Location inazungumza, salon ni eneo la umbeya, huwezi kutaka kujadili mambo yenye mstakabali wa nchi salon.
Sasa tuseme hiyo ni assumption tu nyinyi mlio tafsiri salon kihivyo
wengine tunaweza kutafsiri salon hasa za kiume ni sehemu ya kujadili sports .
wengine politics na kadhalika...
Mkuu mbona hata wewe unafahamika kama kilaza mjanjamjanja tu, au sio?Kipindi kizima kilikuwa na utapiamlo wa elimu, ndiyo maana hata hao wakaweza kuwepo.
Salama anaweza kuuliza maswali au kusema vitu vya ovyoovyo vinavyoonesha kabisa tatizo la elimu ndogo.
Niliangalia kipindi kilichomuhoji January Makamba, nikategemea maswali magumu, nikawa disappointed.
Nikaambiwa nina high expectations, naangalia Mkasi huku nikitegemea maswali ya "Hard Talk" na "60 Minutes".Nikaambiwa hiyo ndiyo style yao.
Kuanzia hapo sijaangalia tena.
Ngabu kuna vitu sio lazima viandikwe kwenye sheria
Mkasi kwa sababu ya umaarufu wake na kuwa kipindi kinachotazamwa na watu wengi
kujadiliwa 'hakuepukikwi' na ndo maana hapa tuko tunajadili
Sasa yaweza kuwa hakuna walichokosea lakini watu ku demand the best na ku demand quality
haita epukika.....
Binafsi naona kama walitaka kuwa kipindi cha 'masikhara' basi wangekuwa wana interview wasanii zaidi
huwezi kum interview mbunge wa Africa mashariki au waziri...halafu 'useme tu' 'hiki kipindi cha masikhara'
watu mbalimbali watakuwa na expectations zao.....kulingana na watu husika wanao hojiwa
Halafu hivi wapi walisema kipindi chao ni cha 'masikhara'?
Wewe hujafikia kwenye umuhimu wa kutakiwa ubadilishe mtazamo wako.Nilichoandika juu ya wewe kuwa na Superiority Complex ni mtazamo wangu, na huwezi kuubadilisha.
Sijawahi kukuona ukijadili mada kwa mtazamo chanya, mara zote uko upande pinzani, labda huwa ukiona iko positive na mawazo yako unaona huna cha kuchangia.
Umetukana, JF ime ku censor, hujaeleweka umetaka kuandika nini.Mkuu mbona hata wewe unafahamika kama ****** mjanjamjanja tu, au sio?
Wewe hujafikia kwenye umuhimu wa kutakiwa ubadilishe mtazamo wako.
Kama hujawahi kuniona nikijadili mada kwa mtazamo chanya, ama hujanisoma vya kutosha, ama hujui kusoma.
Hayo si matatizo yangu, ni matatizo yako.
He hee hapo kwenye nyonyo hukutegeka kweli weweHalafu wakati anakusugua kidevu anakuwa anakugusagusa na nyonyo zake.
Mitego ya kitoto kweli hiyo.
Wanakuona mshamba kwani hiyo scrubing wao wameijua lini?Kuna jambo bado kulielewa kuhusu hizi barber shops za kibongo.
Ukienda kunyoa ukimaliza ni kama wanakulazimisha ufanyiwe ile sijui ndo wanaita scrub wenyewe.
Mimi huwa naweka bayana kabisa kuwa sitaki mengine zaidi ya kunyoa tu.
Lakini huwa naishia kuonekana mshamba. Huwa wananishangaa sana.
Matokeo yake nami huwa nawashangaa!
Tunabaki tunashangaana tu.
Kwanza kumuona mwenzako ana superiority complex ni superiority complex.Mkuu tu assume kweli Kiranga ana 'superiority complex'
je wewe utampinga kitu unachoona kina make sense kwa kuwa ni Kiranga?
hutakubali kuunga mkono hoja yake hata kama ni kitu unakikubali simply sababu mtoa hoja
'anajifanya anajua sana'?
Nadhani wanafanya hivyo [kulazimisha kiujanja] ili mteja ulipe zaidi.Wanakuona mshamba kwani hiyo scrubing wao wameijua lini?
Kwanini wanalazimisha? Ili waonekane wajanja wa mjini wakati pia wao wameiga/ wameletewa tu?
Je kuanzia mwaka 2010 kurudi nyuma walikuwa wanafanya scrubing kwny barber shops au hata kuajiri watoto wa kike?
Yule John akiwa muigizaji then akaigiza kama mfungwa atapata 100%Umeonaee mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] halaf bora mubah, huyo john maswali yalikuwa yanatia kichefuchefu cha moyo, inshort nilikuw simpend
Hahahaaa asee nimecheka sanaYule John akiwa muigizaji then akaigiza kama mfungwa atapata 100%
Unammaanisha Abdallah Ambua au Dullahsio muba . yule mchizi anaehoji pale enewz ni mshkaji flani hiv (nmemsahau jina)
Unammaanisha Abdallah Ambua au Dullah
Huyu anasema, hili ni jambo la mtazamo tu, halina maamuzi nani yuko sahihi.
Mtu akisema twende kumuua Freelancer, akakusanya watu wakaenda kumuua, na hapo aseme tu ni sahihi, huo ni mtazamo wao tu.
Kimsingi mabishano hapa ni kama kuna namna ya kupima mambo haya tukaona kipi ni sahihi na kipi si sahihi na kama hamna namna hiyo.
Hata kama hukumu ya OJ watu wengine waliikataa, hilo tu halina maana kwamba haikuwa sahihi.
Hata kama mahakama huwa zinaamua kesi kwa makosa, hilo halina maana kwamba hakuna njia ya kuhukumu kisahihi
Huyu Freelancer ananiambia huwezi kumhukumu mtangazaji wa kipindi kwa sababu hii ni sayansi ya jamii, haina namna sahihi au mbaya ya kufanya mambo, inategemea tu na unayemuuliza.
Ni njia ipi hiyo ya kuhukumu kisahihi ukiacha mahakama?
[/[emoji108] ][[emoji108] ]
Well said...fine adviceKama kiranga akikubali kupokea hoja za upande wa pili mjadala unaweza kuwa wenye manufaa sana.
Mtu kuamini kile anachoamini ni jambo zuri sana lakini pia ruhusu hoja kadhaa za upande usiouamini kama changamoto uone kama zinaweza kukujenga kwa namna moja ama nyingine
Waolewe tu mda ushafika
Kuna dizain ya wasanii washamba wa namna hizo hasa bongo.Huyo muba anapenda recognition maskini kuna siku nlikua niko Kwa sele bonge kakaaa anapiga stori yani ukimpita yeye ndo anakushangaa sijui ili akamate ur attention umshangae af ujue huyu si flani!Jana posta tena naingia stationary namkuta anapiga stori na wadada wa pale akaacha akaanza kunikazia macho wala sikushtuka kama namrecognize.Nadhani anataka ukimuona ushangae kumuona staa.
That psychic ish you got aint gonna work out well trust me.......how do you tell that he wanted your recognition maybe you had a booger in your noseHuyo muba anapenda recognition maskini kuna siku nlikua niko Kwa sele bonge kakaaa anapiga stori yani ukimpita yeye ndo anakushangaa sijui ili akamate ur attention umshangae af ujue huyu si flani!Jana posta tena naingia stationary namkuta anapiga stori na wadada wa pale akaacha akaanza kunikazia macho wala sikushtuka kama namrecognize.Nadhani anataka ukimuona ushangae kumuona staa.