Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Intelligence officer,akiuliwa,hiyo sio assassination,ni sehemu ya kazi ya taasisi yoyote ya ujasusi duniani,
Hayo ndio huwa malipo ya Usaliti,ukisaliti uongozi uliopo wa kisiasa ambao ndio boss wa taasisi yeyote ya kijasusi katika nchi,lazima uondolewe,au ukimbilie uamishoni Kama wale mageneral wa Rwanda,waliposhindwana na Kagame wakalala mbele,tatizo wakajisahau,Kagame aka strike Tena,mmoja akapoteza maisha,alinyongwa hotelini.
Jasusi akiuliwa,ukweli unakuwa mgumu sana kujurikana nani kafanya mambo,
Wakati mwingine taasisi za kijasusi za nje zinaweza zinaendesha operation Ili kuwachonganisha.
Mfano,chukulia Membe akipigwa Risasi,lawama zitaenda moja kwa moja kwa Maghu,na nchi haitakarika.
Mfano mwingine,ukitaka Kenya iwake moto,Makamu wa Raisi Wiliam Ruto ashambuliwe kwa risasi,msafara wake.,watu wote watasema Uhuru Kenyata ndio kafanya,hata Kama hiyo operation imefanywa na covert unit kutoka Tanzania,na Kenya itachafuka kinoma,uchumi utayumba,adui...mwombee njaa,watalii wote watakimbilia bongo,tutakuwa tumemuweza mshindani wetu.
Ila siku akijua!vita ya Dunia ya East Afrika lazima itokee

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Superbug , B'REAL ,

That was at the dawn of the eighties. The new revolutionary men who had seized power in the Seychelles then immediately looked around for support to safeguard their Revolution. It was Tanzania, then the anti-colonial and anti-imperialist bastion, they had banked on for immediate support to consolidate the Seychellois Revolution. They got it.

Then President and Commander-in-Chief Mwalimu Julius Nyerere ordered a contingent of the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) into the Seychelles at the request of new revolutionary President Albert Rene (pictured) to consolidate the Seychellois Revolution.

It was at the command of Brigadier General Hassan Ngwilizi, now retired, who was to be joined later by Major Abdulrahman Shimbo, currently lieutenant-general and Chief of Staff of the TPDF.

 
..Luteni Jenerali Abdulrahman Amiri Shimbo.

1613321539095.png



1613321587669.png
 
Lakini Sio kwa kuwa eti alikuwa karibu na 'mpinzani wa wakati huo ' Augustine Mrema
Marehemu alitaka amtumie mzee wa kiraracha kuchukua dola kwa njia ya sanduku la kura. Nyuma ya pazia, mzee wa kiraracha angefeli urais ( hakuwa na safu kubwa ya uongozi) na ndipo marehemu kwa kutumia influence ya jw, "kumbuka cheo cha marehemu kilikuwa kikubwa ( maj gen)"
angepindua nchi.
Kwa hiyo Lyatonga alikuwa chambo.
Baada ya Lyatonga kuukosa, marehemu akawa anaendelea kuvujisha info.
Aliitwa white hse kuulizwa "hizi taarifa nyeti zinatokaje ndani ya idara yako?
Alivyokuwa bwege akasema sijui. Akapigwa chini.
Kumbuka ile NSC( ya wakati ule ilikuwa ina unyerere.
Nsc national security council.
Umepata picha walau kidogo.
 
Marehemu alitaka amtumie mzee wa kiraracha kuchukua dola kwa njia ya sanduku la kura. Nyuma ya pazia, mzee wa kiraracha angefeli urais ( hakuwa na safu kubwa ya uongozi) na ndipo marehemu kwa kutumia influence ya jw, "kumbuka cheo cha marehemu kilikuwa kikubwa ( maj gen)"
angepindua nchi.
Kwa hiyo Lyatonga alikuwa chambo.
Baada ya Lyatonga kuukosa, marehemu akawa anaendelea kuvujisha info.
Aliitwa white hse kuulizwa "hizi taarifa nyeti zinatokaje ndani ya idara yako?
Alivyokuwa bwege akasema sijui. Akapigwa chini.
Kumbuka ile NSC( ya wakati ule ilikuwa ina unyerere.
Nsc national security council.
Umepata picha walau kidogo.

