Nini Hatma ya MCC na AGOA baada ya Trump kuwa Rais wa Marekani?

Nini Hatma ya MCC na AGOA baada ya Trump kuwa Rais wa Marekani?

mkuu nimefurai sana huyu bwana kuwa rais wa marekani ili atunyooshe waafrica tuache utegamezi na kujitegemea wenyewe na kuzitumia vizuri rathilimali tulizoruzukiwa na Mwenyezi Mungu.
 
Mbona TRUMP yuko kwenye uhalisia wa MAGUFULI? Huenda wakapatana.
 
Kuna mwandishi aliwaisema waafrika WAPUMBAVU naanza kuamin na hsa WATANZANIA,iv Trump ana nguvu ipi yakuvuruga mifumo ya nchi zingne,yan ushindi wake as if ni mzawa wa Tanzania wanamueka mbele kwa siasa zao za chuki na chama Tawala.
TRUMP
Raiswa US
Anakazi kubwa yakujenga US
Ana majukumu ya kutmiza ahadi zake
TUACHE KUJIVUA THAMANI KWA SIASA ZETU ZA CHUKI KWAKUMFANYA TRUMP NGUZO,HUO NI UJUHA WA HALI YA JUU,
Tujenge Taifa letu,
 
Halafu huyo Jamaa Muamerikano Nikimwangalia Sana, Maamuzi yake Anafanana Na Mze, hapendi Ujinga Kabisa, Nadhani na yeye Ni Mchaka Mchaka wa Kazi tu.
Mchakamchaka wa hapa kazi tu bila ajira kwa vijana for almost a year now. Hizi slogans sijui huwa wanazitoa wapi
 
Kuna mwandishi aliwaisema waafrika WAPUMBAVU naanza kuamin na hsa WATANZANIA,iv Trump ana nguvu ipi yakuvuruga mifumo ya nchi zingne,yan ushindi wake as if ni mzawa wa Tanzania wanamueka mbele kwa siasa zao za chuki na chama Tawala.
TRUMP
Raiswa US
Anakazi kubwa yakujenga US
Ana majukumu ya kutmiza ahadi zake
TUACHE KUJIVUA THAMANI KWA SIASA ZETU ZA CHUKI KWAKUMFANYA TRUMP NGUZO,HUO NI UJUHA WA HALI YA JUU,
Tujenge Taifa letu,
utajenga vp wakat kuna mtu anasema tanzania yake ajenge yeye
 
AGOA na MCC ni nyenzo mbili kuu zinazotumiwa na Marekani katika kuzisaidia nchi za Afrika kukabiliana na changamoto za ndani ya nchi ikiwa ni pamoja na masuala ya kiuchumi, kisiasa na hata utamaduni. Kupitia AGOA na MCC, nchi nyingi za Afrika zimenufaika kupitia miradi mingi ya maendeleo na kijamii kwa njia ya msaada na mikopo ya masharti nafuu.

Niwaulize wabobezi wa masuala ya siasa za Marekani, je Ujio wa Trump utaathiri vipi AGOA na MCC hasa ikizingatiwa matamshi aliyotoa hapo awali juu ya Afrika na watu wake?
Batanzanie baone haya.
 
Back
Top Bottom