Hahahahahaaaaaa! Hii kali sasaAfrica siyo priority ya Donald Trump ha! ha anaweza kufunga Ubalozi wa Tanzania.View attachment 431613
Hilo swali unaweza kuuliza wewe. Trump hana mpango kabisa na Afrika. Sidhani kama ataanza kufukua makaburi yetuNaona mmeanza kulialia kabla ajaapishwa.
Operation ya kwanza ni kwa wale wote waliojibakisha madarakani kwa nguvu ya Dola.
Mimi nadhani tujiulize hivi....
NINI HATMA YA VISIWANI BAADA YA UJIO WA TRUMP?"
AGOA na MCC ni nyenzo mbili kuu zinazotumiwa na Marekani katika kuzisaidia nchi za Afrika kukabiliana na changamoto za ndani ya nchi ikiwa ni pamoja na masuala ya kiuchumi, kisiasa na hata utamaduni. Kupitia AGOA na MCC, nchi nyingi za Afrika zimenufaika kupitia miradi mingi ya maendeleo na kijamii kwa njia ya msaada na mikopo ya masharti nafuu.
Niwaulize wabobezi wa masuala ya siasa za Marekani, je Ujio wa Trump utaathiri vipi AGOA na MCC hasa ikizingatiwa matamshi aliyotoa hapo awali juu ya Afrika na watu wake?
Hizo hela za MCC waliinyima Tanzania baada ya kuchakachua uchaguzi wa Zanzibar.
Trump ni simba aliyejeruhiwa,alikuwa anaongelea uchakachuaji wa uchaguzi Marekani,na akaonya wasimchakachue.
Najua briefing kubwa atakayoipata kuhusu afrika mashariki,baada ya al shaabab,mafaili ambayo yatamchukiza sana ni la zanzibar,nkurunzinza,na baadae CongoDR.
Hayo yako mezani kwake kabisa tayari kwa hat