Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

Nothing existed before the big bang kuwa muelewa basi galaxies themselves ni matokeo ya big bang
So unanambia kuwa hakukuwa na chochote kabisa? No space, nothing at all. And all of a sudden boooom, big bang imetokea. Explain to me how it happened basi
 
In the near future it may be possible to create new galaxies yes hadi sasa with the available theories it is almost possible challenge ni energy tu but in the future we never know never underestimate humans
It is intresting. Unasema in the near future it may be possible to create new galaxies, so who is going to create them? Those with knowledge or it will create itself?
 
In the near future it may be possible to create new galaxies yes hadi sasa with the available theories it is almost possible challenge ni energy tu but in the future we never know never underestimate humans
It is intresting. Unasema in the near future it may be possible to create new galaxies, so who is going to create them? Those with knowledge or it will create itself?
 
hakuna pahala nimesema niko swa
Basi utambue kuwa, kufikiria kuwa kuna CREATOR of the universe haimaanishi kuwa ni mvivu wa kufikiri, hata baadhi ya scientist wanakubali uwepo wa muumbaji tena katika sekta hii hii ya universe.
 
Soon wanaweza kufika or may be not
Watu wasio na uelewa na science Mara nyingi hupenda kuuliza the origin of matter ,huwa hawajiuli nuclear bomb zinatengenezwa kwa principle zipi kwa maana ukijua mechanism ya nuclear fission and fusion huwezi uliza matter ilitokea wapi
Mkuu wewe ndiio unaijua sana science na hii physics yako ya moody physics, nimekuuliza swali dogo unaropoka mengi, we niambie origin yake, unaanza kuniambia nuclear fission na fusion, we si unajua ndio ungeelezea sasa sisi tusiojua tujue.
 
Suala la dini litaendelea kusimama madhubuti bila kuyumbishwa na mambo ya nyakati.Na hao wanasayansi kuhoji uwepo wa Mungu ni kiburi tu,mbona hoja ziko nyingi za kuthibitisha uwepo wa Mungu? Kwa mfano hao wanaoitwa wanasayansi sayansi wameikuta au wamekuja nao? Kama sayansi wameikuta asili yake wapi? Narudia kusisitiza,dini hasa uislamu,haitayumbishwa na hao wanasayansi.

Hoja za kuthibitisha uwepo wa mungu ndo zipi hizo mbona hujazitaja?
 
Wajinga mmeshika dini toka utotoni mmemezeshwa maduduwasha mkameza sasa mnajifanya mnajua sana kuhusu uwepo wa mungu kumbe hamna kitu, mna evidence yoyote zaidi ya uongo mliousoma kwenye vitabu vyenu? Hehe! no proof, nothing, just utter nonsense. ati mungu mjua vyote, alijua adam na eve watakula tunda alafu akawawekea mti? heheh! nuksi nyingine bna, na alijua yatakayotokea baada ya hapo, vifo, maumivu yote, vita, alafu bado akaweka mti? alafu mnasema ana mapenzi kuliko kiumbe chochote? hayo ni mapenzi au chuki? heheh! we unajua mtoto atajikata alafu unamtegeshea wembe then unamuonya asiguse huku unajua kabisa kua atagusa na atajikata?

Yanayofanyika mabaya yote leo mnakaa kusema kazi za shetani, hehehe kazi za shetani yupi? kazi ya mungu wenu huyo maana yeye ndiye aliweka mti, shetani alisema ukweli kabisa kua ukila hilo tunda utajua mema na mabaya, uongo wa shetani uko wapi hapo? alafu mnakaa kusema alidanganya, kwani leo hii hamjui mema na mabaya? people are so stupid yaani mnasikitisha, aliyetunga hizo hadithi alivuruga sana watu, imani za kipuuzi zimedumu for generations na zitaendelea kuwepo muda mrefu sana hadi pale ambapo tutaanza interstellar travel watu bado watakua wanaamini upuuzi tu.

Em fikirisheni bongo kidogo msijifanye wajinga, mnajaribu kuukataa ukweli kua mlimeza upuuzi kwa kua mnaogopa sijui jehanamu, upuuzi gani. Vitu vingine hata kwa akili ya kawaida mtu unaona kabisa its bullshit.
 
Wajinga mmeshika dini toka utotoni mmemezeshwa maduduwasha mkameza sasa mnajifanya mnajua sana kuhusu uwepo wa mungu kumbe hamna kitu, mna evidence yoyote zaidi ya uongo mliousoma kwenye vitabu vyenu? Hehe! no proof, nothing, just utter nonsense. ati mungu mjua vyote, alijua adam na eve watakula tunda alafu akawawekea mti? heheh! nuksi nyingine bna, na alijua yatakayotokea baada ya hapo, vifo, maumivu yote, vita, alafu bado akaweka mti? alafu mnasema ana mapenzi kuliko kiumbe chochote? hayo ni mapenzi au chuki? heheh! we unajua mtoto atajikata alafu unamtegeshea wembe then unamuonya asiguse huku unajua kabisa kua atagusa na atajikata?

