Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Alishastaafu na alikuwa anaishi maisha ya kawaida na kutembea bila ulinzi. Watu hupenda kuongeza chumvi kwenye mambo yanayopata wakubwa lakini mimi nina uhakika aliuawa kwa uzembe wa polisi.
Hapana huyu aliuliwa na mfumo Dola wa ccm
 
Mambo ya kiinchi hayo mzee

Hutakiwi kujua sanaaaa

Ova
 
ukiangalia movie za ki intelligencia kama HOMELAND ua TEHRAN utaelewa haijalishi how potential ur ukizingua watu wanapita na wewe...!! nchi haiwezi kuwa compromized kifala tuu..
 
Huyu aliuwawa na polisi na sababu waliyoitoa ni kuwa walimfananisha na jambazi. Aliponyoshewa bastola, aliinua mikono juu kujisalimisha lakini walimuwasha risasi.

Sababu ya kuuwawa kwake ni kutoa siri kwa Augustine Lyatonga Mrema enzi hizo ambazo alizitumia kuilipua serikali bungeni. Baadaye Mrema aliachia uanachama wa CCM na kujiunga na upinzani. On the spot akanyang'anywa gari bungeni. Kuna mwamba akamsaidia kumpa gari huko Dodoma.. alipelekewa TRA akapigiwa hesabu za kumfilisi
Si kweli[emoji23][emoji23],mrema mwenyewe ndo walewale
 
ukiangalia movie za ki intelligencia kama HOMELAND ua TEHRAN utaelewa haijalishi how potential ur ukizingua watu wanapita na wewe...!! nchi haiwezi kuwa compromized kifala tuu..
Hizo ni PROPAGANDA MOVIE.

Ukweli wa mambo hauko hivyo.
 
Back
Top Bottom