JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Muulize DPP wa zanzibar Salma Ali HassanSheria ipi? Katazo si sheria
Nimevuka maji leo mkuuUnguja sheha ni wapi, nije church mbara mwenzangu
Why watumike Polisi ambao ni mali ya muungano kwenye kutekeleza sheria zao...?Kumbuka tu huo muungano ni wa nchi mbili znz wana katiba yao wana sheria zao kwa znz kula hadharani mchana wa Ramadhani ni kosa la jinai
Sheria zinaweza fanyiwa marekebisho pale ambapo hakutokuwa na usawa...Huyo Samia na mwinyi wafanyeje? Hizo sheria zipo znz toka karume mkubwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wewe kweli ni mtu wa Ajabu sheria zipo za znz wenyewe wazanzibari ndio wameamua hivo unakereka wewe Mkenya ? Pole sana
Wabara walioko Zanzibar wote ni Wala mchana wa Ramadan?Mbona kwa huku Bara ,wazanzibar wana uhuru 100%...
Kwanini kumfanya mbara kukosa uhuru ndani ya sehem ya nchi yake kisa dini...?
Lengo ni kuimarisha muungano,Huyo Samia na mwinyi wafanyeje? Hizo sheria zipo znz toka karume mkubwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Huyu naye mweupe kichwani hajui mambo ya muungano
Ungefika Kule katika majira hayo, ungeona Jinsi ilivyoshida kwenye suala la kula...Wabara walioko Zanzibar wote ni Wala mchana wa Ramadan?
Ukienda Roma ishi Kama warumiUngefika Kule katika majira hayo, ungeona Jinsi ilivyoshida kwenye suala la kula...
But si Tanzania moja ama ?Ukienda Roma ishi Kama warumi
Kimsingi hao polisi wanaokamata wananchi kwa sababu tu wamekula chakula wanavunja Katiba, na Katiba ipo juu ya sheria zote..Polisi ni Jambo la Muungano...ina maana wanafuata sheria za Jamhuri.
Je,wana usikaje kukamata watu kwa makosa ambayo kwenye Katiba hayapo...?
Ufafanuzi tafadhali.
Muungano una vipengele babu,1964 vilikua 11,Leo vimefika 20+, muungano si kwenye kila kituBut si Tanzania moja ama ?
Me sree zem oneI prefer not to speak. Because if I say anything I will be in trouble
Kumtumikia shetani kwa nguvu....Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Huyu mama anaota hasomi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala kujua kazi za polisi kwa mktadha wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambalo ni chombo cha muungano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na PGO yao ya Polisi kama chombo cha muungano na kazi zao kitendo cha polisi kukamata hao wala mchana hakiko sahihi kikatiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya mambo ya ndani ilikuwepo kwenye vile vipengele 11 vya muungano alivyosaini karume,au mliingiza kwa Hila baadae?Huyu mama anaota hasomi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala kujua kazi za polisi kwa mktadha wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambalo ni chombo cha muungano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na PGO yao ya Polisi kama chombo cha muungano na kazi zao
Me sree zem one