Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hapa nimekusoma. maana mtu ambae amekua na amekulia akiwa kwenye taasisi anakuwa na ethics fulani. anakuwa na hofu fulani.. haendeshi taasis kisiasa.Ni mtanzania. Maana yangu TISS mzawa, aliekulia ndani. Naamini hili la diwani wengi wazee mle tena wakongwe kama hawakulipenda ila hawakuwa na namna. Na nifikiri pia mteuaji alikuwa na mashaka ya kuteua DG ambae ni zao la mtangulizi wake au watu wa watu
Maybe rais aliogopa kuteua mtu from the system maana wanaweza kugomea kutekeleza jambo fulani.. the only key ni kumuweka mtu ambae atakuwa rais kuwa controlled.