Huyo mzee wa kiraracha mwenyewe ni TISS aliewahi shika nyadhifa ambazo zinamvua cover, ukiona mtu hamjui Mrema kama ni TISS ujue ni mtoto mdogo au mtu ambae ni mshamba/hana muda na mambo yanayoendelea nchini

Hamna point hapo kwa mzee wa kiraracha , n
 
kuwa karibu ni sababu zisizo na mashiko kuna sababu zingine nyingi sana


Yule mzee inawezekana yaliyofanyika walimuonea (Walimtoa kwenye nafasi ya ukuu wa chombo hicho) au alitaka kufanya mchezo mchafu ambao ulibumburuka wakammaliza
 
Marehemu alitaka amtumie mzee wa kiraracha kuchukua dola kwa njia ya sanduku la kura. Nyuma ya pazia, mzee wa kiraracha angefeli urais ( hakuwa na safu kubwa ya uongozi) na ndipo marehemu kwa kutumia influence ya jw, "kumbuka cheo cha marehemu kilikuwa kikubwa ( maj gen)"
angepindua nchi.
Kwa hiyo Lyatonga alikuwa chambo.
Baada ya Lyatonga kuukosa, marehemu akawa anaendelea kuvujisha info.
Aliitwa white hse kuulizwa "hizi taarifa nyeti zinatokaje ndani ya idara yako?
Alivyokuwa bwege akasema sijui. Akapigwa chini.
Kumbuka ile NSC( ya wakati ule ilikuwa ina unyerere.
Nsc national security council.
Umepata picha walau kidogo.

Hapana hii ni Gahawa tena Arabica mkuu.
 
Wakuu wa jukwaa hili, ni takribani miaka 23 sasa imepita tangu Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama, Meja Jenerali Imran Kombe alipouwawa na askari polisi mkoani Kilimanjaro.

Mengi yamezungumzwa, je ni nini kilitokea na kujiri mpaka 'deep state' ikaamua kumnyamazisha aliyekuwa boss wao?

Karibuni kwa mjadala wakuu, kama hujui basi usilete masihara.
Mwana kulitafuta!
 
Marehemu alitaka amtumie mzee wa kiraracha kuchukua dola kwa njia ya sanduku la kura. Nyuma ya pazia, mzee wa kiraracha angefeli urais ( hakuwa na safu kubwa ya uongozi) na ndipo marehemu kwa kutumia influence ya jw, "kumbuka cheo cha marehemu kilikuwa kikubwa ( maj gen)"
angepindua nchi.
Kwa hiyo Lyatonga alikuwa chambo.
Baada ya Lyatonga kuukosa, marehemu akawa anaendelea kuvujisha info.
Aliitwa white hse kuulizwa "hizi taarifa nyeti zinatokaje ndani ya idara yako?
Alivyokuwa bwege akasema sijui. Akapigwa chini.
Kumbuka ile NSC( ya wakati ule ilikuwa ina unyerere.
Nsc national security council.
Umepata picha walau kidogo.
Huyu Bwana, aliingia mkenge wa Chaga movement. Wakati huo ukiondoa Wahaya na Wanyakyusa, Wachaga walikuwa na wasomi wengi hadi kujiaminisha kuwa wanaweza kuendesha nchi wenyewe kwa kushika nafasi nyeti za uongozi. Na by that time post nyingi muhimu walikuwa wamezishika na hivyo kujiona it was their turn to hold the highest post.

Pia walikuwa na complains zao dhidi ya Jk.

