxo said: Wajinga ni wale waliogoma kupeleka timu uwanjani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu. Click to expand... Bodi ya ligi ya Egypt imenyooka kama rula; hii ya kwetu ni mwenza na Simba
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Mar 12, 2025 Thread starter #22 Tate Mkuu said: Hawa mbumbumbu walitafuta tu kisingizio cha kuingia mitini baada ya kuhisi uwezekano mkubwa wa kuangushiwa mvua ya magoli. Click to expand... walimwangaliaaaaaaaaaaaaa KATOLO, wakamwambia usitutanieee hii mbugi hutaiweza.
Tate Mkuu said: Hawa mbumbumbu walitafuta tu kisingizio cha kuingia mitini baada ya kuhisi uwezekano mkubwa wa kuangushiwa mvua ya magoli. Click to expand... walimwangaliaaaaaaaaaaaaa KATOLO, wakamwambia usitutanieee hii mbugi hutaiweza.