Nini Hatma ya MCC na AGOA baada ya Trump kuwa Rais wa Marekani?

MCC hujui kuwa imeshakuwa suspended kwa sababu ya wizi wa kura Zanzibar na ile sheria ya makosa ya kimtandao?
sikio la kufa halisikii dawa

wameongeza na sheria ya wanahabari.

ngoja mzee awape kichapo
 
Vipi atawasaidia na chadema pia kuingia madarakani ama vipi?
Kwa ufupi Chadema na vile vi NGO vilivyozoea kuishi kwa kuomba omba kwa taasisi za serikali ya marekani watafute shamba LA kulima.Chini ya Trump hiyo biashara haipo
 
Trump alikuwa anatafuta kura na kazipata alichofanya ni Kujitofautisha na Wenzake kwa kuwa anajua hivi sasa Duniani Nationalism ime prevail worldwide
 
Msitarajie makubwa kwakua ni Trump. Marekani inaongozwa na mifumo yao tangu zamani na ni maslahi tu yanafanya waamue kuingilia mahali au nchi. Au kutoa au kutotoa msaada.

So MCC na AGOA ambazo zimeshasainiwa zitaendelea. Kuzihuisha zikifa itategemea tu maslahi yao km bado yanahitaji hizo MCC au la
 
Tujiandae kutawala kidemokrasia.Trump hapendi Ujinga.
 
Asante kwa maono.
 
MCC inaendelea wapi?
hawa wameshafunga ofisi na kuondoka
 
MCC inaendelea wapi?
hawa wameshafunga ofisi na kuondoka
Mleta mada alichoongele ni hatima ya MCC kwa afrika sio Tanzania tu soma vizuri bandiko lake.Ziko nchi MCC bado wapo
 
Mleta mada alichoongele ni hatima ya MCC kwa afrika sio Tanzania tu soma vizuri bandiko lake.Ziko nchi MCC bado wapo
wewe ongelea nchi nyingine za kiafrika,mimi nimechagua Tanzania
 
WE UNAFIKIRI KWANINI SIE TUNAOWACHUKIA NYIE CCM NA MIUNGU WATU WENU MTAKOMA TUMEFURAHIA KWA SABABU HUYU TRUM NDIO PAROKO WA DUNIA SASA AKIKATAA KUJA KWENYE MISA YA MAZISHI YAKO HATA KATEKISTA HAKANYAGI HAPO NYUMBANI KWAKO SIKU YA MSIBA WAKO
 
Trump supports agoa... Mcc is already gone
 
Sisi tutachokifanya tutaorodhesha vipengele vyote vya mkataba wa MCC vilivyokiukwa na serikali ya CCM na tunahakikisha waraka wetu wenye ujumbe mzito juu ya hili unafika kwa Mzee Trump achukue maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…