Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Umebadilisha tena gia we siumesema watu tofauti na waislamu ni waizi sana kwa hiyo wanahitajika waislamu ili wasiibemie sina haki, na wala sistahili kuhukumu wengine kwa chochote, ispokua Mwenyezi Mungu pekee mwenye kuhukumu kwa haki š
Kikwete alikua rais muislamu ila kipindi cha utawala wake kulikua na uwizi wa kufa mtu