Nini hasa lengo la harakati hizi za kumuondoa Mbowe madarakani?

Baada ya uchaguzi wa 2020, CDM chini ya Mbowe ilikataa kupokea ruzuku kutoka serikalini. Kwa zaidi ya miaka miwili imekuwa ikijiendesha kwa mapato na michango yao wenyewe. Na badala ya kufa kama wahasimu wao walivyotegemea kikazidi kupanuka. Mbowe akafunguliwa kesi ya ugaidi. Kijana mmoja akawa anaenda mahakamani siku zote na kutoa taarifa almost verbatim yaliyokuwa yakijiri Mahakamani. Wakina mama wa Bawacha wamepigwa na kutupwa rumande kwa kupigania Mwenyekiti wao asitoke. Leo wote hao wanataka kutuambia kuwa walikuwa machawa!

Yericko alisema Lissu alinyang'anywa u anasheria Mkuu kwa sababu alikuwa haitishi vikao na utendaji mbovu. Mpaka leo hawajajibu shutuma hizo.

Lissu alikuwa manhandled Mbeya na akamtaja mpaka aliyehusika. Akaahidi kuwa atamshughulikia kama mtu binafsi. Mpaka leo kimyaaaa.

Amandla....
 
Mbuyu umedondoka hatimaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…