Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ndio mkuuBado sijakuelewa. Unamaanisha wanachimba kwa 350k hadi wapate maji??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuBado sijakuelewa. Unamaanisha wanachimba kwa 350k hadi wapate maji??
Kampuni Ipo Wapi?Ndio mkuu
Duuh mkuu sipo seriousKampuni Ipo Wapi?
Watumia Gari Ama
Mkuu uko hapo boda, msalimie baba aisha pale dukani mkabala na shule ya chem chem.
Ndugu zangu tukutane hapa kizota tupige stori mbili 3.Dodoma pia huku Nkuhungu boda ni laki 3 na nusu...🙌🙌🙌😂😂
Ma~Story Na Ndugu Zako Ya Kuchimba VisimaNdugu zangu tukutane hapa kizota tupige stori mbili 3.
😂🤣
Eehh, Za kuchimba kisima.Ma~Story Na Ndugu Zako Ya Kuchimba Visima
Kuna muda nilihitaji wanichimbie kisima, sema hiyo gharama maana pia nilitaka maji niuze. Ila hiyo gharama ikanishinda na Cha kushangaza wakati wa kiangazi maji yanakata.
Kuna baadhi ya maeneo hapa Dar kama ukanda wa Kimara na Mbezi usipoteze hela yako kuchimba kisima
Water table ya hayo maeneo maji yake yana magadi maana ile sio chumvi imagine hata wanyama wanayasusa
Pole sanaNi kweli..
Nilichimba kisima ubungo external nikala hasara sababu ya magadi
Maji ya kisima tunayatumia kuflash vyoo tu
Pole sana
Mwanangu mmoja anaishi Kimara alipoteza milioni 8 kuchimba kisima
Sasa hivi kakitelekeza nafikiri naye anatumia kuflush tu
Haiwezi kuwa kweli hata kidogo.Ndio mkuu
Mpaka Wanyama Hawana Hamu Nayo Hayo Kweli Magadi Kooni YanagomaKuna baadhi ya maeneo hapa Dar kama ukanda wa Kimara, Mbezi, Kibamba, Ubungo usipoteze hela yako kuchimba kisima
Water table ya hayo maeneo maji yake yana magadi maana ile sio chumvi imagine hata wanyama wanayasusa
Shida hapo dalali ama ni kimbao au dalali kausha damu.🤣🤣Issue ni udalali tu hapo
Vipimo Vyao Vinaonyesha Maji Ila Havibainishi Ladha YakeKisima bwana ni risk sana.
Mimi nilichimba awamu ya kikwete. Ubungo maji yalikuwa shida sana..
Kipindi hicho Dumu moja linauzwa 1000. Ikabidi nichimbe kisima ili nami niuze maji.. ndio nikala hasara ya kupata maji yenye magadi kibaooo
Dalali Kausha DamuShida hapo dalali ama ni kimbao au dalali kausha damu.🤣🤣
Kikubwa kua na maji ya kuyeyusha njia unayoichimba utaokoa nguvu nyingi sn pili unaweza tumia wale wazibuavyoo watakusaidia kwakua wanaujuzi wakuchimbamaeneo km hayo gharama inaweza isifike hata 3milNitakachokifanya siku za usoni nikuchimba kisima changu mwenyewe using my home made tools DIY.. YouTube ni msaada tosha mpaka sasa nachohitaji now ni kununua motor yaku drive hiyo shaft wakati wa uchimbaji the rest ni tool ambazo ziko available katika mazingira ya kawaida
Vipimo Vyao Vinaonyesha Maji Ila Havibainishi Ladha Yake