Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

Kuna bei za vitu vya ajabu ajabu sana bongo,

Kuna huu urembo wa Tv shiw case kwa kutumia panel kuna mdau pale sinza alisema kazi yote ni 6m

Nikaingia mtaani nikanumua material na fundi iligota laki 8.

Chamber zisizo jaa kuna fundi famous mtandaoni akasema 4m, nikasaka fundi wengine wakafanya 1m

Kisima niliambuwa futi 12 milion 9,

Kuna fundi wengine wakaja na kimtambo chao wanazunguka nacho kinachimba, nikapata maji ya kutosha hayasumbui niliwapa laki 6
 
Iyo ni offer ...kwakua ubora wa kifaa kwenye kupima maji..ndio mana bei zangu kidogo ziko juu ya survey za wengine
Kifaa kinaweza kuwa bora lakini wewe ukawa siyo bora yaani kilaza kwa hiyo utapeli uko pale pale!
 
Bei za wapi izo njoo Tabata kuna kampuni ya kichina million 4 tu unachimbiwa mpaka mita 60..wanakuja na wataalamu wao wanapima kabisa..usifanye mchezo na wachina..wanachimba mpaka kwa mkopo unatoa 2million inayobaki mnaandikishinana unaimalizia lini..Watu mambo ya dawasco tulishayasahau.
weka bussness card yao hapa
 
Kuna bei za vitu vya ajabu ajabu sana bongo,

Kuna huu urembo wa Tv shiw case kwa kutumia panel kuna mdau pale sinza alisema kazi yote ni 6m

Nikaingia mtaani nikanumua material na fundi iligota laki 8.

Chamber zisizo jaa kuna fundi famous mtandaoni akasema 4m, nikasaka fundi wengine wakafanya 1m

Kisima niliambuwa futi 12 milion 9,

Kuna fundi wengine wakaja na kimtambo chao wanazunguka nacho kinachimba, nikapata maji ya kutosha hayasumbui niliwapa laki 6
Mafundi wengine miyeyusho
 
Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer (mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.

Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.

Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya.
Kama ni 50,000/= kwa meter, ukichimba meter 70 ni 3.5mil. Mabomba, Wire, pump nk. fanya 1.5mil. Si jumla ukiwa 5mil. unachimba kisima
 
Natamani kumjua huyo mchina wa tabata mana tunataka kuchimba kisima masjid hapa
 
Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer (mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.

Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.

Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya.
tena wana madharau kama yote
walikuja kumchimbia jirani yangu, kwa millioni kumi. nakajisemea labda gharama huwa ni usafirishaji wa mitambo kuja site, nikawaomba kwa milioni 2 wanichimbie na mimi wakagoma
hadi leo sijui why wanachimbisha kwa gharama hivo
nkampa dogo mmoja tender ya kuchimba kwa jembe. maji yakatoka miaka nane sasa
nikalipa laki nne. maisha yanaenda
 
tena wana madharau kama yote
walikuja kumchimbia jirani yangu, kwa millioni kumi. nakajisemea labda gharama huwa ni usafirishaji wa mitambo kuja site, nikawaomba kwa milioni 2 wanichimbie na mimi wakagoma
hadi leo sijui why wanachimbisha kwa gharama hivo
nkampa dogo mmoja tender ya kuchimba kwa jembe. yakatoka miaka nane sasa
nikalipa laki nne. maisha yanaenda
Yaani unajisifu kwa kunywa vinyesi na mikojo yako!
 
Nishapitia changamoto Kama iyo,
Nilichogundua hizo Bei Ni upigaji TU.

Tatzo la dar,Udalali mwing Sana
Kampuni nyng za visima hapa dar Zina mawinga wengi Sana, inayopelekea Bei kua juu mno, kila winga ana shea Yake.

Tumia kampuni za visima zinazofanya kazi zao mikoani, Bei zao huwa chini Sana na kazi zao huwa Ni uhakika Sana.

Nmechimba visima 2 Hapa hapa dar (mita 35,kingine mita 48).
Hakuna Hata kimoja kilichozidi mil 5 kwa kila kitu, na vyote vinatoa maji mwaka mzima uhakika bila kukauka isipokua kimoja maji yake Yana chumvi.

Na wanatoa warranty ya miaka 2 Kisha kuna bima ya matengenezo, service zote unawapigia wanakuja kufanya kazi endapo kisima kikisumbua.

Option ambazo kwa kampuni nyng za dar, kuzipata Ni ndoto mno
Mkuu hao jamaa wa visima nawapataje,nisaidie namba yao..
 
Back
Top Bottom