Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Najaribu kuwaza akina SaananeJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Hahahhaha. Mungu ampumnzishe kwa amani. Rais wetu aliyesema yeye hashauriki.Hahahahha Vicky naona leo umeamka kivingine, ulikua hautaki kumkera marehemu?!
Ongeza nyama hapa umeweka mchuzi tuuMkuu, hali si shwari sana ila ipo managed.
Kuna mada nilileta humu jumapili asubuhi kuhusu utata lakini ikaondolewa na Mods haraka.
Kuhusu kudhibiti upo 90% hali ndivo inavyosemwa ilionekana.
Ila mambo yalofanyika kuna kikundi cha watu wakiongozwa na na mtu fulani watakuja kuanikwa hadharani na kupata shida sana.
Siwezi kuongea mengi lakini yasikitisha kuona jinsi sisi waafrika tunavyozidi kujidhihisha kuwa ni wadhaifu sana na tupo tayari kutumika wakati wowote kama dodoki.
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Karibu kundiniHahahhaha.Mungu ampumnzishe kwa amani. Rais wetu aliyesema yeye hashauriki.
Hata mimi nimekupenda sana kwa michango yako kwenye suala hili la ukaribu wako acha Mpendwa wetu apumzike sitamsahau kwenye UMEME WA TANESCOHahahhaha.Mungu ampumnzishe kwa amani. Rais wetu aliyesema yeye hashauriki.
Hiyo siyo miradi ya kipaumbele wala kimkakati. Tunakwenda kwa priorities. Ile zoo ya Bulige labda ije rejuvenate naturally kuwa mbuga la sivyo hakuna kupeleka tena resource kule maana bado tuna mbuga nyingi natural z kuendelezaUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Sasa hapo chuo cha veta kimeshakamilika na kilishaanza udahili na kina wanafunziUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Ungekuwa unalia kweli usingepata nguvu ya kuandila paka msiba upiteJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Maombi hayo kwioooo!Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Sasa hapo chuo cha veta kimwsha kamilika na kilisha anza udahili na kina wanafunzi
Concern labda ni iyo airport lkn hospital si ilisha fikia 80% kwa tulivyo fahamishwa last time
Pole sana mwaya.sema ulichelewa muda Wa kuomba Jana jioni,maana SAA 12 jioni tayari anafanyiwa party na malaika za welcome home mkuu wao.
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Baada ya mazishi Uwanja hautahitajija eneo warudishiwe wananchi walionyang'anywa mashamba na machungio yao na kuhamishwa kupisha ujenzi, Hospitali ya Rufaa iwe Kituo cha Afya, Chuo cha VETA kiwe cha Taifa, Mbuga ibaki Forest Reserve na Uwanja wa Mpira utupiliwe mbali maana Wasukuma ni wafugaji siyo wachezaji. Miradi yote hiyo kama Wasukuma wa Chato wangeulizwa na kutakiwa wagharamie wenyewe kwa kuuza mifugo yao wangeikataa na kumpiga mawe mleta wazo maana siyo vipaumbele vyao. Wasukuma wazuri sana wameharibiwa na Awamu ya Tano!Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Sasa ndugu yame majengo pale ivi umeyaona? Ni A class building huwezi kuyatelekeza tena ukitazama kwa sekta nyeti kama ya afya na isitoshe nikisikiaga kama kuna vifaa pia vilishaanza kufungwa so to me ni GREEN lightKwa miradi ambayo tayari imekamilika yes, haitakuwa na shaka kwamba itaendelea.
Mfano hiyo hospital hata kama itaisha unadhani itapewa hadhi ya Rufaa? Maana ndo ilikuwa plan.