Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

UHUSIANO WAKE NA LYATONGA MREMA,NA YEYE KUTOKUTII KANUNI ZA KIAPO CHA KUTOKUTOA SILI ZA KUTENGO,KILICHOFANYIKA KILIPASHWA KIFANYIKE,NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI,HATA YEYE ALISHAWAHI KUWAFANYIA WENGINE,KUMBUKA KANALI ANDRE SHIJA,
 
akitokea Zimbabwe ambako alikuwa akihudumu kama Daktari

Alisahau this is Tanzania
Alisahau hii ni Tanzania?

Kwani Marekani unaweza kwenda kuwaambia mimi ni daktari kutoka Mombo Hospital nipeni mwili wa huyu niga aliyeshutiwa ( achilia mbali CIA director), nataka kumfanyia autopsy. Watakubali au watakwambia get the eff outta here ?
 
Kaongelea

Tazama page ya 182 japo kaongelea kwa ufupi

'…there was much suspicion that this had been arranged by me and the goverment something I assure you is non sense…'
Japo sijasoma kitabu cha Mka-Hapa ila nabet hawezi kuongelea suala hili. Hasa ukizingatia bado familia ya Marehemu Kombe ipo.

Kuna siri katika utawala inabidi uingie nazo kaburini tu hamna namna.
 
NA HATA YEYE ALIKUWA ANAJUA KITAFANYIKA,ISIPOKUWA HAKUJUA NI LINI,KWANI ALICHOKUWA ANAKIFANYA ALIKUWA ANAJUA ADHABU YAKE NI IPI
Naamini alijua yuko juu ya adhabu ndondogo kama hizi kwakukwa alijiaminisha kuwa Lyatonga ndo next perezidaa.
 
Dah... mkuu sina info hizo asee.

Huyo Kanali ilikuwaje?
 
Dah... mkuu sina info hizo asee.

Huyo Kanali ilikuwaje?
Kanali Andrew shija pia alikuwa ni mwanakitengo wa ngazi ya juu sn,lkn pia alikuwa kwenye chama,baada ya kuenenda ndivyo sivyo,yalitolewa maelekezo tu,wenye taaluma zao wakatimiza wajibu wao kwa masirahi ya nchi,maskini wa mungu shija alipigwa nondo majira ya saa 12 jioni,
 
Kumbe kupiga nondo huko Mbeya wsnaiga tuu...mambo yalianza kitambo huko kwa wazito na wanene.

Ila asee...sijui kwanini watu wanapenda hiyo kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…