Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Umebadilisha tena gia we siumesema watu tofauti na waislamu ni waizi sana kwa hiyo wanahitajika waislamu ili wasiibemie sina haki, na wala sistahili kuhukumu wengine kwa chochote, ispokua Mwenyezi Mungu pekee mwenye kuhukumu kwa haki π
Elimu ya dini anayo namna gani anaitumia hayo ni yake na mola wake nAngekua na elimu kubwa ya dini asingekopa mikopo ya riba ambayo uislamu umekataza
usinilishe maneno tafadhali πUmebadilisha tena gia we siumesema watu tofauti na waislamu ni waizi sana kwa hiyo wanahitajika waislamu ili wasiibe
Kikwete alikua rais muislamu ila kipindi cha utawala wake kulikua na uwizi wa kufa mtu
Umebadilisha tenaElimu ya dini anayo namna gani anaitumia hayo ni yake na mola wake n
Aisee una kichwa kigumu san sizungumzii imani.yake nazungumzia maarifa.Umebadilisha tena
Kama angekua ameshika dini ya uislamu asingechukua na anaendelea kuchukua mikopo yenye riba
Kuna watu niwapani na wanatenda haki na kuna watu kama ramadhan dau alikua fisadi wa kufa mtu na alikua swala tanousinilishe maneno tafadhali π
nimesistiza masomo ya dini yawepo ili kusudi tupate watumishi na viongozi wanaomjua Mungu vizuri, watu wa Ibada, wawe na hofu ya Mungu, watu wa utaratibu, wawatendee haki wengine n.k....π
hiyo sijui dini gani na gani hilo ni lako π
Kujazia tuu hiyo biashara alianza baba yake, vipi naye alisoma huko new york?Umebadilisha tena
Kama angekua ameshika dini ya uislamu asingechukua na anaendelea kuchukua mikopo yenye riba
Umebadilisha tena gia subiri niku-quote reply ya kwanza uioneAisee una kichwa kigumu san sizungumzii imani.yake nazungumzia maarifa.
Kwa nini Uarabuni hakujaendelea kama West?Soma hapa nyinyi vilaza mnaosoma shule za missionary
Important of Islamic Knowledge
Islamic education plays a significant role in world economics for several reasons:
1. Ethical Framework: Islamic education emphasizes principles of justice, fairness, and ethical conduct in economic transactions, which can help foster trust and stability in financial systems.
2. Social Welfare: Islamic economics prioritizes the well-being of society, advocating for the equitable distribution of wealth and resources. This focus on social welfare can lead to more inclusive economic policies and reduced income inequality.
3. Financial Stability: Islamic finance principles, such as prohibition of interest (riba) and speculation (gharar), promote risk-sharing and asset-backed transactions, which can contribute to financial stability and mitigate the risks of economic crises.
4. Sustainable Development: Islamic teachings emphasize the stewardship of natural resources and the environment. Integrating these principles into economic policies can promote sustainable development practices, addressing environmental concerns and ensuring long-term prosperity.
5. Innovation and Entrepreneurship: Islamic education encourages entrepreneurship and innovation while promoting ethical business practices. This can stimulate economic growth and development by fostering a culture of creativity and responsible entrepreneurship.
HATA MKIRISTO ISLAMIC KNOWLEDGE UKISOMA UTAFAIDIKA
nachelea kusisitiza tena mimi si mkamilifu hata kidogo mbele ya wanadamu wenzangu na mbele za Mungu πKuna watu niwapani na wanatenda haki na kuna watu kama ramadhan dau alikua fisadi wa kufa mtu na alikua swala tano
PropagandaNAONA WANATAKA WATOTO WETU WASLIMU KWA NGUVU.HAHAAAAA
WHY ISLAMIC KNOWLEDGE? WAKRISTO TUAMKE MAPEWA .HII NIN AJENDA YA SIRI
Angalia hii comment mimi na wewe nani hajui aandikachoKwenye uislam kuna elimu kubwa sana ya biashara.
Wafanyabiashara wengi wa tanzania ni waislamu, na wala hawana western education ni islamic knowledge informal way (madrasa).
Huu mfumo wa bank umetoka na wayahudi kwenye torati ukitoa ndugu unarusiwa kuchukua ribaIslamic banking, kuna islamic insurance, nk. Usilinganishe ukristo na uislam. Uislam ni mfumo kamili wa maisha. Ndio huku riba ni haramu na ukristo upo kimya
Ndiyo maana kuna kuchagua, chagua inayokufaa wewe. Ukienda chuo kwa tahasusi hiyo unaweza kusoma uchumi, business administration au mambo ya dini ya kiislamu mbona hamna shida?Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?
Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.
View attachment 2940349
Tatizo nchi nyingi za uarabuni wamefata mila za west. Watawala wao wanajipendekeza huko ndio tatizo. Wakiongoza kwa mujibu wa Quran west ndio wataomba msaada nchi za kiislamKwa nini Uarabuni hakujaendelea kama West?
Kwa nini Uarabuni wanategemea West kuwaendeleza?
Sema Islamic Knowlegde iko broad sana, niliwahi kupitia mitihani kadhaa ya Islamic Knowlegde na Divinity, divinity imebase sana kwenye imani wakati Islamic Knowledge ipo na hata mambo ya kijamii ikiwemo na hayo ya uchumi. Nadhani huenda wameona iwe hivo.Wataongeza Na Divinity