Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Mmi,ninefanya tafiti sana juu ya chanzo cha ushoga kwa wanaume lakini mpaka ssa hivi hakuna ushaidi wa kisayansi kwamba mtu anazaliwa na hali hiyo ila nitabia2 mtu Inatengenezwa na lifestyle ya Jamii inayomzunguka,nikimaliza research nitatoa kitabu changu watu wajue namna ya kulea watoto wao wa kiume iliwasijekuwa mashoga,coz hiyo hali ni psychology problems!!

ushaid upo mkuu wapo wanaozaliwa na hormone za kike kilifika kipind cha barehe kipindi ambacho wanatakiwa wachague side wao huchagua upande wa kike


CHANZO CHA USHOGA

1.kuzaliwa ukiwa na hormon nyingi za kike kuliko za kiume

2.bacteria kuoza na kuwasha baada ya kumwagia shahawa.muwasho hutengeneza tabia ya kupenda kusunguliwa kila unaitaji
 
2.bacteria kuoza na kuwasha baada ya kumwagia shahawa.muwasho hutengeneza tabia ya kupenda kusunguliwa kila unaitaji

hii noma..ndo mana wakianza wananogewa??dah
 
Kuwa shoga ni Ulimbukeni tu huo, au ndo mnataka kujua raha tunayopata wakati wa kutiwa?
 
ushaid upo mkuu wapo wanaozaliwa na hormone za kike kilifika kipind cha barehe kipindi ambacho wanatakiwa wachague side wao huchagua upande wa kike


CHANZO CHA USHOGA

1.kuzaliwa ukiwa na hormon nyingi za kike kuliko za kiume

2.bacteria kuoza na kuwasha baada ya kumwagia shahawa.muwasho hutengeneza tabia ya kupenda kusunguliwa kila unaitaji

Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!
 
Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!
Ungetoa hata utangulizi tu wa hicho kitabu chako.
Post yako imenipa relief kidogo, lkn huoni mvulana akizaliwa na hormone nyingi za kike anaweza akajenga hisia za mapenzi na wavulana wenzie kama binti anavyokuwa na hisia kwa wavulana? Sasa labda swali linakuwa kwa nabasha je nao wanakuwa na hormone za kike zaidi? Au ni preference tu kwamba wanaamua kuwa attracted na wavulana baada ya kukaa sana boarding school ambapo walikuwa hawana option.

Kweli kuna maswali mengi sana kwenye hili swala. Lkn kitu ninacho uhakika nacho ni devil's hand in it. Na ninachoamini ni mazingira na addiction zaidi ya hormone kama ambavyo umeelezea wewe
 
Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!

Kabisa mkuu upo sahihi me kuna ndugu yangu ana hormones za kike ila anagegeda wadada balaa sema ndio hivyo ukiwa unaongea nae unaweza sema bwabwa ila duuh anawaliza wadada wa watu mpaka kero
 
Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!

baada ya hoemone kudevelop wakati wa balahe anajikuta anapenda kila kitu kuhusu kua msichana na yeye anajikuta anapenda kua na boyfriend.hapo ndio mwanzo wa ugay.
 
Sasa kama huyu alikosa upungufu wa testosterone si atafute supplements za kuongeza hormones zake arudi kama Kawa

Ndiposa unatakiwa kujishughulisha na yanayo kuhusu tu!(private )...kwa sababu huwezi kuwaamulia wenzako jisni watakavyo ishi,kula au hata kuvaa...its their choice to take drugs or not ..pia hizo hormones zina madhara yake mengi tu!
 
Museveni aliwaita wanasayansi na watafiti wampe majibu wakaja na conclusion kuwa ushoga ni tabia ya mtu na haihusiani na kuzaliwa nayo
 
Back
Top Bottom