Wee ndo umemaliza kila kitu.Rudeboy 'Paul' ni bora zaidi kwenye uimbaji, hata ukifatilia nyimbo za PSquare wakiwa pamoja yeye ndio alikuwa akicover sehemu kubwa ya nyimbo zao, Peter yeye ni mzuri zaidi kwenye dancing kuliko uimbaji so kwa wanaowajua vizuri haishangazi kwanini Paul anafanya vizuri zaidi kama solo, kwanza mashabiki huwa wanamkejeli Peter kwa kumuita 'dancer' na sio mwanamuziki. Kingine nachompendea Paul ni mtulivu, sio mtu wa Mashauzi kama Peter
Mkuu mbona hueleweki juu umesema demu mkibosho chini umemaliza ni mmachameKuna jamaa yangu mmachane alipata demu mkibosho wote ni wazaliwa wa dar, ila Mikasa ilianza demu alipopata ujauzito familia ya mshkaji iligoma kabisa kumtambua demu kama mkwe, ikafika kipindi demu kajifungua wanataka kubatiza mtoto familia ya jamaa iligoma kabisa kutoa ushirikiano demu akawa analia tu, sisi tunakula bia tunamwambia Shem kausha yataisha, Sasa ikafika point jamaa anataka kufunga ndoa hapo ndo familia yake ikaona mshenzi huyu wakaamua kumfukuza kwenye nyumba aliyojenga kwenye uwanja wa familia, tulienda Moshi kwenye send-off ya demu masela tupu hakuna ndugu hata mmoja wa mwanaume, ila baada ya send-off tulikaa kama kamati tukamshauri mwana asitishe masuala ya harusi maana maneno na vikao vya ndugu kumlaani vilikua vingi sana, hadi leo jamaa anaishi na demu wanalea mtoto wao bila kufunga ndoa, niliongea na baadhi ya ndugu was jamaa wanasema ni bora angeoa demu wa kigoma au shinyanga kuliko kuoa mmachame
Demu ni mkibosho jamaa mmachame, mambo yenu ya kichaga yananivurugaMkuu mbona hueleweki juu umeseka demu mkibosho chini umemaliza ni mmachame
Yeah reason with me, chizoba, nkeji, fire Fire, hata hii salute na alikiba jamaa kaua sana.Peter anahaha tu ukiangalia hata kimziki Rudeboy yuko vzr sana na anatoa hit song tupuu!kuna Chizoba...Reason with me za Rude go and listen those songs ziko bombs..Peter ni denacer na Paul ni muimbaji na ndo maana walivotengana Peter alijikakamua kutoa nyimbo mwenzie alikaa almost a year bila kutoa nyimbo alivokuja kutoa Chizobaa...kila MTU alielewa somo na mpk Leo Rudeboy ako vzr sana!!!Peter yeye anatangaza tu bahati nasibu ndo zinampa pesa ila kimziki yuko chini hasaaaYaap Lola ni mdada wa mjini kwa naijeria kule na kwa story za mitandaoni hata mama yao before hajadanja Hakka anamkubali Lola awe na mwanawe alisemaga hamtaki kwanza kawzidi seven yrs wale mapacha then mjanja mjanja sema ndo wakaka kichwa cha chini kikifanha baasi cha juu kinastuck hapo halo jamaa akakomaa kumuoa huyo Lola na lile kundi aliyekua anafanya lisavaivu ni bimkubwa wao maana alivokufa tu nafikiri hawakukaa hata miaka 2 vurugu zikaanza ila chanzo ni Lola kutaka Jude's aache kuwasimamia eti kwa madai anawanyonya sana na wao ndo wanafanya kazi kubwa!Paul akagoma kaka yao kuacha kua meneja Peter akaaside na mkewe ndo shida ilipoanzia hapo wakatengana,wakarudiana,wakatengana tena na ndo hawakurudiana mpk Leo ...Ila kimafanikio Rudeboy kimziki yuko juu...yule Peter mbwembwe tu then Paul ni mpole sana hana maneno maneno kama huyu Peter!!!!
Ni mastaa pia huku mtaani kwetu. kwaio ni vile vile tuShida ni kuwa hao sio ma Star
Huyo ambae hana Rasta Peter...bishooo Fulani hivi anabinua midomoAliye mkula ZALI ni nani kati ya hao watatu?
