Nini hasa kinafanya gharama za kuchimba kisima kuwa mil 8, 10, 12? What is so special?

hiyo mil5 ni uchimbaji tu au na mitambo ni juu yao ww unakabidhiwa kisima chako kimekamilika
 
Mkuu inategemea na water table ya maji, kuna mahsli maji yanapatikana 200m huwezi kamwe kuchimba hata kwa 5m
 
Wanakadiria kuokota dhahabu hivyo wakachaji extra.
 
Dah! So sad.
 
Safi sana aisee!!!.Hao jamaa wanaweza kuja Mikoani?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Nitakachokifanya siku za usoni nikuchimba kisima changu mwenyewe using my home made tools DIY.. YouTube ni msaada tosha mpaka sasa nachohitaji now ni kununua motor yaku drive hiyo shaft wakati wa uchimbaji the rest ni tool ambazo ziko available katika mazingira ya kawaida
 
Weka anuani mzee! Au huoni maombi yetu, au mawinga wamekupata PM wakakipiga mkwara, au ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…