Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Hayo Mambo Ni Magumu Hasa Unapotafutwa Ukweli Hata Kama Unajulikana Wazi
Unajua Kuhusu Sakata La Ambassador General Abrahaman Shimbo Na 4.3 Trillions Akiwa Civil Servant Na Liliishaje?
Unatopoka tu. Unafikiri ttillion 4. 3 mchezo
 
Mkurugenzi mkuu tiss auawe bahati mbaya na polisi!?..Kuna kitu kimejificha hapo,huo ulinwengu huwa hatari sana
Alishastaafu na alikuwa anaishi maisha ya kawaida na kutembea bila ulinzi. Watu hupenda kuongeza chumvi kwenye mambo yanayopata wakubwa lakini mimi nina uhakika aliuawa kwa uzembe wa polisi.
 

Soma uzi huu, wenda ukapata 1,2,3.
 
Alishastaafu na alikuwa anaishi maisha ya kawaida na kutembea bila ulinzi. Watu hupenda kuongeza chumvi kwenye mambo yanayopata wakubwa lakini mimi nina uhakika aliuawa kwa uzembe wa polisi.
Kwani kauawa muda gani baada ya kustaafu!?..mwizi kajisalimisha,kwa nini apigwe risasi?!..
 
Pia aliwahi kuwa IGP!!
Imran Kombe aliwahi kuwa IGP wa nchi na mwaka gani? Kama ni hili jeshi la Sirro hakuna kitu kama hicho utakuwa umechanganya madesa wewe! Utakuwa hawajui ma-IGP wa Tanzania.
 
..Machi 11, 1979 ndiyo siku ambayo majeshi ya Tanzania yalitoa kipigo kikali kwa majeshi ya Uganda, Libya, na Wapalestina, ktk eneo linaloitwa Lukaya.

..Wadadisi na wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanasema vita vya Tanzania dhidi ya Uganda iliamuliwa Lukaya. Kama Amini angeshinda ktk mapigano ya Lukaya basi angeweza kuyarudisha majeshi ya Tanzania mpaka Kagera na kushinda vita ile.

..Lakini hali ilikuwa tofauti, majeshi ya Tanzania, haswa Brigedi ya 201 iliyokuwa ikiongozwa na Brigadier Imran Hussein Kombe yaliweza kuyasambaratisha majeshi ya Amin na washirika wake na hivyo kufanya njia ya ushindi wa Tanzania kuwa nyeupe.
Kwakwel am soo moved with heroic deeds za JWTZ..Nawapenda sana hawa watu na pale naposikia wamepeea kisago huko DRC huwa inaniuma rohoni.
 
Kwakwel am soo moved with heroic deeds za JWTZ..Nawapenda sana hawa watu na pale naposikia wamepeea kisago huko DRC huwa inaniuma rohoni.
Walinda aman hawaruhusiw kushambulia jukumu lao ni kulinda tu na ndio maana sheria hiyo inalalamikiwa mno
 
ukweli ni kuwa huyu bwana aliuwawa kwa bahati mbaya na genge la wapelelezi 'vilaza' lililo kuwa linafuatilia wezi wa magari ( kwa malipo ya walio ibiwa magari), kama mara mbili hivi walimsimamisha barababarani na yeye kombe kwa jeuri yake tuu akataa kusimama, basi polisi wakadhani ni mmoja wa wezi wa magari, baade wakamfukuza adi walipo mpata, na hata baada ya kuinua mikono juu still waka m-shoot na kumuuwa! kwa vile alikuwa ametoka ku staafishwa kwa maslai ya umma wanasiasa wakaanza ku connect dots zao...............
 
..Imran Kombe aliwahi kuwa brigade kamanda vita vya Kagera.

..ndiye kamanda aliyeongoza vikosi vya Jwtz vilivyowatwanga Waganda, na Walibya, ktk mapigano ya Lukaya.

..Imrani Kombe baada ya vita vya Kagera aliteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu / Chief of Staff wa Jwtz.

..baadae Imran Kombe aliteuliwa kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa mpaka alipostaafu utumishi wa umma.
 
Makamanda walioongoza brigedi za jeshi dhidi ya Amin
1.IMRAN KOMBE
2.DAVID MSUGURI
3.MWITA MARWA
4.MAKUNDA
5.WALDEN
 
Back
Top Bottom