Nini hatma ya Muba na John wa kipindi cha Mkasi?

Location inazungumza, salon ni eneo la umbeya, huwezi kutaka kujadili mambo yenye mstakabali wa nchi salon.

Sasa tuseme hiyo ni assumption tu nyinyi mlio tafsiri salon kihivyo
wengine tunaweza kutafsiri salon hasa za kiume ni sehemu ya kujadili sports .
wengine politics na kadhalika...
 
Sasa tuseme hiyo ni assumption tu nyinyi mlio tafsiri salon kihivyo
wengine tunaweza kutafsiri salon hasa za kiume ni sehemu ya kujadili sports .
wengine politics na kadhalika...

Okay!

Sports 100% nakubaliana na wewe, ila politics labda 24%!
 
Mkuu mbona hata wewe unafahamika kama kilaza mjanjamjanja tu, au sio?
 
Ngabu kuna vitu sio lazima viandikwe kwenye sheria

Naam, hapo wala sina ubaishi. Au upo? Kuna sehemu nimebisha hilo?

Mkasi kwa sababu ya umaarufu wake na kuwa kipindi kinachotazamwa na watu wengi
kujadiliwa 'hakuepukikwi' na ndo maana hapa tuko tunajadili

Kabisa. Pia hapo sina ubishi.

Sasa yaweza kuwa hakuna walichokosea lakini watu ku demand the best na ku demand quality
haita epukika.....

Hilo nalo nalielewa vizuri kabisa. Na nakubali kuwa there is always room for improvement, hata kwa watu binafsi kama mimi na wewe.


Hapo ndipo ninapopishana na wewe.

Kwa nini isiwezekane kwa mbunge au waziri kwenda kwenye kipindi ambacho si cha serious issues za kisiasa, kiuchumi, na ki sera?

Ushawahi kukiangalia kipindi cha Churchill Live cha Kenya? Hebu mwangalie hapa Uhuru Kenyatta kipindi akiwa waziri wa fedha na naibu waziri mkuu. Wanaongelea nini hapo?


Huyu hapa Kalonzo Musyoka...makamu wa rais wa zamani wa Kenya. Anaongelea mambo gani hapo?


Huyu hapa Hillary juzi alienda kwa Jimmy Fallon...ni vicheko vicheko...hakuna u serious wowote ule.


Ubaya wa mbunge kwenda kwenye show kama Mkasi na kuongelea mambo ya kawaida yasiyo ya siasa uko wapi?

Kuna ubaya gani kwa mtu kama mbunge kuonyesha other side yake apart na hiyo nafasi yake ya ubunge?

Halafu hivi wapi walisema kipindi chao ni cha 'masikhara'?

Hiyo nimesema mimi kulingana na setting ya kipindi chenyewe. Kipindi kinarekodiwa kwenye barber shop/ beauty salon.

Kila kitu kiko laid back...kuanzia content hadi attire za hosts.

Ni wazi kipindi kama hicho si cha majadiliano ya hoja motomoto za kisiasa.

Ndipo nilipofikia hitimisho la kwamba ni cha kimasikhara [jambo ambalo wala si baya].
 
Wewe hujafikia kwenye umuhimu wa kutakiwa ubadilishe mtazamo wako.

Kama hujawahi kuniona nikijadili mada kwa mtazamo chanya, ama hujanisoma vya kutosha, ama hujui kusoma.

Hayo si matatizo yangu, ni matatizo yako.
 
Mkuu mbona hata wewe unafahamika kama ****** mjanjamjanja tu, au sio?
Umetukana, JF ime ku censor, hujaeleweka umetaka kuandika nini.

Kutukana ni ishara ya frustrations zilizochanganyika na kushindwa kujieleza.

Punguza frustrations, ongeza uwezo wa kujieleza.
 
Wewe hujafikia kwenye umuhimu wa kutakiwa ubadilishe mtazamo wako.

Kama hujawahi kuniona nikijadili mada kwa mtazamo chanya, ama hujanisoma vya kutosha, ama hujui kusoma.

Hayo si matatizo yangu, ni matatizo yako.

Nakuelewa mkuu, sana tu.

Itakuwa matatizo yangu ndo yameleta huu mtazamo wangu.
 
Wanakuona mshamba kwani hiyo scrubing wao wameijua lini?

Kwanini wanalazimisha? Ili waonekane wajanja wa mjini wakati pia wao wameiga/ wameletewa tu?

Je kuanzia mwaka 2010 kurudi nyuma walikuwa wanafanya scrubing kwny barber shops au hata kuajiri watoto wa kike?
 
Mkuu tu assume kweli Kiranga ana 'superiority complex'
je wewe utampinga kitu unachoona kina make sense kwa kuwa ni Kiranga?

hutakubali kuunga mkono hoja yake hata kama ni kitu unakikubali simply sababu mtoa hoja
'anajifanya anajua sana'?
Kwanza kumuona mwenzako ana superiority complex ni superiority complex.

Unajiona wewe ndi Zaidi yake na hutaki yeye awe zaidi yako ndiyo maana unasema ana superiorit complex.

Halafu, swali lako zuri sana. Kwa nini superiority complex iwe tatizo?

Kwa nini tusijadili mada, huyu mtu mwenye superiority complex anachotuletea kama ni sawa au si sawa, tulumbane kwa mada, kama huyu mtu mwenye superiority complex si lolote si chochote anajikuza tu, tutamshinda katika mada na kila mtu ataona hilo, kwa mada.

Bila ya majina ya superiority complex wala nini.

Ukianza majina ya superiorit complex unachosema kwa maana nyingine ni kwamba umeshindwa kujadili mada unaanza kufanya name calling.

Churchill once said timid people have much to be timid about.

I don't have much to be timid about, I am not timid.

Why do others want me to adopt their timid style of expression and be like them while I am a different individual?
 
Nadhani wanafanya hivyo [kulazimisha kiujanja] ili mteja ulipe zaidi.

Kwa uzoefu wangu, ukinyoa tu bei inakuwa ndogi zaidi.
 
Umeonaee mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] halaf bora mubah, huyo john maswali yalikuwa yanatia kichefuchefu cha moyo, inshort nilikuw simpend
Yule John akiwa muigizaji then akaigiza kama mfungwa atapata 100%
 
 
Well said...fine advice
 
Kuna dizain ya wasanii washamba wa namna hizo hasa bongo.

Au labda alikupenda huwezi jua
 
That psychic ish you got aint gonna work out well trust me.......how do you tell that he wanted your recognition maybe you had a booger in your nose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…