Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
kweli kabisaUchoyo na ubinafsi ambao unamkuta binadamu kutokuwa tayari utamu anaoupata kwa mwenzi wake asiufaidi mtu mwungine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisaUchoyo na ubinafsi ambao unamkuta binadamu kutokuwa tayari utamu anaoupata kwa mwenzi wake asiufaidi mtu mwungine
Bas sawa mkuuHuo ni wa kawaida mkuu!!! Utapitiliza pale ambapo utamkataka kua na marafiki wengine wa kiume!!!
Mparestina: Nasikia niasili yenu.Atakayekuja kunipata mimi atafurahi sana i real know how to invest in love halafu nina kipaji cha kudekeza[emoji23] [emoji144]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Mparestina: Nasikia niasili yenu.
Ukipewa hela unafikisha ila sio mke wa mtu hafiki salama.
[emoji28] kwa binadamu mchunguMkuki kwa nguruwe sio
Uchi katumia wa kwake, hajabakwa kajipeleka mwenyewe wewe unaumia nini kama sio uchoyo haupo tayari vitu vitamu avile na mwenzakokweli kabisa
Ndio mkuu. Ila mimi nna wivu pia kwa manzi angu ila sio kwamba nadhani anachepuka no, yani sometimes nikiwa nae alafu akawa anaongea na mtu hata ndugu yake au maza ake nakuwa na kawivu fulani yani nataka attention yake yote iwe kwangu yani akiwa na mimi dunia yake isimame na mimi nisimamishe yangu iwe ni mimi na yeye tu
Muda mwingine wivu unasababishwa na ile hali ya mtu kupenda kupita kiasi...Anahisi akimuachia hivihivi upendo utapungua..
Inshort, sababu zipo nyingi na inategemea na status ya relationship..
me huwa nawashangaa sana wanaume wenzangu wanaokua na wivu kwa wapenzi wao...unakuta lingine kubwa zima na ndevu zake linajiliza eti kisa galfriend kalikimbia...ni utaahira.
AiseeeeeLol Kumbe nawewe ni victim wa hii kitu mkuu khakhaakhaa mimi wivu wangu ni balaa yani balaa balaa
Mi napenda mwenye wivu mkuu napenda mimiAsilimia 90 ya wanawake wa sasa hawapendi wanaume wenye wivu hii inatokana na ukweli kwamba wanajijua tabia zao......Duniani hakuna mwanaume asiye na wivu Mtaishia kwenye majaba watu washachoka!