Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingatia jibu hiliJanjaro kama uwezi kuzishinda tamaa zako tafuta pisi yako moja inayoeleweka utulie nayo, huko kuruka ruka na wengi kutakugharimu. Totoz za chuo zina mengi sana usisahau kuchukua tahadhari kabla ya kuanza kusema "ningejua".
NB: Hakuna tuzo ya hayo mambo hata upite nao chuo kizima. Kujiheshimu ni muhimu.
Asipoelewa shauri yake.Unachokifanya ujanani mwako ndicho kitakacho amua kua uzeeni mwako kama ucheze Golf au ucheze Draft,
Yangu ni hayo tu.
Afuate muongozo huo kama kweli aliona ni muhimu kuomba ushauri kabla ya kufanya maamuzi.Zingatia jibu hili
Ni jibu sahihi sana
Tunaomba Jf watuwekee namna ya ku-rate majibu
Now days wanawake ni energy vampires wa wanaume,Wakuu.
Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa.
Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio.
Sasa nimeenda chuo the same girls na wengine wengi nimejaribu kuwatongoza hawakatai,
Ninawaza nianze rasmi kuwachakata mmoja baada ya mungine, na kutafuta wengine zaidi , dah hii sijui ni roho ya kishetani inanishawishi.
Lakini nikakumbuka kuna jamii ya wanajf, kabla sijaingia kwenye hio dunia ambayo sasa naona nina soko , naombeni mawili matatu wakuu, tafadhali sana.
sawa mkuu✌️Usilie sana fundi nyamaza ukilia utatuliza wengi