Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
It was all in fear of him, walikuwa wakijipendekeza kwake wabaki kwenye hiyvo vyeo.Point yangu inabase kwenye jinsi ambavyo viongozi wa serikali walikuwa wanaitetea hiyo miradi, najiuliza je wataiendeleza?
😭 😭 😭 😭 😭Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Wote tuna wazazi... hata Ben Saanane naye, Azory etcJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Bora hata yeye atamzika mwanae hebu Vuta picha ya Baba na mama WA Ben Saanane kila siku wanaangalia njia alivyokuwa anaingilia nyumbani wakitegemea watamuona siku moja. Haki ya kuishi iheshimiwe kifo kinauma sana tena sana.Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭 mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Yabaki, Ikulu ya Dodoma igeuzwe iwe chuo kikuuu ili isipoteeMakao makuu Dodoma vipi?
Wananchi wa Chato bado wapo kwa hiyo hakuna kitakachoharibikaUwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Ni sehemu ya Tanzania si ndio!?Uwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Yes Hilo ndio jambo la kufanya , ile Air Wing Camp pale Mwanza Airpprt ihamishiwe Chato ili usipotee na angalau iwe namna ya kumuenzi uitwe JOHN POMBE MAGUFULI BASE AIRPORT ....Unaweza kutoa huduma kwa ndege vita ,usafirishaji na chache za abiria ....Chato airport wakabidhiwe jeshi uwe uwanja wa jeshi Ili usije haribika
Haya hayawezi kubadilishwa yatajaengwa kama kawaMakao makuu Dodoma vipi?
Kila mtu ana mtoyo na wengine tumewahi fiwa na watotoNimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Kwa sasa inategemea na hisani ya mama Samia na washauri wake.Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
walikuwa wanafanya kwasababu ya kujipendekeza kwaiyoo ndo mwishoo