Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Tatizo Ni Nini?
Nipo Dodoma, Ilazo hapa, naomba nikuone bibie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Ni Nini?
Nakuja...Nipo Dodoma, Ilazo hapa, naomba nikuone bibie
Nakuja...
Kinaitwa Kamo mphela, nakipenda sana mkuu, sijui kwanini ila I love everything about that girl!Chanzo ni kile kidem kilichoimba na Sho Majozi kinachojifanya kinyamwezi sana [emoji23]
Haha!Mimi nikiona demu kavaa heren 3 sikio moja nampenda hapo hapo
Kutoboa maisha inatosha kabisa..vingine kutoboa ni mbwembwe tukatika vitu vilivyonishinda kutoboa ni pua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama appearance, posture yaani formality yako inaendana na kama uliyemuweka kwa Avatar yako toboa pua you will be the one ukifuatisha midomo ya mibongo dunia haiendi.
Nampenda sana mwanamke awe mwembamba awake kipini.
Hivi mwanamke awe mwembamba, avae nguo loose nyepesi kama kijora, nywele kafumua alafu ana kipini uwe nae room unasahau kama kuna ugumu wa maisha.
Ukishaona mwanamke ana hivi vitu, basi jaribu kukwepa, na wala usitamani kuja kuoa.
1. Tatoo.
2. Kutoboa pua.
3. Kutoboa masikio matundu mengi.
4. Kikuku.
Usiniulize kwa nini, huwa ipo hivyo tu, na jamii hutambua hivyo.
Kwa uchunguzi wangu binafsi, niligundua wengi wa hao wanawake huwa na mojawapo ya hizi tabia ama waliwahi kuwa na mojawapo ya hizi tabia hapa chini;
- Ngono holela ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.
- Wameshapigwa miti sana na watu tofauti tofauti ikiwemo wahuni.
- Ni rahisi kutongozwa na kukubali.
- Hawawezi kutosheka kimapenzi (wana wapenzi wengi, kila mitindo ya kingono huwa wameipitia au wanatamani kuipitia)
- Wana tabia nyingi za kihuni ambazo hazikubaliki kijamii hususani kwa mwanamke.
Hapana kwa kweli lol, [emoji3][emoji3][emoji3]Serious mdogo wangu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe katoboe tukuvishe nishani ya ushangingi.