Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Baada ya mazishi Uwanja hautahitajija eneo warudishiwe wananchi walionyang'anywa mashamba na machungio yao na kuhamishwa kupisha ujenzi, Hospitali ya Rufaa iwe Kituo cha Afya, Chuo cha VETA kiwe cha Taifa, Mbuga ibaki Forest Reserve na Uwanja wa Mpira utupiliwe mbali maana Wasukuma ni wafugaji siyo wachezaji. Miradi yote hiyo kama Wasukuma wa Chato wangeulizwa na kutakiwa wagharamie wenyewe kwa kuuza mifugo yao wangeikataa na kumpiga mawe mleta wazo maana siyo vipaumbele vyao. Wasukuma wazuri sana wameharibiwa na Awamu ya Tano!
Twiga naye apelekwe wapi? Maana Kigwangala alimpeleka mmoja
Kuna Simba na Swala hiyo mbuga tulishaikataa
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Imeshaisha hiyooooooo!!! Zamani tulikuwa tunasema Karasiiiiii!!
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Ben Saanane na Lissu alikuwa mtoto wa sokwe?.
 
Kwani si ni mipango ya serikali hiyo?kwa nini tuanze kuhoji?mimi nadhani hao mawaziri watatakiwa kuisimamia ikamilike maana ilikuwa kwenye ilani ya ccm.tukianza kuhoji hayo tutaanza kuhoji pia na ujenzi wa busis bridge,nyerere hydro, sgr,midege mingine.

So kama hayo mamiradi hayakuainishwa kwenye ilan pamoja na mpango wa maendeleo wa nchi basi inabidi yafikiliwe upya.sioni waziri yule yule aliyeleta hizo hoja bungeni alete tena hoja za ku cancel.

Ila pia waangalie kama tayari kulikuwa na contractual obligation,watashikilia mindege yetu.

Sijui budget ya mwaka huu itakavyokuwa,bahati mbaya hata alikuwa hajasaini mswaada wa budget take ya kwanza ktk kipindi chake cha pili
Tatizo ambalo tunakabiliana nalo sasa ni mdololo wa uchumi hasa kutokana na corona. Miradi mingi ilianzishwa kabla ya corona na sasa mapato yamepungua km sekta ya utalii. Hivyo serikali lazima iainishe miradi kulingana na mapato ya nchi na vipa umbele vya maendeleo. Haina maana kulundika miradi mingi isiyokuwa na tija ktk wilaya moja ndogo wkt zipo sehemu nyingi tena zenye idadi kubwa ya watu lkn ziko nyuma kimaendeleo.
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Acha unafique....fikiria kuhus mamake Eric kabendera,fikiria binti wa mawazo, fikiria mke wa azory gwanda,ndo uje ukomement upya hapa
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
hata tundu lissu na ben saa nane nao wana mama zao.kwa hiyo mama ake magufuli ndio mama bora au??? bora hilo shetani limekufa watu tuishi kwa uhuru.mama ake mwenyewe atakuwa amefurahi.nina uhakika mama ake na mke wake walikuwa hawafurahii ukatili aliokuwa anafanya.kwanza mkewe atakuwa amefurahi kuwa mjane kuliko kuishi na hilo ibilisi tena wamzike haraka tumsahau kabisa.mimi sihesabii kama Tanzania imewahi kuwa na rais anayeitwa magufuli
 
Uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.

Je, Serikali itaiendeleza?
Mambo ya Jiwe yametuacha tukiwa na maswali mengi sana 🤣 🤣
 
Mtoto wa mtu aliyepigwa risasi 38 kisha akaambiwa katoroka bila taarifa kwa Spika aliniuma sana.
Huyu si kajifia tu, mbona watu wanakufa kila siku na silii
akamvua na ubunge.na alitoa amri kwamba marufuku tundu lissu kuletwa dar bali akazikwe Singida haraka Sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] badala yake ametangulia yeye[emoji2][emoji2]
 
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Hivi Lissu enzi zile anateseka alikua mtoto wa mbwa? Jaman tusijifanye wasahaulifu so far wote wapitaji ila kuna dude lipo limevimba mashavu
 
Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Mama wa Been Saanane, Azory na wengineo waliopotea na kupatikana wakiwa wameshakufa na ambao hawakupatikana kabisa waliambiwaje?
 
Back
Top Bottom