Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Hivi ndani ya idara Kuna idara inayoweza kupanga njama dhidi ya bosi (dgi) wao au sponsor kwa manufaa ya nchi bila dgi na sponsor kujua?
Nahisi hii ni ngumu sana, ingawa yawezekana ila kwa % chache sana
 
Nahisi hii ni ngumu sana, ingawa yawezekana ila kwa % chache sana

Kwanini isiwezekane Mkuu. Kwa ufupi kabisa TISS ya sasa ipo very segmented. Zamani ilikuwa mtu mmoja ana Information nyingi sana hadi inakuwa hatari. Kwa sasa Mtendaji anakuwa na portion ndogo sana ya taarifa hasa katika ile task uliyopewa tu. Ndio maana unaweza kufukuzwa kazi na usiwe na madhara yoyote, yaani ukaenda kuwa looser tu mtaani.

Tambua ndani ya TISS kuna TISS na ndani ya TISS kuna TISS pia....... the list goes on.
 
Kwanini isiwezekane Mkuu. Kwa ufupi kabisa TISS ya sasa ipo very segmented. Zamani ilikuwa mtu mmoja ana Information nyingi sana hadi inakuwa hatari. Kwa sasa Mtendaji anakuwa na portion ndogo sana ya taarifa hasa katika ile task uliyopewa tu. Ndio maana unaweza kufukuzwa kazi na usiwe na madhara yoyote, yaani ukaenda kuwa looser tu mtaani.

Tambua ndani ya TISS kuna TISS na ndani ya TISS kuna TISS pia....... the list goes on.
Sawa kama ni hivyo.
 
Kwanini isiwezekane Mkuu. Kwa ufupi kabisa TISS ya sasa ipo very segmented. Zamani ilikuwa mtu mmoja ana Information nyingi sana hadi inakuwa hatari. Kwa sasa Mtendaji anakuwa na portion ndogo sana ya taarifa hasa katika ile task uliyopewa tu. Ndio maana unaweza kufukuzwa kazi na usiwe na madhara yoyote, yaani ukaenda kuwa looser tu mtaani.

Tambua ndani ya TISS kuna TISS na ndani ya TISS kuna TISS pia....... the list goes on.
Kwa kifupi kombe alikuwa ni mzito wa wanaojulikana,lkn nyuma yake kuna wanee wasiojulikana,ndio maana kipindi cha G55,kombe alipewa onyo juu ya mienendo yake,na waliompa onyo hawajui,baadae alipoanza kufuatilia juu ya nani alievujisha hizo taarifa,alionywa kwa mala ya pili,NA hili onyo lilikuwa likitoka nje ya nchi,KUMBUKA,room no 103,Najibulla motel, nyerere driving, ghabalone,kwa taatifa yako,hakuna mzito asiefuatiliwa na kunuswa nyayo zake,
 
Kwa kifupi kombe alikuwa ni mzito wa wanaojulikana,lkn nyuma yake kuna wanee wasiojulikana,ndio maana kipindi cha G55,kombe alipewa onyo juu ya mienendo yake,na waliompa onyo hawajui,baadae alipoanza kufuatilia juu ya nani alievujisha hizo taarifa,alionywa kwa mala ya pili,NA hili onyo lilikuwa likitoka nje ya nchi,KUMBUKA,room no 103,Najibulla motel, nyerere driving, ghabalone,kwa taatifa yako,hakuna mzito asiefuatiliwa na kunuswa nyayo zake,

Now we are talking.
 
Naomba U'quote' hiyo post nimsome

I advised you to read between the lines. You have to decode the encryption by yourself.

Kwenye huu uzi wapo wengi sana. Pay attention to every word that has been put forth [emoji41]. Majibu yameshatolewa humu; everything is in here, depend on how you listen [emoji101]

—Attention to detail.
 
Back
Top Bottom