Nini chanzo cha ongezeko la wanawake wanaotoboa pua na kuvaa vipini?

Nini chanzo cha ongezeko la wanawake wanaotoboa pua na kuvaa vipini?

Mwaka jana tu hapo na midevu yangu nlipeleka CV zangu agakhan, nkapishana na Hr mmoja white kama brown hivi, mrefu kidgo japo nimemzidi urefu, kavaa heels na suruali nyeusi na kikoti cha kijani, ana shepu kali sana alafu katoboa pua na kichwani ana ushungi, kdgo nichane CV zangu nichukue namba!!! she was soo cool,!!!

kiuhalisia baadhi yao they turn me on!! ila kwa wembamba na weusi hua siwakubali,.. mi pia sielewi

NB; I do not stand to be corrected, or judged!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoga pua kwa mikoa ya Pwani ipo sana au kutoga masikio zaidi ya maramoja ingawa wanawake wa aina hiyo ni mara chache kukuta wanajiamini kimahusiano...

Mostly ni wenye elimu ya msingi au hawajui kusoma wala kuandika.... Wepesi kushawishiwa easy target kwenye kuliwa papuchi... Sample study 23 Dar, 30 Tanga 5 Mafia 2 Chalinze, 7 Mtwara and 9 Tabora

I will be back to those who have tatoo, wearing vikukuu, cutting Kiduku, hair breach and mkorogo.
 
Na wewe katoboe tukuvishe nishani ya ushangingi.
 
Kwetu tanga wanawake kutoboa pua n km asili hivi, mabint wanatobolewa mapema sana na sio umalaya, tanga ukimkuta mdigo hana tundu la pua ni kwa uchache sna... Au uende sehem inaitwa Tangamano siku ya Soko utaangalia vipini vya mabinti mpk uchoke
 
Hua ni Sahara kua na Tobo la nyuma limetobolewa....kwahiyo ujue mapema naee pendaaMatobooo ...me kwa uzooefu wangu mademu wote waliotoboa pua 90%wanaenda kwa Mpalange.....me hua xilembi nyambafuuuuuu

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuwa na mwanafunzi mmoja wa kiume aliyekuwa ametoboa pua na masikio na kuwepa vipini, halafu mikono ilikuwa imejaa tatoo kila sehemu; nilikuwa na negative attitude kuhusu tabia zake. Lakini baadaye nikabadilka kwani darasani kuwa anapaua sana hadi akawa best student kwenye somo langu. Kuna mambo ambayo watu wanafanya yasioyopendeza mbele ya jamii lakini siyo kuwa watu hao ni wajinga au wana tabia mbaya.
 
Kama appearance, posture yaani formality yako inaendana na kama uliyemuweka kwa Avatar yako toboa pua you will be the one ukifuatisha midomo ya mibongo dunia haiendi.

Nampenda sana mwanamke awe mwembamba awake kipini.

Hivi mwanamke awe mwembamba, avae nguo loose nyepesi kama kijora, nywele kafumua alafu ana kipini uwe nae room unasahau kama kuna ugumu wa maisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukishaona mwanamke ana hivi vitu, basi jaribu kukwepa, na wala usitamani kuja kuoa.
1. Tatoo.
2. Kutoboa pua.
3. Kutoboa masikio matundu mengi.
4. Kikuku.

Usiniulize kwa nini, huwa ipo hivyo tu, na jamii hutambua hivyo.

Kwa uchunguzi wangu binafsi, niligundua wengi wa hao wanawake huwa na mojawapo ya hizi tabia ama waliwahi kuwa na mojawapo ya hizi tabia hapa chini;
  • Ngono holela ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.
  • Wameshapigwa miti sana na watu tofauti tofauti ikiwemo wahuni.
  • Ni rahisi kutongozwa na kukubali.
  • Hawawezi kutosheka kimapenzi (wana wapenzi wengi, kila mitindo ya kingono huwa wameipitia au wanatamani kuipitia)
  • Wana tabia nyingi za kihuni ambazo hazikubaliki kijamii hususani kwa mwanamke.

Hao ndio wanawake ninaowasaka mimi, viwango vyao ni vya kucheza mashindano ya ubingwa ulaya kabisa. inavyopigwa wao wanaicheza, mimi hela huwa nawapa tu bila ya kusitasita.
 
Back
Top Bottom