Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Itakua ka kisima ka futi 6...hahaa😂😂😂😂 Mbona haya mambo yalikua kitambo sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ka kisima ka futi 6...hahaa😂😂😂😂 Mbona haya mambo yalikua kitambo sana mkuu
Hiyo laki tano umeipataje kama siyo kukadiria?Njoo nikufanyie survey ya viwango Bora kabisa kwa laki 5...achana na survey za kukadiria kadiria
Hicho kitakuwa choo siyo kisima!Nipe aliekuchimbia laki3 na nusu huku nkuhungu
Mimi ndio mwenye kifaa cha kupimia..labda kama una swali lingine boss..na hiyo ni offer JF..nje ya hapo bei yake ni juu ya hapoHiyo laki tano umeipataje kama siyo kukadiria?
Kwa hiyo umekadiria!Mimi ndio mwenye kifaa cha kupimia..labda kama una swali lingine boss..na hiyo ni offer JF..nje ya hapo bei yake ni juu ya hapo
Astakafillah astakafillah astakafillahItakua ka kisima ka futi 6...hahaa
Iyo ni offer ...kwakua ubora wa kifaa kwenye kupima maji..ndio mana bei zangu kidogo ziko juu ya survey za wengineKwa hiyo umekadiria!
Kifaa kinaweza kuwa bora lakini wewe ukawa siyo bora yaani kilaza kwa hiyo utapeli uko pale pale!Iyo ni offer ...kwakua ubora wa kifaa kwenye kupima maji..ndio mana bei zangu kidogo ziko juu ya survey za wengine
weka bussness card yao hapaBei za wapi izo njoo Tabata kuna kampuni ya kichina million 4 tu unachimbiwa mpaka mita 60..wanakuja na wataalamu wao wanapima kabisa..usifanye mchezo na wachina..wanachimba mpaka kwa mkopo unatoa 2million inayobaki mnaandikishinana unaimalizia lini..Watu mambo ya dawasco tulishayasahau.
Mafundi wengine miyeyushoKuna bei za vitu vya ajabu ajabu sana bongo,
Kuna huu urembo wa Tv shiw case kwa kutumia panel kuna mdau pale sinza alisema kazi yote ni 6m
Nikaingia mtaani nikanumua material na fundi iligota laki 8.
Chamber zisizo jaa kuna fundi famous mtandaoni akasema 4m, nikasaka fundi wengine wakafanya 1m
Kisima niliambuwa futi 12 milion 9,
Kuna fundi wengine wakaja na kimtambo chao wanazunguka nacho kinachimba, nikapata maji ya kutosha hayasumbui niliwapa laki 6
Kama ni 50,000/= kwa meter, ukichimba meter 70 ni 3.5mil. Mabomba, Wire, pump nk. fanya 1.5mil. Si jumla ukiwa 5mil. unachimba kisimaKatika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer (mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.
Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.
Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya.
Sahihi.Kama ni 50,000/= kwa meter, ukichimba meter 70 ni 3.5mil. Mabomba, Wire, pump nk. fanya 1.5mil. Si jumla ukiwa 5mil. unachimba kisima
tena wana madharau kama yoteKatika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer (mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.
Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.
Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya.
Yaani unajisifu kwa kunywa vinyesi na mikojo yako!tena wana madharau kama yote
walikuja kumchimbia jirani yangu, kwa millioni kumi. nakajisemea labda gharama huwa ni usafirishaji wa mitambo kuja site, nikawaomba kwa milioni 2 wanichimbie na mimi wakagoma
hadi leo sijui why wanachimbisha kwa gharama hivo
nkampa dogo mmoja tender ya kuchimba kwa jembe. yakatoka miaka nane sasa
nikalipa laki nne. maisha yanaenda
misamaki unayofakamia unadhani inanepa kwa lipi kama si vinyesiYaani unajisifu kwa kunywa vinyesi na mikojo yako!
Kwa hiyo usishangae gharama za kuchimba kisima ambacho maji yake hayatakuwa na vinyesi. Maji unayokunywa hivi sasa hayana tofauti na dimbwi la maji taka!misamaki unayofakamia unadhani inanepa kwa lipi kama si vinyesi
Mkuu hao jamaa wa visima nawapataje,nisaidie namba yao..Nishapitia changamoto Kama iyo,
Nilichogundua hizo Bei Ni upigaji TU.
Tatzo la dar,Udalali mwing Sana
Kampuni nyng za visima hapa dar Zina mawinga wengi Sana, inayopelekea Bei kua juu mno, kila winga ana shea Yake.
Tumia kampuni za visima zinazofanya kazi zao mikoani, Bei zao huwa chini Sana na kazi zao huwa Ni uhakika Sana.
Nmechimba visima 2 Hapa hapa dar (mita 35,kingine mita 48).
Hakuna Hata kimoja kilichozidi mil 5 kwa kila kitu, na vyote vinatoa maji mwaka mzima uhakika bila kukauka isipokua kimoja maji yake Yana chumvi.
Na wanatoa warranty ya miaka 2 Kisha kuna bima ya matengenezo, service zote unawapigia wanakuja kufanya kazi endapo kisima kikisumbua.
Option ambazo kwa kampuni nyng za dar, kuzipata Ni ndoto mno