comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Daah Sonia sijui yuko wapi mrembo yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah Sonia sijui yuko wapi mrembo yule
kivipiAliponzwa na Mrema. Over
Sonia ni nani mkuu.
Double agentkivipi
Japo sijasoma kitabu cha Mka-Hapa ila nabet hawezi kuongelea suala hili. Hasa ukizingatia bado familia ya Marehemu Kombe ipo.
Kuna siri katika utawala inabidi uingie nazo kaburini tu hamna namna.
Muvi mbona haiendeleichakula ya ubongo
UHUSIANO WAKE NA LYATONGA MREMA,NA YEYE KUTOKUTII KANUNI ZA KIAPO CHA KUTOKUTOA SILI ZA KUTENGO,KILICHOFANYIKA KILIPASHWA KIFANYIKE,NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI,HATA YEYE ALISHAWAHI KUWAFANYIA WENGINE,KUMBUKA KANALI ANDRE SHIJA,Maelezo mujarab! Mama alikuwa na mbinu za kimedani kuliko mzee, aliweza kuwatoka na kujificha ila mzee alishindwa Dah?
Kwanini wanadai ilikuwa bahati mbaya? Hivi risasi alipigwa kifuani Au mgongoni?
Hapo ulipohitimisha nadhani ndio mleta mada anataka kufahamu na sie tulio wengi? Inawezekana ilikuwa accident kweli..hayo mambo hutokea, na binadamu hatujui tutakufaje!
Nikisema hujui lolote ntakukosea,ila itoshe kusema tu kwamba yale unayoyajua yanakutosha,usiongeze mengine,kwani uwezo wako wa kuyabeba ni mdogo,Nchi inateketea kwa kulinda Chama (ukomunisti)
Kuhusu slimu ni uongo wa kiwango cha lamiDuh! Haya mapya kabisa.
Onyesha basi kuwa unazo akili hata kidogo,usiweke udhaifu na mapugufu yako hadharani,Kale kazee nako kamekufa kama mbuzi pumbavu,kalifikiri ni kamungu mpaka Leo kifo chake hajieleweki.mwosha huoshwa.
Alisahau hii ni Tanzania?akitokea Zimbabwe ambako alikuwa akihudumu kama Daktari
Alisahau this is Tanzania
Japo sijasoma kitabu cha Mka-Hapa ila nabet hawezi kuongelea suala hili. Hasa ukizingatia bado familia ya Marehemu Kombe ipo.
Kuna siri katika utawala inabidi uingie nazo kaburini tu hamna namna.
sawaSILI
Naamini alijua yuko juu ya adhabu ndondogo kama hizi kwakukwa alijiaminisha kuwa Lyatonga ndo next perezidaa.NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI
Dah... mkuu sina info hizo asee.UHUSIANO WAKE NA LYATONGA MREMA,NA YEYE KUTOKUTII KANUNI ZA KIAPO CHA KUTOKUTOA SILI ZA KUTENGO,KILICHOFANYIKA KILIPASHWA KIFANYIKE,NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI,HATA YEYE ALISHAWAHI KUWAFANYIA WENGINE,KUMBUKA KANALI ANDRE SHIJA,
Kanali Andrew shija pia alikuwa ni mwanakitengo wa ngazi ya juu sn,lkn pia alikuwa kwenye chama,baada ya kuenenda ndivyo sivyo,yalitolewa maelekezo tu,wenye taaluma zao wakatimiza wajibu wao kwa masirahi ya nchi,maskini wa mungu shija alipigwa nondo majira ya saa 12 jioni,Dah... mkuu sina info hizo asee.
Huyo Kanali ilikuwaje?
Alisha fariki huyu mzee,naalizikwa upareni ngonja maore, nijirani yangu pale kijijini.....tulikulaa bwecheeee balaaaHivi huyu mzee yupo wapi siku hizi ?
Na issue ya hizo pesa sidhani hata kama ilikwenda popote
Shimbo ? Mbona hatujaona Tanzia ? Hata uki search google hainoshi kama ka danjiAlisha fariki huyu mzee,naalizikwa upareni ngonja maore, nijirani yangu pale kijijini.....tulikulaa bwecheeee balaaa
Kumbe kupiga nondo huko Mbeya wsnaiga tuu...mambo yalianza kitambo huko kwa wazito na wanene.Kanali Andrew shija pia alikuwa ni mwanakitengo wa ngazi ya juu sn,lkn pia alikuwa kwenye chama,baada ya kuenenda ndivyo sivyo,yalitolewa maelekezo tu,wenye taaluma zao wakatimiza wajibu wao kwa masirahi ya nchi,maskini wa mungu shija alipigwa nondo majira ya saa 12 jioni,