Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Waislamu uwezo wa kudhibiti matamanio mdogo mno wawe wanawake au wanaume ila kwa wanaume ni zaidi inabidi dunia itangaze kuwa matamanio ya wanaume wa kiislamu yako juu mno na ni janga la dunia

Wakristo uwezo wa kuhimili matamanio ni mkubwa kuliko waislamu

Mfano sasa hivi wakristo wako kwenye mfungo wa siku 40 lakini hawalazimishi mtu kufunga pia sehemu za vyakula hawafungi kula hadharani ruksa wewe kula tu sababu kwenye kufunga Kikristo hutakiwi kujionyesha ukijionyesha onyesha mfungo unakuwa batili na sala zako zinakuwa batili.Na lazima kudhibiti matamanio yote mabaya kuanzia mawazo hadi vitendo waweza kuwa unauza chips kuku unauza na umefunga na mtu hajui kuwa umefunga.Ndio maana hata muda huu waislamu wengi hawajui kuwa Wakristo wako kwenye mfungo tena wa siku 40 sio siku chache 30 kama za waislamu

Sasa njoo mfungo wa Ramadhani kelele kibao ohh mimi nafunga ,usile mbele yangu na marufuku hoteli na sehemu za vyakula kufunguliwa mnatupa matamanio kufungua
Inabidi hadi nchi kama Zanzibar na nchi za kiislamu serikali itoe tamko kabisa mtu yeyote atakae uza chakula hadharani au kula atakiona cha mtema kuni kusaidia watu wafunge sababu uwezo wao wa kudhibiti matamanio ya kula urojo,chips kuku,pilau nk uko sifuri

Sasa mwanamke akionesha kapaja tu kidume cha kiislamu kadude kake kanainuka uwezo wa kudhibiti matamanio nyege zake hana hasa wanaume wa kiislamu sijui walitupiwa majini au nini? Hawana uwezo kabisa wa kudhibiti matamanio.Wakristo wako fit hata apite uchi mwanamke wanaume wanaona kichaa tu wanaendelea na mambo yao.Lakini waislamu utasikia Astakafilulah hata waweza mrushia mawe madude yao ndani ya kanzu yanainuka ghafla kama winchi ya kupakia mizigo bandarini wakati wenzao wakristo wala.
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Mathayo 6:16-18

[16]Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao.

[17]Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso

[18]ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.

KUFUNGA SIO MATANGAZO
Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Hata kama katazo si jipya, je, ni katazo halali kwa taifa linalojinasibu kuwa lina uhuru wa imani kwa wananchi wake? Ili kuweka usawa, basi katazo hilo liwepo pia kipindi cha Kwaresma. Vinginevyo litolewe lisiwepo kabisa ili kuweka usawa kwa dini zote.
Hakuna hatari yoyote tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Zenji wakristo ni wapangaji,
 
Huu ni ujinga na ni upumbavu wa serikali ya Zanzibar...

Kwani kila mtu ni muislamu huko Zanzibar?

Kwani huko Zanzibar hakuna uhuru wa mtu kuabudu na imani..?

Iweje watu wasio waislam walazimishwe kufanya na kutenda kama waislamu..?

Kwanini ulazimishe watu wafunge migahawa na hotel wakati kuna watu maelfu ambao sio waislamu na wengine ni waislamu lakini hawajafunga na wanahitaji chakula muda wowote..?

Kwanini ulazimishe watu kula kwa kificho eti tu kwa kuwa Kuna watu wa imani fulani hawataki kuona wengine wakila chakula?

Kwanini unyanyase na kutesa watu wengine kwa sababu ya dini na imani yako uliyoamua kuifuata mwenyewe kwa hiari yako?

Huu ndio hasa udhaifu, upuuzi na upogo wa hovyo kabisa wa dini na imani hii ya kiislamu..!!

And by the way, Je, ina maana Zanzibar imeshakuwa ghafla dola rasmi la kiislamu na hivyo lazima kila mtu bila kujali imani yake afuate sheria za dini ya kiislamu..?

Kama ni hivi Tanganyika haihitaji kuungana na nchi ya kishenzi dizaini hii. Huu mungano ni haramu na tuuvunje leoleo..!!
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Katazo haliwezi batilishwa? Kwa maana linaweka wazi madhaifu ya wafungaji wa ramadhan
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
 
Hivi inakuwaje mtu unashurutisha mtu mwingine afunge kisa umefunga wewe? Uislamu bwana ni shiiida tupu.
Wacha porojo nani amekushurutisha kufunga? Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
 
Kwanini watalii hawakatazwi kuhusu kula na hata mavazi...?
Forodhani hua wanajiachia wala hakuna anaewagusa, wanashupaza mafuvu ku deal na watu wasio na madhara ktk uharibifu wa maadili , wanawaacha wenye nguvu kubwa ktk kuharibu...Mungu wao ni dhaifu mbele ya fedha
 
Nani kaweka sheria hizo, kwa ajiri ya nani na kwa manufaa yapi?
Kwani sheria katika nchi huwekwa na kina nani ? Ni wazanzibari ndio waloweka hiyo sheria kwa manufaa ya znz kulinda hulka silka mila na utamaduni wa znz
 
Wacha porojo nani amekushurutisha kufunga? Sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Huyu punguani yupo na hili jibu la kipunguani kila mada.

Ungekuwa na akili japo kidogo ungewashauri wazanzibari wenzako waliopo Tanganyika warudi Zanzibat. Mjifungie huko na ushamba wenu.
 
Wewe wacha porojo wenyewe hao znz wana haki ya kuamua nchi Yao waiendeshe kwa sheria wanayotaka nchi ni yao serikali ni yao unaweza tii sheria zao huwezi baki kwenu

Porojo wakati nimekuwekea video kabisa ya jinsi majitu wa hiyo dini mnafanya ujinga wa kutaka kila mtu amuabudu huyo muarabu wenu, ni ujinga uliokubuhu maana hata ukiagizwa uweke ushahidi wa uwepo wa huyo allah au hata mohammad, hautakua na chochote cha kuonyesha zaidi ya kuvaa dera/kanzu eti ufanane na muarabu.
Usichokijua, muarabu huwaona kama mbwa tu, kuna video subiri nitaipachika humu weusi wananyimwa chakula ma hiyo miarabu miungu yenu.


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 

Attachments

  • 5674814-a14818219092ff5b8b26258ca67a71da.mp4
    11.9 MB
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Unamaanisha kwamba kwa kuwa uonevu umekuwa ukitokea tangu zamani, basi uachiwe uendelee tu?
 
Kuendeleza muungano na zanzibar ni sawa na kubeba gunia la misumari. Sidhani kama kuna faida kubwa ya huu muungano
Utapeli na unyonyaji mkubwa, muungano uvunjwe walw hatuutakii kabisa.
 
Hizo sheria sio mpya zipo muda mrefu tu wala hazijawahi kuwa tatizo wala hakuna aliekatazwa kula kilichokatazwa ni kula hadharani mchana wa Ramadhani tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu
Tafadhali wekeni hiko kifungu cha sheria tukione....
Maana Katiba yenu ni written, aya taja hiko kifungu.
 
Kuna mambo yanachekesha
Nawaza hapa polisi wanakamata mtu anakula,katika mahojiano mtuhumiwa anaulizwa kwanini umekula wakati wenzako wamefunga?seriously?

Mtu kala zake hadharani,kaamua yeye asifunge kwa sababu zake na Mungu wake...kwa nini mwingine ateseke?kwa inavyoonekana Zanzibar sio sehemu ya uhuru
Inashangazaa mnoo.
 
Back
Top Bottom