Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Hakuna hatari yoyote tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Zenji wakristo ni wapangaji,
 
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Katazo haliwezi batilishwa? Kwa maana linaweka wazi madhaifu ya wafungaji wa ramadhan
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
 
Hivi inakuwaje mtu unashurutisha mtu mwingine afunge kisa umefunga wewe? Uislamu bwana ni shiiida tupu.
Wacha porojo nani amekushurutisha kufunga? Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Kwanini watalii hawakatazwi kuhusu kula na hata mavazi...?
Forodhani hua wanajiachia wala hakuna anaewagusa, wanashupaza mafuvu ku deal na watu wasio na madhara ktk uharibifu wa maadili , wanawaacha wenye nguvu kubwa ktk kuharibu...Mungu wao ni dhaifu mbele ya fedha
 
Nani kaweka sheria hizo, kwa ajiri ya nani na kwa manufaa yapi?
Kwani sheria katika nchi huwekwa na kina nani ? Ni wazanzibari ndio waloweka hiyo sheria kwa manufaa ya znz kulinda hulka silka mila na utamaduni wa znz
 
Wacha porojo nani amekushurutisha kufunga? Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Huyu punguani yupo na hili jibu la kipunguani kila mada.

Ungekuwa na akili japo kidogo ungewashauri wazanzibari wenzako waliopo Tanganyika warudi Zanzibat. Mjifungie huko na ushamba wenu.
 
Wewe wacha porojo wenyewe hao znz wana haki ya kuamua nchi Yao waiendeshe kwa sheria wanayotaka nchi ni yao serikali ni yao unaweza tii sheria zao huwezi baki kwenu

Porojo wakati nimekuwekea video kabisa ya jinsi majitu wa hiyo dini mnafanya ujinga wa kutaka kila mtu amuabudu huyo muarabu wenu, ni ujinga uliokubuhu maana hata ukiagizwa uweke ushahidi wa uwepo wa huyo allah au hata mohammad, hautakua na chochote cha kuonyesha zaidi ya kuvaa dera/kanzu eti ufanane na muarabu.
Usichokijua, muarabu huwaona kama mbwa tu, kuna video subiri nitaipachika humu weusi wananyimwa chakula ma hiyo miarabu miungu yenu.


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 

Attachments

  • 5674814-a14818219092ff5b8b26258ca67a71da.mp4
    11.9 MB
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Unamaanisha kwamba kwa kuwa uonevu umekuwa ukitokea tangu zamani, basi uachiwe uendelee tu?
 
Kuendeleza muungano na zanzibar ni sawa na kubeba gunia la misumari. Sidhani kama kuna faida kubwa ya huu muungano
Utapeli na unyonyaji mkubwa, muungano uvunjwe walw hatuutakii kabisa.
 
Hizo sheria sio mpya zipo muda mrefu tu wala hazijawahi kuwa tatizo wala hakuna aliekatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu
Tafadhali wekeni hiko kifungu cha sheria tukione....
Maana Katiba yenu ni written, aya taja hiko kifungu.
 
Inashangazaa mnoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…