Yanayofanyika mabaya yote leo mnakaa kusema kazi za shetani, hehehe kazi za shetani yupi? kazi ya mungu wenu huyo maana yeye ndiye aliweka mti, shetani alisema ukweli kabisa kua ukila hilo tunda utajua mema na mabaya, uongo wa shetani uko wapi hapo? alafu mnakaa kusema alidanganya, kwani leo hii hamjui mema na mabaya? people are so stupid yaani mnasikitisha, aliyetunga hizo hadithi alivuruga sana watu, imani za kipuuzi zimedumu for generations na zitaendelea kuwepo muda mrefu sana hadi pale ambapo tutaanza interstellar travel watu bado watakua wanaamini upuuzi tu.

Em fikirisheni bongo kidogo msijifanye wajinga, mnajaribu kuukataa ukweli kua mlimeza upuuzi kwa kua mnaogopa sijui jehanamu, upuuzi gani. Vitu vingine hata kwa akili ya kawaida mtu unaona kabisa its bullshit.
Yaani tunapata shida kwa makosa ya watu wengine ?nonsense
 
Kwaio unasema kuwa galaxies zilikuwepo kabla ya big bang? Billions od galaxies were already there just waiting for the big bang to happen?

Mimi ninaeamini Mungu ndie alietengeza universe, naamini ameitengeza mthematically. Kuanza elements zilizosababisha huo mripuko mpaka kukawa na galaxies. All these mathematically is possible. Ukiweza kucrack hio hesabu unaweza hata ukaja na your own man made universe. Lakini the point remains the same, YOU WILL BE THE CREATOR!

Unaposema kuwa tupange tofali bilioni moja kisha tufanye mripuko, kuna uwezekano wa kupata tofali zilizojipanga, bado hatujasolve hii ishu, kwa sababa itakuwa UMEzipanga kabla na HAZIJAJIPANGA WENYEWE.

Tunarudi pale pale.

Scientist wanatupa njia za kuelewa how things came to be.

Huo huo mfano wako wa matofali bilioni unatosha kukupa picha kuwa zinatakiwa zipangwe na sio zijipange.

Najaribu kukupa mifano ilokuwepo very simple ili kila mtu aifahamu kwa uwepesi. Huwezi kumuondo the creator of the universe kwenye hili.

Ni yeye ndie aliweka elements zilizofanya big bang. Hazikutokea from nowhere tu.
chanzo cha mungu ninini?
usiseme hana chanzo, mana umeuliza vyanzo vya vitu vingine nitashangaa yeye kukosa chanzo.
 
chanzo cha mungu ninini?
usiseme hana chanzo, mana umeuliza vyanzo vya vitu vingine nitashangaa yeye kukosa chanzo.
Swali lako ni simple sana kujibu. Mungu hana chanzo, kwa sababu yeye sio KIUMBE! 🙂

Sasa nijibu chanzo cha big bang source yake basi na wewe!
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?
Ndio mana aliparalize mpaka umauti ukamkuta...
 
Swali lako ni simple sana kujibu. Mungu hana chanzo, kwa sababu yeye sio KIUMBE! 🙂

Sasa nijibu chanzo cha big bang source yake basi na wewe!
kwani big bang ni kiumbe,..? asked out of curiousity
 
mnamo mwaka 1988,mwanasayansi maarufu na nguli wa elimu ya mathematics,physics,astronomy and cosmology anae kwenda kwa jina la Stephen Hawkins aliandika kitabu kiitwacho "a brief history in time from the big bang to hte black holes" kitabu hichi kilileta tafrani miongoni mwa wanadini wengi ulimwenguni kote.Ndani ya kitabu hichi professor Stephen Hawkins alijaribu kuelezea sayansi ngumu ya anga kwa lugha ambayo mtu wa kawaida kabisa angeweza kuelewa,akielezea big bang,supernovas, na black holes.Hawkins made a bold conclusion that the creation of the universe simply did not require any divine intervention or supernatural power.He suggested it was just the laws of nature.Hili suala lilileta mvutano mkubwa miongoni mwa wanadini wakisema mwanasayansi hapswi kuzungumza kuhusu Mungu,Hawkins alirespond kwa kusema
" asking if God exists is avalid question for science,infact he can't think of a more fundamental and important questionas such".Tukiachana na hilo lililonifanya niandike thread hii ni kile alichosema soon scientists will discover the theory of everything and in that theory hakuta kuwa na haja ya kumuhusisha Mungu kuelezea the creation of the universe.

Swali langu nini itakuwa hatima ya dini baada ya hapo?
what will be the fate of oour religion?

Ulishawahi kusikia kuwa watumishi wa Mungu makanisani wana uwezo wa kufufua wafu? What is the scientific theory behind? Emperical Science does not claim to have explanations to every phenomena. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari. The Professor is right, and the religious people are also right
 
Back
Top Bottom