Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

kwani huyo chenka ulishawahi kufahamu alikuwa wapi au unafikiri mtu anatokea from no where kuingia ikulu.
 
Baadhi ya mambo yaliyogharimu uhai wake ni pamoja na kuunga mkono waziwazi baadhi ya masuala kama vle;

Mzee wa Kiraracha anakamata tausi na madini airport. Mizigo hyo ikadaiwa ni ya fest ledi wa mzee wa fair.

Kulikuwa na fukuto mjengoni la kudai serikali 3 chini ya Njelu Kisaka na G55 yake ambao walipata nguvu kubwa ya Mwana Idara no.1

Nani asiyejua jinsi Mwana Idara no. 1 alivyokuwa upande wa Mzee wa Mtera kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 1995. Kiasi cha kupishana kabisa na Mzee Mchonga ambaye mpaka anakufa hakuwahi kumsamehe Mzee wa Mtera

Pia Mwana Idara alikuwa mpenzi mkubwa wa mabadiliko huko kwenye karafuu na nazi, alitamani Mgombea mkongwe wa Urais kila uchaguzi huko kwenye karafuu na nazi awe Rais lkn haikuwa hvyo.

Hivyo kuna wanaoamini Mchonga alitumia kura yake ya turufu katika kuamua hatma ya mwanaidara.

Aksanteni.
 
Hao huwa hawaapishwi kwa Biblia Au Quran?
 
Lugha ngumu hii
 
Kama angekua ni slim angetuma watu wake na sio polisi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…