Mbona mama kizimkazi ni wa huko kisiwani, na anaongoza huku bara.imagine, halafu, mzanzibari huyohuyo ndio awe rais wa Tanzania, apigiwe kura na watanzania, aheshimike na watanzania, kwa mazingira ya aina hii huko kwao. hata mwinyi anayetazama tu watu wakristo wakipigwa viboko na kukamatwa mchana, kuna siku atakuja kuomba kura huku bara awe rais wenu, watanganyika.
Ungejibu maswali yangu niliyouliza, ningekuona una akili kidogo. Lakini umekwepa na badala yake unaleta ujinga na upuuzi wako..Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wasio na ndugu na wasio na nauli ya dsm wafanyeje?Dar es Salaam Sio mbali, wapande boti wakasherekee wanavyo taka, wakimalza warudi ZNZ.
sasa hicho ndio kinatufanya tuseme dini yenu sio ya amani,na zanzibar hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba yenu inavyodai. dini ya fujo, dini isiyovumilia wengine, dini inayochapa watu wazima viboko, ndugu zangu ikimbieni hiyo, sio ya kimungu, pazeni sauti na kwa watu wengine waikimbie hiyo dini wasiisogelee kabisa.Dar es Salaam Sio mbali, wapande boti wakasherekee wanavyo taka, wakimalza warudi ZNZ.
Wewe ndio punguani sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyikaHuyu punguani yupo na hili jibu la kipunguani kila mada.
Ungekuwa na akili japo kidogo ungewashauri wazanzibari wenzako waliopo Tanganyika warudi Zanzibat. Mjifungie huko na ushamba wenu.
Makafiri wanadhani wanaweza ibadilisha Zanzibar iwe Vatican, shenzy kabisa.Wewe ndio punguani sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Sii ubaki kwenu tanganyika
Waislam kama wangerekebisha mambo yafuatayo ingekuwa bonge la dini
1.ubaguzi
2.ndoa za wake wengi.
3.kutoamini uwepo wa utawala wa Mungu-wanaamini kujipigania wenyewe na sio Mungu awapiganie dhidi ya maadui zao.
4.kuona dini yao ni bora kuliko za wengine.
5.Pia kuna tatizo kufunga alafu ukaamka usiku kula.
Kama wangerekebisha haya Mimi ningesilimu mapema kwa sababu ukiristo kwa sasa unanizingua saaana kuna matapeli wanachakachua dini yetu.Waislam wamejitahidi kutoruhusu dini yao kuingiliwa na mafisadi.
Zanzibar ni kisiwa cha waafrika, kiko ndani ya nchi ya Afrika na wanaoishi ni Waafrika, hauwezi kutumia pumba za kiarabu kutesa waafrika wenzako, sio kila mtu pale anaabudu huyo muarabu, kuna Watanzania wametokea bara ambao hawahusiani na muarabu.
Ona hii video mlivyo majinga, mnamcharaza mtu viboko kisa kakula chakula ambacho kajinunulia kwa hela yake na jasho lake.
https://www.jamiiforums.com/data/video/5674/5674814-a14818219092ff5b8b26258ca67a71da.mp4
Niko Forodhani food market muda huu,watu ni wachache sana......
Huku hakunaga kusheherekea Pasaka ni kimyaa kimyaa.View attachment 2950316
Makafiri wanadhani wanaweza ibadilisha Zanzibar iwe Vatican, shenzy kabisa.
ungeongeza na kingine, kufunga ramadhani halafu badala ya kuyafungia matendo maovu unazunguka mchana kuangalia asiyefunga hata kama ni mkristo, umchape viboko.Waislam kama wangerekebisha mambo yafuatayo ingekuwa bonge la dini
1.ubaguzi
2.ndoa za wake wengi.
3.kutoamini uwepo wa utawala wa Mungu-wanaamini kujipigania wenyewe na sio Mungu awapiganie dhidi ya maadui zao.
4.kuona dini yao ni bora kuliko za wengine.
5.Pia kuna tatizo kufunga alafu ukaamka usiku kula.
Kama wangerekebisha haya Mimi ningesilimu mapema kwa sababu ukiristo kwa sasa unanizingua saaana kuna matapeli wanachakachua dini yetu.Waislam wamejitahidi kutoruhusu dini yao kuingiliwa na mafisadi.
Sheria zinaweza fanyiwa marekebisho pale ambapo hakutokuwa na usawa...
But si Tanzania moja ama ?
ngojeni aje presidaa mbara ndiyo mtakapo elewa....wewe ndio unahisi hazipi sawa, lakini wenyewe wanahisi zipo sawa na hawana tabu nazo, swlai ni kwanini nyinyi munateseka?
Funga siyo mateso,na huyo anaekula usiku kucha ni maamuzi yake binafsi...ungeongeza na kingine, kufunga ramadhani halafu badala ya kuyafungia matendo maovu unazunguka mchana kuangalia asiyefunga hata kama ni mkristo, umchape viboko.
pia, kipengele cha 5 mimi huwa sielewi, mtu anasema amefunga, ila usiku mzima anakula, hadi daku karibia na asubuhi ili kesho yake siku nzima tumbo limejaaa, limevunda, limebeba chakula kingi kuliko siku ambazo huwa hafungi. sasa anakuwa amefunga nini sasa?
Kumbuka hizo sheria sio mpya zipo toka Enzi ya nyererengojeni aje presidaa mbara ndiyo mtakapo elewa....