Unatumia nn kuchota au umeconnect yanaenda bombaniHayatelezi wala hayaozi, maji ya mvua yana principle moja kubwa, yasipate mwanga wa jua, hilo tu. Hakikisha kisima kina mfuniko, usitumie ndoo kuchota maji manake usifungue ovyo. Situmii dawa yoyote na maji yanatumika kwa shughuli zote za ndani.
Lakini pia unatakiwa kutengeneza chamber yenye filter, kabla maji hayajaingia kwenye shimo yanapitia hapo, residuals zote haziingii ndani, pipe ya kuvuta maji inakuwa na filter pia...
Ni dodoma na location ni nkuhungu...Mhhh am nervous
Dodoma hii niijuayo jinsi ilivyo kavu an nha mkuuNi dodoma na location ni nkuhungu...
Sio sehemu zote utakutana na hiyo kitu
Nkuhungu unapajua...?Dodoma hii niijuayo jinsi ilivyo kavu an nha mkuu
Ndiyo mkuuNkuhungu unapajua...?
Uliwahi sikia kuna shida ya maji huku..?Ndiyo mkuu
Pump ya 0.5HP inatosha kupeleka maji kwenye tank, then ndani. Principle ni moja tu, usifungue mfuniko wa shimo na kuuacha wazi.Unatumia nn kuchota au umeconnect yanaenda bombani
Well noted nitaifanyia kazi hiiPump ya 0.5HP inatosha kupeleka maji kwenye tank, then ndani. Principle ni moja tu, usifungue mfuniko wa shimo na kuuacha wazi.
Sijaishi huko kwahiyo sijuiUliwahi sikia kuna shida ya maji huku..?
Process ndefu kidogo, kwanza kuchimba shimo na kulijengea lazima uwe na fundi anayejua au wewe ujue ili umuelekeze. Ila ni process inahitaji umakini ili maji yasipotee.Well noted nitaifanyia kazi hii
Kwahyo navunia kwenye shimo au ht simtank
Nivumilie tu rafiki yako kilaza mie 🤣
Hii nmeipaste kwenye notebook yanguProcess ndefu kidogo, kwanza kuchimba shimo na kulijengea lazima uwe na fundi anayejua au wewe ujue ili umuelekeze. Ila ni process inahitaji umakini ili maji yasipotee.
Pili, ukishamaliza kujenga unganisha gutters, pipe zishushe maji hadi kwenye shimo, kabla ya kufika shimoni tengeneza chamber ya kufilter maji ili uchafu usiingie kwenye shimo.
Then, tengeneza mfumo wa bomba kutoka kwenye shimo hadi kwenye tank, unganisha na motor(pump) ya kuvuta maji kupeleka kwenye tank juu, baada ya hapo kazi imeisha.
Situmii kilevi, ila nakunywa kvanga au wine🤣Hii nmeipaste kwenye notebook yangu
Asante babu
Kumbe ukiwa hujalewa una akili 😁
Sante sana babuSitumii kilevi, ila nakunywa kvanga au wine🤣
Chimba shimo walau liweze kubeba lita 40k-50k. Utanishukuru, Dawasa wakifanya yao hata 6months wewe na mkwe mnaoga na kuogelea tu🤣
Wewe unatakiwa ufanye ku-drill 100m upate yale ya chini huko, kama mfuko upo na maji yapo jaribu kuleta surveyor akupe makadirio, andaa 10m.Sante sana babu
Kila siku ungekuwa unaongea point hivi tungekuwa mbali sana mimi na wewe 🤣🤣
Wanakuja mpaka huku mikoani au Dar tu ?Bei za wapi izo njoo Tabata kuna kampuni ya kichina million 4 tu unachimbiwa mpaka mita 60..wanakuja na wataalamu wao wanapima kabisa..usifanye mchezo na wachina..wanachimba mpaka kwa mkopo unatoa 2million inayobaki mnaandikishinana unaimalizia lini..Watu mambo ya dawasco tulishayasahau.
Acha basi kumdanganya..mi kila wiki Maza ananipigia simu maji nkuhungu shida.. tena yupo hapo pembeni ya Shule ya Chanzi ChemchemNkuhungu unapajua...?
Hao wenye mashine na wao wamejaa tamaa sana,yani ni kweli uchimbaji wa visima ni ghali mno hakuna uhalisia yani tunapigwa sana sisi watanzaniaKazi ya uchimbaji visima imejaa udalali mkubwa wa kupindukia, ukitaka kuchimbiwa kisima kwa bei ambayo ni rahisi na halali bila ya kuwepo mtu wa katikati hakikisha unachimbiwa na kampuni ya mwenye mashine au unafanya biashara noja kwa moja na mmiliki wa mashine ya uchimbaji.
Sio kam nakupinga ila jua jao wanaofanyq survey sio kama wanaona huko chini bali wanafanya predictions kutokana na data walizopata kwahiyo huwa zinatofautiana kulingana na composition ya mwamba husika unaweza jua ni data zinazoashiria uwepo wa maji kumbe ni uwepo wa composition flan ya mwamba.sehemu fulani dodoma ndanindani huko walichimba mita 200 ardhini kwa mil.15 na hawakupata maji, wakasema wakiendelea zaidi ya hapo wanaweza kutoboa miamba ya volcano ukatokea moto kisha maafa.
Wakafungasha mitambo yao wakatokomea kusikojulikana na pesa za wananchi....
Na hili limeshatokea kwenye vijiji kadhaa nashuhudia kwa macho yangu utapeli huu. wanapima unasema maji yapo hapa mita kadhaa ardhini wakichimba wanakwambia yamekumbilie upande ule kwasabb ya vibration ya mashine!!!!
Nimekua mkubwa sasa,
2025 nitakwenda na haya mambo nitasimamia mwenyewe.
Na makubaliano yakiwa milion 10,15 au 20, sharti kuu la malipo itakua ni lazima maji yapatikane chini ya wanasheria nguli.
Hata kwenye kupima kwamba maji yapo au hayapo tutafanya chini ya makubaliano ya wanasheria....
Unapigiwa simu kumbe ..!!!!???!Acha basi kumdanganya..mi kila wiki Maza ananipigia simu maji nkuhungu shida.. tena yupo hapo pembeni ya Shule ya Chanzi Chemchem
Na hiyo ya volcano wewe unakubali ..?Sio kam nakupinga ila jua jao wanaofanyq survey sio kama wanaona huko chini bali wanafanya predictions kutokana na data walizopata kwahiyo huwa zinatofautiana kulingana na composition ya mwamba husika unaweza jua ni data zinazoashiria uwepo wa maji kumbe ni uwepo wa composition flan ya mwamba.
By the way survey ya maji ni kama betting