Yeye kosa lake ni kutojitambua kuwa kwa rank yake hakupaswa kufumbia macho hiyo movement na wala hakupaswa kuwa sehemu ya hiyo movement.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Intelligence officer,akiuliwa,hiyo sio assassination,ni sehemu ya kazi ya taasisi yoyote ya ujasusi duniani,
Hayo ndio huwa malipo ya Usaliti,ukisaliti uongozi uliopo wa kisiasa ambao ndio boss wa taasisi yeyote ya kijasusi katika nchi,lazima uondolewe,au ukimbilie uamishoni Kama wale mageneral wa Rwanda,waliposhindwana na Kagame wakalala mbele,tatizo wakajisahau,Kagame aka strike Tena,mmoja akapoteza maisha,alinyongwa hotelini.
Jasusi akiuliwa,ukweli unakuwa mgumu sana kujurikana nani kafanya mambo,
Wakati mwingine taasisi za kijasusi za nje zinaweza zinaendesha operation Ili kuwachonganisha.
Mfano,chukulia Membe akipigwa Risasi,lawama zitaenda moja kwa moja kwa Maghu,na nchi haitakarika.
Mfano mwingine,ukitaka Kenya iwake moto,Makamu wa Raisi Wiliam Ruto ashambuliwe kwa risasi,msafara wake.,watu wote watasema Uhuru Kenyata ndio kafanya,hata Kama hiyo operation imefanywa na covert unit kutoka Tanzania,na Kenya itachafuka kinoma,uchumi utayumba,adui...mwombee njaa,watalii wote watakimbilia bongo,tutakuwa tumemuweza mshindani wetu.
Ila siku akijua!vita ya Dunia ya East Afrika lazima itokee

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Tutawauzia chakula
 
Huyu Bwana, aliingia mkenge wa Chaga movement. Wakati huo ukiondoa Wahaya na Wanyakyusa, Wachaga walikuwa na wasomi wengi hadi kujiaminisha kuwa wanaweza kuendesha nchi wenyewe kwa kushika nafasi nyeti za uongozi. Na by that time post nyingi muhimu walikuwa wamezishika na hivyo kujiona it was their turn to hold the highest post.

Pia walikuwa na complains zao dhidi ya Jk.

Yeye kosa lake ni kutojitambua kuwa kwa rank yake hakupaswa kufumbia macho hiyo movement na wala hakupaswa kuwa sehemu ya hiyo movement.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
mauaji ya Lt.Gen.Kombe yalitokea wakati wa utawala wa Mkapa. Nadhani unakosea unapomhusisha JK.
 
Suala jingine linaloniacha na maswali mengi ni hivi inakuaje Mkuu wa Usalama wa taifa hata kama amestaafu kutopewa ulinzi na Idara japo walau walinzi walau watatu?

Mazingira ya kazi yenyewe na ukiongezea kuwa alikuwa mkuu wa U"spy" , inakuwaje Idara isimpe ulinzi?
.
Vipi angetekwa na kwenda kuvujishwa siri za nchi? Ukizingatia Uzee halafu yuko peke yake?!!
Wewe jamaa unauliza maswali nyeti sana hongera sana mkuu wangu [emoji120]
 
Watu wanachapa code tu nasoma sielewi ila nakazana nimalize comments labda taelewa huko mbele [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mm naelewa vizuri kabisa
 
Thread Ina Page Nyingi Anza Kutazama Ni Tukio La Lini Halafu Tiririka Neno Kwa Neno, Mstari Mpaka Last Page Utaelewa Kuwa Muda Wa Serikali Kufanya Kazi Inatumia
"Wild Dogs" Baada Ya Kumaliza Kula Nyama Yoyote Mwenye Damu Mdomoni Itabidi Naye Aliwe

Mbwa Mwitu Wako Care Kwenye Ulaji Wa Mnyama Wanayemuua Kuepuka Damu Kujaa Mwilini Maana Unaweza Kujitia Kwenye Matatizo
Hizi codes zinachangamsha sana akili wadau
 
Yaani kiukweli ukikaa na kuangalia ni kama hii kitu ilipangwa muda sana, yani mtiririko wa matukio yote ni kama yalipangwa kitendo cha yeye kutokuwa na walinzi ndo kilichokuwa kinasubuliwa ko hata hyo gari inayosemekana iliibiwa dar ulikuwa ni mkakati wa idara
Da jamaa umenifungua kitu aisee
 
Back
Top Bottom