usipofika chuo kikuu unakuwa na elimu ndogo kumbe??!!Kipindi kizima kilikuwa na utapiamlo wa elimu, ndiyo maana hata hao wakaweza kuwepo.
Salama anaweza kuuliza maswali au kusema vitu vya ovyoovyo vinavyoonesha kabisa tatizo la elimu ndogo.
Niliangalia kipindi kilichomuhoji January Makamba, nikategemea maswali magumu, nikawa disappointed.
Nikaambiwa nina high expectations, naangalia Mkasi huku nikitegemea maswali ya "Hard Talk" na "60 Minutes".Nikaambiwa hiyo ndiyo style yao.
Kuanzia hapo sijaangalia tena.
Kusrma kweli hakuna kitu kinachi scream superiority complex zaidi ya "i keep planets in orbit" i was like [emoji32] [emoji32] okaaayTafsiri yangu kwa mtu wa aina yako ni kwamba you have a Superiority Complex, ambayo kila wakati unataka kuijustify, unatumia nguvu sana kutaka utambulike kwamba uko juu ya wengine (wote ikiwezekana).
Huo ni mtazamo wangu, BTW nainjoi sana kuona unavyokuwa unatetea points zako kwa nguvu nyingi, halafu wakati mwingine inakuwa ni kwa kitu ambacho hata hakikuhitaji nguvu nyingi namna hiyo.
Huyo muba anapenda recognition maskini kuna siku nlikua niko Kwa sele bonge kakaaa anapiga stori yani ukimpita yeye ndo anakushangaa sijui ili akamate ur attention umshangae af ujue huyu si flani!Jana posta tena naingia stationary namkuta anapiga stori na wadada wa pale akaacha akaanza kunikazia macho wala sikushtuka kama namrecognize.Nadhani anataka ukimuona ushangae kumuona staa.
sorry kwa sele bonge ndo wapi?
Duh!
Bossman hupajui kwa Sele Bonge?
Pande za Kino...
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Wewe ni Kiranga bana. Mwenye vigezo vya juu na vya kipekee.
Nashangaa hata ulipoteza muda wako kuangalia kipindi cha 'barber shop talk'.
Hicho hakikuwa saizi yako. Wewe huna saizi yako. Labda kama saizi yako ni wewe mwenyewe.
Kwa nini usianzishe kipindi chako halafu ukawa unajialika mwenyewe na kujifanyia mahojiano mwenyewe na wakati mwingine hata kujifanyia mdahalo wako mwenyewe?
Nadhani kinaweza kuwa a ratings bonanza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Katika ulichonukuu, wapi pametajwa chuo hapo?usipofika chuo kikuu unakuwa na elimu ndogo kumbe??!!
ndio kaka jambaziKatika ulichonukuu, wapi pametajwa chuo hapo?
Au unakisia tu kwamba mtu akiongelea elimu anaongelea chuo kikuu?
N kwel mkuu maana vipnd ving vya Clouds media wana copy na ku pest EatvWewe ndio hujui unachoongea kwa taarifa yako mkasi tv walipata sponsors, hata kipindi chenyewe hakijaanza kurushwa yaani idea Ipo tu kwenye karatasi wadhamini wakatoa mpunga. Navofahamu Mimi Tz kuigana kwingi sana, mfano idea yote na content ya kipindi imeigwa na clouds ( zamaradi). That's why wamekuja na kipindi kipya ngaz kwa ngaz angalia ubunifu uliomo mle unajua mtu akifanya vizuri mpe hongera zake though mapungufu hayawez kukosena.
labda alikunok we ujui tu..... Zar ilo mdadaHuyo muba anapenda recognition maskini kuna siku nlikua niko Kwa sele bonge kakaaa anapiga stori yani ukimpita yeye ndo anakushangaa sijui ili akamate ur attention umshangae af ujue huyu si flani!Jana posta tena naingia stationary namkuta anapiga stori na wadada wa pale akaacha akaanza kunikazia macho wala sikushtuka kama namrecognize.Nadhani anataka ukimuona ushangae kumuona staa.
Kunok ni nini?labda alikunok we ujui tu..... Zar ilo mdada