JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Utamaduni wa dini, kufanywa sheria ya nchi, na inabidi ifatwe na kila raia hata ambaye sio mfuasi wa dini,! Na hapa zenj,ni kwa vile wenye dini hiyo ni 90%!
Bara haiwezekani, kwa sababu walee sio majority, na hata wakitaka kuanzisha, upinzani utakuwa mkubwa Sana.
Bara haiwezekani, kwa sababu walee sio majority, na hata wakitaka kuanzisha, upinzani utakuwa mkubwa Sana.