Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Unajua maana ya ndani ya Jamhuri kwa mujibu wa hicho kifungu?Kumbe club house ni ndani ya Jamhuri.
Au unataka nianze kulufundisha statutory interpretation humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya ndani ya Jamhuri kwa mujibu wa hicho kifungu?Kumbe club house ni ndani ya Jamhuri.
Asante kwa nyaraka hiiAcha uvivu soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Hao watu wenu hawachomoki hata wawalete mawakili malaikaView attachment 2719075
Ila Jf raha sanaView attachment 2719073
Kama ni vita mbona hatujatangaziwa au nilizima data.
Kuhamasisha maandamano kutaka kumtoa Rais Madarakani ni uhaini kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya AdhabuUnajua maana ya wivu?
Tukirudi kwenye hoja/hii sheria, wananchi, kama alivyosema Dr. Slaa, wakiandamana mpaka Rais atoke madarakani, wanakuwa wamefanya uhaini?
Utaelewa sheria zinavyotafsiriwa Mahakamani.Kumbe club house ni ndani ya Jamhuri.
Nani asiyejua kuwa mahakama zetu ni very corrupt.Utaelewa sheria zinavyotafsiriwa Mahakamani.
Unataka Sheria iseme chooni, shambani , nyumbani? Iyo Sheria au kitabu cha kutongoza?
Jiandae kwa maumivu
Sawa. Ila subiri maumivuNani asiyejua kuwa mahakama zetu ni very corrupt.
Hata mimi naomba iwe hivyo wapunguziwe adhabu kama ikitokea wakapatikana na hatia.Wakipatikana na hatia wapunguziwe adhabu Samia ana huruma sana
Sasa hao wamefanya makosa gani kati ya hayo yaliyotajwa ktk sheria hiyo?Acha uvivu soma kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu.
Hao watu wenu hawachomoki hata wawalete mawakili malaikaView attachment 2719075
Walichomoka wakina Hanss PopSlaa na wenzake hawawezi kuchomoka kwenye hii kesi, adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa
Soma kifungu cha 39 (2) (b) (c) na (d) alafu sikuliza clips zao kisha chagua mwenyewe kusuka au kunyoaSasa hao wamefanya makosa gani kati ya hayo yaliyotajwa ktk sheria hiyo?
Naona kila tendo la kosa linaelekezwa kwa Rais tena likiwa na lengo la kumuua au kumuondolea hadhi au wadhifa wake wa U-rais..
Kuna wakati wowote hawa jamaa wametengeneza mkakati wa kutaka kumuua Rais au kumwondolea wadhifa wake wa U-rais? How this was organized?
Kwa kifupi sana ni kuwa, Camillius Wambura (IGP) na DCI wake Ramadhani Kingai this time movie ni ya kijinga na kipumbavu zaidi kuliko ile ya ugaidi fake wa Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe..
Watuumiwa ❌Nimesoma, sasa narudi kwako, ni kosa gani watuumiwa wamelifanya mpaka kuitwa mahaini?
Usijibu, sa 11 jioni tayari nenda kachukue Buku7 lako pale lumumba.
Nani kakwambia kina Hans Pope walichomoka? Unadhani sisi wote humu wajinga kama wewe eeeh??Walichomoka wakina Hanss Pop
Sembuse hawa
Mama mimi huwa namuelewa sana hatumii maguvu hadi ndezi anapoingia kwenye 18 zakeHata mimi naomba iwe hivyo wapunguziwe adhabu kama ikitokea wakapatikana na hatia.
walijisahau wakaona mama ni mpole hanaga hasira na ghadhabu kumbe la hasha mama ni mkali" "ukimzingua mtazinguana"
Kwa nini utumie nguvu? Binadamu ishi nao kwa akili , watajikamatisha wenyeweMama mimi huwa namuelewa sana hatumii maguvu hadi ndezi anapoingia kwenye 18 zake
Haya maelezo pelekeni mahakamani 🔨Sasa hao wamefanya makosa gani kati ya hayo yaliyotajwa ktk sheria hiyo?
Naona kila tendo la kosa linaelekezwa kwa Rais tena likiwa na lengo la kumuua au kumuondolea hadhi au wadhifa wake wa U-rais..
Kuna wakati wowote hawa jamaa wametengeneza mkakati wa kutaka kumuua Rais au kumwondolea wadhifa wake wa U-rais? How this was organized?
Kwa kifupi sana ni kuwa, Camillius Wambura (IGP) na DCI wake Ramadhani Kingai this time movie ni ya kijinga na kipumbavu zaidi kuliko ile ya ugaidi fake wa Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe..
Kwako wewe ndio mibovu kwa hao wanaosani ni mizima kila mmoja na uoni wakena anayesaini mikataba mibovu kama ya madini na bandari?
Na ndicho walichofanya akina Slaa wamejikamatisha😆😆watajikamatisha
uzi unahusu uhaini mkuu.....soma kuanzia juuKwako wewe ndio mibovu kwa hao wanaosani ni mizima kila mmoja na uoni wake