Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
😭 😭 😭 😭 😭
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Wote tuna wazazi... hata Ben Saanane naye, Azory etc
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Bora hata yeye atamzika mwanae hebu Vuta picha ya Baba na mama WA Ben Saanane kila siku wanaangalia njia alivyokuwa anaingilia nyumbani wakitegemea watamuona siku moja. Haki ya kuishi iheshimiwe kifo kinauma sana tena sana.
 
Uwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Wananchi wa Chato bado wapo kwa hiyo hakuna kitakachoharibika
 
Poleni Sana watanzania wenzangu kwa msiba wa rais wetu mpendwa!

Wakati mzee baba Yupo hai Chato ilikuwa haikauki midomoni mwa watu.

Miradi mikubwa mikubwa ya kimaendeleo ilikuwa inatekelezwa Chato nyumbani kwa rais, uwanja wa ndege wa kimataifa, hospitali kubwa ya kanda imejengwa Chato,uwanja wa mpira wa kisasa ulipangwa kujengwa Chato ambako ni nyumbani kwa marehemu rais!

Hizi wiki 2 wakati mzee anaumwa Chato ilikuwa imekauka midomoni mwa watu na kwa viongozi kwa maana ilisahaulika

Je hivi rais amekufa na yeye ndio alikuwa anaiendeleza Chato kwa miradi mikubwa na kuifanya Chato maarufu nchi kwetu ndo inaenda kusahaulika

Nakumbuka Mobutu seseseko alikijenga Sana kijiji Cha kwao Gbalollite lakini baada ya kuondolewa madarakani kijiji kimesahaulika na miradi yote imekufa.

Je Chato itakuaje baada ya muasisi wa kuijenga kufariki dunia...???Najiiuliza tu.
 
Chato airport wakabidhiwe jeshi uwe uwanja wa jeshi Ili usije haribika
Yes Hilo ndio jambo la kufanya , ile Air Wing Camp pale Mwanza Airpprt ihamishiwe Chato ili usipotee na angalau iwe namna ya kumuenzi uitwe JOHN POMBE MAGUFULI BASE AIRPORT ....Unaweza kutoa huduma kwa ndege vita ,usafirishaji na chache za abiria ....
 
Nachojua Ndege itaenda kutua uwanja wa ndege chatle kwa mara ya mwisho kabla ya kuwa eneo la malisho ya mifugo
 
walikuwa wanafanya kwasababu ya kujipendekeza kwaiyoo ndo mwishoo

Screenshot_20210318_090536.jpg
 
Back
Top Bottom