Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nilizani utaomba picha..😜Nenda hospital wakupime, wakupe dawa sahihi ya ugonjwa wako.
Usitumie dawa kiholela bila kujua tatizo ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilizani utaomba picha..😜Nenda hospital wakupime, wakupe dawa sahihi ya ugonjwa wako.
Usitumie dawa kiholela bila kujua tatizo ni nini
Xjaoa kkUkishafikia nusu ya dose choma nguo zote za ndani nunua mpya, then uwe unaziloweka na detoa ama kuzinyosha na moto mkali, kama una mke naye akatibiwe and mcheki cycle zenu wote za side chicks wewe na mkeo ya wezekana unajitibu huku ukiendelea kupata maambukizi mapya
Kisukal hua hakin ata dond Wal kov at ndo kipi ich broNENDA KAPIME KISUKARI, HIYO NI MOJA YA DALILI ZA KISUKARI
Au fanya hivi; Chukua chupa tupu ya lita moja ya maji uhai jaza mkojo wako kiasi cha nusu lita hata ikiwa chini kidogo ya nusu lita (kiasi cha mkojo utakaoupata kwa mara moja/mkojoo mmoja) halafu funga kwa kizibo na anza kutikisa hilo chupa lako kama ×10 na halafu uache kutikisa; ukiona mkojo ndani ya chupa umejaa povu jingi kama sabuni ya unga, mkojo nusu na povu nusu basi hiyo ni moja dalili ya kisukari, dalili nyingine ni pale unapokula pilipili ukipata kikohozi kikali pia hiyo ni moja ya dalili za kisukari au kojoa mkojo ndani ya chupa kisha uende kuumwaga nje sehemu ambayo kuna nyenyere subiri baada ya muda wa 30mins-1hr nenda kaangalie; ukikuta nyenyere wanazengea mahali hapo ulipomwaga mkojo basi hiyo ni dalili ya kisukari, mkuu jaribu kufanya tafiti hizo kwanza au unaweza kwenda moja kwa moja hospitali kupima kisukari.
Kisukal hua hakin ata dond Wal kov at ndo kipi ich bro
La kwanza hakikisha viuzi lote limenyolewa. La pili hakikisha unajikausha maji haswa maeneo hayoNawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho sugu
Bro pole sana, nicheki 0627627138 nikupe dawa, siku 7 utakuwa umesahau hiyo shida kabisaNawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho sugu
wewe huna akiliApake majani ya upupu.
Atakuja kunishukuru.
Bro upu kwel xi naongeza zaham apawewe huna akili
Hapa naungana na wewe, maana mi huwa napata muwasho nikikuna vinatoka vi upele, nikatumia dawa nyinginyingi hata za fangus, nikamuona doctor mmoja akanipa dawa za minyoo albendazole mg 400 kwa siku 4 tatizo likaisha nikafurahi sana maana nilipata shida sana na huo muwasho, ingawa nahisi tatizo halijakata kabisa nikipiga dawa hizo nakaa hata miezi sita linarudi tena, ko naenda kwa mwendo huoMinyoo iko aina nyingi. na hakuna dawa universal kwamba inatibu aina zote za minyoo au bakteria. Ungepima kwanza ukajua shida ni nini. Unachoogopa kwenda kupima ni nini? unaona aibu kuwavulia nguo madaktari na manesi? nenda kavuo upone.
Duu una mpango ganiApake majani ya upupu.
Atakuja kunishukuru.
i uwaambie wakupime? Kwani unamiaka mingapi hadi unashindwa kujielezea?Kak hospital natembea mpak nimekata tamaa nikifka hoxpital nikionan na daktar xi pimw namuelezea daktar ana andika daw tu bx dah mpk nimechoka at
At?? 😂😂 Unanichekesha unavosema at. Sasa ukifika huwa huwaelezei kwamba nahitaji kupimwa?? Hayo yaweza kuwa magonjwa ya zinaa. Pima ujue unaumwa nini, usitumie tubes, tubes zinatibu nje tu na shida ipo ndaniKaka madactar xi unawajua wai wanach angalia ni maslah tu bx nimeenda bugando hospital mwanza pia nilikuwa tabor nikaenda kitet hospital pia nilikuw kigom nikaenda maweng hoxpital vizaanat kam vyot maduk ya madaw na mada kama yote at kak
Umemuona dokta bingwa wa ngozi? Kama bado ,fanya hivyo.Iz ni fangas za aina gani kama hospital nimeenda lakini Kila napo enda sijawah chukuliwa vipimo Wala nn Kila dactar unaemuelezea anakuandikia dawa tu bac huu mwaka wa Saba sas nawashwa mno sina aman kama Kuna sehem wanavipmo mniambie niende jaman