Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Kukosea target hadi iangukie kwa mtu aliyekuwa boss wako?!! Mtu aliyewahi kuwa kiongozi wa ngazi ya juu kabisa katika idara nyeti unayoitumikia. Hapa kuna ukakasikidogo
Naomba kufahamishwa wahusika walifungwa katika gereza gani,walitumikia muda gani hadi kutoka kwa msamaha wa Chief?
Pohamba salute pamoja na wote wanaoupa uzi uhai
Wauaji wanadai walimuua Kwa kufananisha gari yake na gari iliyoibiwa japo hapakuwa na taarifa zozote zilizowahi kurepotiwa Kuwa kuna gari imepotea
Naomba kufahamishwa wahusika walifungwa katika gereza gani,walitumikia muda gani hadi kutoka kwa msamaha wa Chief?
Pohamba salute pamoja na wote wanaoupa uzi uhai