Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofcoz wala me coni problem yoyote
Mmi,ninefanya tafiti sana juu ya chanzo cha ushoga kwa wanaume lakini mpaka ssa hivi hakuna ushaidi wa kisayansi kwamba mtu anazaliwa na hali hiyo ila nitabia2 mtu Inatengenezwa na lifestyle ya Jamii inayomzunguka,nikimaliza research nitatoa kitabu changu watu wajue namna ya kulea watoto wao wa kiume iliwasijekuwa mashoga,coz hiyo hali ni psychology problems!!
wewe ni me au ke?
Unamaana katiba ya tz inaruhusu ushoga? Je nikifungu gani hicho?
Wengi Wana upungufu wa hormones za kiume '' testosterone.''
Ofcoz wala me coni problem yoyote
2.bacteria kuoza na kuwasha baada ya kumwagia shahawa.muwasho hutengeneza tabia ya kupenda kusunguliwa kila unaitaji
ushaid upo mkuu wapo wanaozaliwa na hormone za kike kilifika kipind cha barehe kipindi ambacho wanatakiwa wachague side wao huchagua upande wa kike
CHANZO CHA USHOGA
1.kuzaliwa ukiwa na hormon nyingi za kike kuliko za kiume
2.bacteria kuoza na kuwasha baada ya kumwagia shahawa.muwasho hutengeneza tabia ya kupenda kusunguliwa kila unaitaji
wanataka kuhongwa kama tunavyo hongwa
Ungetoa hata utangulizi tu wa hicho kitabu chako.Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!
Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!
Mkuu,hizo hormones za kike ni zipi anazozaliwa nazo shoga naomba uzitaje?,pili hizo hormones zinamahusiano gani na yeye kupenda kuingiliwa kinyume na maumbile?,kama issue ni hormones za kike mbona wanawake wengi hawapendi kuingiliwa kinyume na maumbile?,ninachofahamu kama ikitokea mtoto wa kiume ana hormones za kike madhara yake ni kuwa na sauti ya kike,body language kama mwanamke na kuwa muogamuoga but hizo tabia zote hazihusiani na kuingiliwa kinyume na maumbile coz anaweza akawa anatabia hizo lakini bado ni mwanaume kamili,anahisia za kugegeda wanawake kama kawaida,narudia tena mkuu hakuna ushaidi wa kisayansi unaothibitisha kuwa mashoga wanazaliwa,ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya addiction kama kuvuta sigara ama ulevi uliopitiliza,kupiga punyeto kupitiliza,nikimaliza kufanya research yangu juu hili nitatoa kitabu namna ya kuwalea watoto wakiume wasiwe mashoga!!!
unasemaje wewe....!!!!!!!!
kwahiyo wewe unau"support ushoga????" acha ukilaza ww......!!!!
Sasa kama huyu alikosa upungufu wa testosterone si atafute supplements za kuongeza hormones zake arudi kama Kawa