Nini dawa ya muwasho sugu sehemu za siri?

Nini dawa ya muwasho sugu sehemu za siri?

Ukishafikia nusu ya dose choma nguo zote za ndani nunua mpya, then uwe unaziloweka na detoa ama kuzinyosha na moto mkali, kama una mke naye akatibiwe and mcheki cycle zenu wote za side chicks wewe na mkeo ya wezekana unajitibu huku ukiendelea kupata maambukizi mapya
Xjaoa kk
 
NENDA KAPIME KISUKARI, HIYO NI MOJA YA DALILI ZA KISUKARI

Au fanya hivi; Chukua chupa tupu ya lita moja ya maji uhai jaza mkojo wako kiasi cha nusu lita hata ikiwa chini kidogo ya nusu lita (kiasi cha mkojo utakaoupata kwa mara moja/mkojoo mmoja) halafu funga kwa kizibo na anza kutikisa hilo chupa lako kama ×10 na halafu uache kutikisa; ukiona mkojo ndani ya chupa umejaa povu jingi kama sabuni ya unga, mkojo nusu na povu nusu basi hiyo ni moja dalili ya kisukari, dalili nyingine ni pale unapokula pilipili ukipata kikohozi kikali pia hiyo ni moja ya dalili za kisukari au kojoa mkojo ndani ya chupa kisha uende kuumwaga nje sehemu ambayo kuna nyenyere subiri baada ya muda wa 30mins-1hr nenda kaangalie; ukikuta nyenyere wanazengea mahali hapo ulipomwaga mkojo basi hiyo ni dalili ya kisukari, mkuu jaribu kufanya tafiti hizo kwanza au unaweza kwenda moja kwa moja hospitali kupima kisukari.
Kisukal hua hakin ata dond Wal kov at ndo kipi ich bro
 
Kisukal hua hakin ata dond Wal kov at ndo kipi ich bro

Dalili za kisukari, ni hivi; kisukari kinasababisha fungus zitokee kwenye koo na sehemu ya kutolea haja kubwa ambapo hizo fungus zina develop na kuwa vijidonda kutokana na sukari kuzidi mwilini, hivyo vijidonda haviponi kirahisi hata ukitumia dawa za anti -biotics kwani vyenyewe ni vijidonda vya kisukari kama unavyoona baadhi ya wagonjwa wa kisukari wakipatwa madonda kupona inakuwa ni shida sana na wakati mwingine hulazimika kukatwa viungo.

Kama nilivyosema, hivyo vijidonda haviponi kirahisi kwakuwa mwilini kuna sukari na sehemu hiyo ya kutolea haja kubwa kwa kawaida huwa imejaa vimelea vya maradhi kibao ni hivyo vimelea vinaleta uambukizi (infection) sehemu hiyo na ndio sababu ya muwasho usioisha ndio maana nasema ni vyema pia akacheki na kisukari.

Pia sukari ni mbolea nzuri ya fungus mwilini, ukiona mtu ana mbaa zisizopona mwilini mwake huyo pia anatakiwa akacheki sukari.
 
Nawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho sugu
La kwanza hakikisha viuzi lote limenyolewa. La pili hakikisha unajikausha maji haswa maeneo hayo
 
Nawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho sugu
Bro pole sana, nicheki 0627627138 nikupe dawa, siku 7 utakuwa umesahau hiyo shida kabisa
 
Minyoo iko aina nyingi. na hakuna dawa universal kwamba inatibu aina zote za minyoo au bakteria. Ungepima kwanza ukajua shida ni nini. Unachoogopa kwenda kupima ni nini? unaona aibu kuwavulia nguo madaktari na manesi? nenda kavuo upone.
Hapa naungana na wewe, maana mi huwa napata muwasho nikikuna vinatoka vi upele, nikatumia dawa nyinginyingi hata za fangus, nikamuona doctor mmoja akanipa dawa za minyoo albendazole mg 400 kwa siku 4 tatizo likaisha nikafurahi sana maana nilipata shida sana na huo muwasho, ingawa nahisi tatizo halijakata kabisa nikipiga dawa hizo nakaa hata miezi sita linarudi tena, ko naenda kwa mwendo huo
 
Pole kwa changamoto unayopitia,wasiliana nasi 0769081492..Tutakupatia dawa kwaajili ya kuoshea sehemu yote iliyoathirika na ya kupaka pia baada kutumia utalisahau hilo tatizo,Karibu.
 
Tumia dawa inaitwa Kotineal,paka mpaka tube iishe.Ndani ya siku 3 utakuwa umeshaanza kuona matokeo...
 
Kaka madactar xi unawajua wai wanach angalia ni maslah tu bx nimeenda bugando hospital mwanza pia nilikuwa tabor nikaenda kitet hospital pia nilikuw kigom nikaenda maweng hoxpital vizaanat kam vyot maduk ya madaw na mada kama yote at kak
At?? 😂😂 Unanichekesha unavosema at. Sasa ukifika huwa huwaelezei kwamba nahitaji kupimwa?? Hayo yaweza kuwa magonjwa ya zinaa. Pima ujue unaumwa nini, usitumie tubes, tubes zinatibu nje tu na shida ipo ndani
 
Iz ni fangas za aina gani kama hospital nimeenda lakini Kila napo enda sijawah chukuliwa vipimo Wala nn Kila dactar unaemuelezea anakuandikia dawa tu bac huu mwaka wa Saba sas nawashwa mno sina aman kama Kuna sehem wanavipmo mniambie niende jaman
Umemuona dokta bingwa wa ngozi? Kama bado ,fanya hivyo.

Lakini, usiumie kichwa. Magonjwa ya ngozi yasababishwayo na vimelea husababishwa na maumbile ama vile unavyoishi. Unaweza kulaumu dawa kumbe mchawi ni wewe mwenyewe.

Tazama hii. Watz wengi tupo wachafu na wazembe. Hatuzingatii kanuni za afya. Unakuta una fungus miguuni katikati ya vidole. Sasa unakuta unajifuta kwa taulo , unawachukua wadudu toka vidole vya miguu unawaleta kwenye sehemu za siri. Taulo lenyewe kufua mara moja kwa mwezi. Kila siku lipo bafuni, halijui jua. Hapo hata ukipewa dawa anazotumia Obama hutopona.

Soksi pia ni majanga. Unafua soksi unachanganya na boksa. Wadudu wanaingia kwa boksa. Kama haitoshi, unavaa nguo za mitumba, hufui kwa dawa kama detol wala hupigi pasi siku ya kwanza. Basi fungus wa kina "Trump" unawaongeza kwenye pumbu zako.

Aidha, unarudia boksa. Uliyovaa jana ,leo unayo tena badala ya kuvaa kila siku boksa safi ,ikiwezekana piga pasi. Wengine ndo kiboko,bukta la manchesta ndo boksa yetu,hufui miezi.

Hapo hujagusa watu unaoshirikiana nao ngono.

Ushauri

Muone daktari bingwa wa ngozi. Usifiche,eleza namna unavyoishi pamoja na unaohusiana nao hasa wapenzi.
 
Back
Top Bottom