Mr P ,yule anayedance hana rasta ndio inasemekana alimkula zali mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliye mkula ZALI ni nani kati ya hao watatu?
Peter ni mzuri sana wa kudance kwenye utunzi na uimbaji Paul namba nyengineJamaa Peter niliona post yake majuzi anajitamba kuwa amepata mafanikio makubwa kama Solo kuliko alivyokuwa kwenye kundi..!
Nikajua hapa kuna kitu sio bure halafu naona mwenzie rude Boy yupo kimya
Sema kiukweli wakiwa Solo sasa nyimbo za rude Boy ndio nzuri kwa kweli
Hebu check hii video, uone kama Rasta ni muungwanaπππRasta Muungwana sana shida ni
Peter
ππππ mkuu umeamua kuleta evidence kabisaaHebu check hii video, uone kama Rasta ni muungwanaπππ
Wamachame na wakibosho huwa hawaoani kuanzia kimila no wonder ndoa iligoma ni wachache Sana huoana Tena kwa ku Force.Kuna jamaa yangu mmachane alipata demu mkibosho wote ni wazaliwa wa dar, ila Mikasa ilianza demu alipopata ujauzito familia ya mshkaji iligoma kabisa kumtambua demu kama mkwe, ikafika kipindi demu kajifungua wanataka kubatiza mtoto familia ya jamaa iligoma kabisa kutoa ushirikiano demu akawa analia tu, sisi tunakula bia tunamwambia Shem kausha yataisha, Sasa ikafika point jamaa anataka kufunga ndoa hapo ndo familia yake ikaona mshenzi huyu wakaamua kumfukuza kwenye nyumba aliyojenga kwenye uwanja wa familia, tulienda Moshi kwenye send-off ya demu masela tupu hakuna ndugu hata mmoja wa mwanaume, ila baada ya send-off tulikaa kama kamati tukamshauri mwana asitishe masuala ya harusi maana maneno na vikao vya ndugu kumlaani vilikua vingi sana, hadi leo jamaa anaishi na demu wanalea mtoto wao bila kufunga ndoa, niliongea na baadhi ya ndugu was jamaa wanasema ni bora angeoa demu wa kigoma au shinyanga kuliko kuoa mmachame
Walikosana kitu gani ?Wamachame na wakibosho huwa hawaoani kuanzia kimila no wonder ndoa iligoma ni wachache Sana huoana Tena kwa ku Force.
Mambo ya ma mila na milaana yaliyoachwa na wazee kisa Vita vya kijadi walivokuwa wanapigana ikiwemo usaliti hasa baada ya kutokea mauaji ya kutisha.Walikosana kitu gani ?
Mauaji gani?Mambo ya ma mila na milaana yaliyoachwa na wazee kisa Vita vya kijadi walivokuwa wanapigana ikiwemo usaliti hasa baada ya kutokea mauaji ya kutisha.
Mapigano ya kikabila Kati Yao ndo yaliyoleta uhasamaMauaji gani?
Mr P - karma, ni bonge la hit aseeeh.Nyie hamjui mr p ni nomaa sio poa kabisa ,kaachia hit song kama
-Look into your eyes
-ebano
-cool down
-work work ..
Katoa album ina hit song kibao ...
Kiufupi mr p sio poa ,rude boy kapoa sanaa ,na hawezi kumfikia mr p ..
Mr p anaimba ,anadance ,na yuko powerful ...
Kiufupi mr p ndio alikuwa analibeba kundi la psquare ...
Nyimbo zote za psquare zilizo hit mr p ndio kachukua nafasi kubwa ,kuimba na kudence ...
-Alingo
-personally
-shekin
-away
-Ejajo ft TI
Hata kwenye perfomance stage mr p ndio mbunifu ,na alikuwa anachukua nafasi kubwa sanaa ...
Rudeboy naamin anajuta kuvunjika kwa kundi la psquare ..
Japo mr p mwenyewe ndio sababu ....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ambae hana Rasta Peter...bishooo Fulani hivi anabinua midomo
Look into my eyes kummmmkeMr P - karma, ni bonge la hit aseeeh.