mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Aachane nayo, namshauri auze ndege zote tujenge zahanati kila kijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mtu maarufu afe ndo ulie ama? Vipi kuhusu hao wengine mtaani wanaokufa kila siku? Sio watoto wa watu hao? Unafiki sio kitu kizuri. Muhimu ni kumuombea Mungu ampokee.Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Umefanya nimkumbuke marehemu Mama. ,Umeongea kiungwana Sana. Mola akujalie mapacha ili uzao wako uongezeke zaidiJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Acha matusi mkuu huko nako kuna watu sio wanyamaHii Miradi ambayo haijapitishwa na Bunge Rais wa sasa asiipitishe
ni wapi tuiiona Bajeti ya Reli ya SGR toka Mwanza, mara Daraja la Busisi hivi ni kwanini lisijengwe daraja ya Bagamoyo hadi Zanzibar, huko kwenye kupitisha Mbuga za wanyama kwa awamu hii iliyobaki pasipelekwe tena fedha kwani hazitalipa chochote
Asante sana. Hiyo comment nimetukanwa sana.eti kwani waliokufa hawakuwa watoto wa watu? Ndio walikuwa watoto wa watu lakini sisi ni akina nani tuseme mafufuli ndo aliwauwa direct? Kama walifanya wengine yeye akabeba nzigo kama employer's liability tuache Mungu amuhukumu.Umefanya nimkumbuke marehemu Mama. ,Umeongea kiungwana Sana. Mola akujalie mapacha ili uzao wako uongezeke zaidi
Una uakika wale sikulia? Nikwambie mm niko tofauti sana mm nina machozi ya karibu sana hakuna mtu nilishawahi ona video ya mazishi yake nisilie niwe namjua au nisimjue.Mpaka mtu maarufu afe ndo ulie ama? Vipi kuhusu hao wengine mtaani wanaokufa kila siku? Sio watoto wa watu hao? Unafiki sio kitu kizuri. Muhimu ni kumuombea Mungu ampokee.
Jamaniii
Niko karibu na chato kabisa.mpaka muda huu nina watu watatu wanataka wanifate twende mazishini. Marafiki zake jpmKulia umependa, msiba wa Mama Janeth kule Chato, wewe uko Tandahimba au Tunduru unajiliza. Unajifanya una machungu so ajabu hata hujui kesho utapata wapi japo mlo mmoja wa familia yako.
Fanya yanayokuhusu.
Acheni unafiki. Mnafiq mkubwa wewe.Asante sana. Hiyo comment nimetukanwa sana.eti kwani waliokufa hawakuwa watoto wa watu? Ndio walikuwa watoto wa watu lakini sisi ni akina nani tuseme mafufuli ndo aliwauwa direct? Kama walifanya wengine yeye akabeba nzigo kama employer's liability tuache Mungu amuhukumu.
Mm magafuri hajaniuma kama raisi. Ameniuma kama yeye sio kwa cheo chake.
Mimi sijazaa ila ntakuja kuwa na mtoto je likimtokea mwanangu si ntaumia vile vile?
Familiya yake siku anazikwa watakuwa katika hali gani?
Sio kwamba sijui waliokufa najua ila siwezi thibitisha kuwa aliwauwa yeye direct wenda ni chawa wake yeye akakubali kuwalinda chawa wake.
Hivyo basi tuache wahukumiwe wenyewe kwa makosa yao.
Wanawake tumeumbia huruma.
Na siku zote muombee adui yako aishi miaka mingi, asife bila kuona mafanikio yako
Maana ukifanikiwa adui yako ashakufa hatojua mafanikio yako.
Mm nimejikuta tu naumia tena naumia sana wakati nilikuwa simpendi kiviile, hata ukisoma coments zangu za humu sikuwahi mshabekia huyu mtu ila swala la kifo limenigusa mpaka nashangaa haya maumivu nayatoa wapi?
Hivyo basi sina chuki nae na juma pili namuombea misa kanisani apumzike kwa amani.
Nani aendeleze... white elephant projects. Zimekufa naeUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Hata kina Ben Saanane, Mawazo, Azory nao Walikuwa na wazazi wao na wao walisikia uchungu...Mwache familia yake na huyo mama yake nae asikie uchungu waliokuwa wanasikia wenzake ambao watoto wao walikuwa wanaokotwa kwenye virobaJamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Mijitu ya huko ni maskini sana ya roho na chuki wao kwa waoAcha matusi mkuu huko nako kuna watu sio wanyama