Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Utafiti unaonyesha kuwa hapo kwenye mwezi tu hakuna hewa ya oksijeni.Hao waliotua mwezini miaka ya 1976 back ward walijibebea hewa ya oksijeni.So kama kwenye sayari nyingine kuna viumbe kabda kwa mfumo mwingine wa maisha na sio huu kwa sababu huko hakuna hata maji. Kama mahali hakuna maji ni jangwa.Nilifurahia sana jamaa mmoja hapa jf intelligence alieleza sana akasema kama wapo viumbe wengine watakuwa sio CARBON BASED Kama sisi bali labda SILCON BASED N.K Maana yake ni kwamba wanaopumua hewa nyingine. Lakini tujiulize kama mwezini hapo karibu ukilingasha na sayari nyingine hakuna hewa je huko ipo?Ni kwa zaidi ya miaka 40 wana anga (astronauts) wanafanya utafiti na hawana majibu. So naamini kama kuna mengi yatakayofahamika kuhusu SPACE sio kwa kizazi hiki.ACHENI MUNGU AITWE MUNGU. UTUKUFU UWEZA VINA YEYE MILELE NA MILELE AMINAAA!
Kuna vitu kama mutation na adaptations, binadamu wa kawaida anaweza kuadapt au kupata mutation itakayo mfanya aweze kuishi bila kutumia oksijeni. Mwaka 1654 Galileo Galilei alitengwa na kanisa pamoja na kufungwa kifungo cha ndani baada ya kusapoti heliocentric theory iliyosema dunia pamoja na sayari zingine ndizo zinazozunguka jua na sio jua kuizunguka dunia.

Theory hii ilipingwa vikari na kanisa Catholic. Hata hivyo baadae walikuja kuomba msamaha na kuregret kwa kumtendea vibaya bwana Galileo. Lolote linawezekana.
 
Kuna vitu kama mutation na adaptations, binadamu wa kawaida anaweza kuadapt au kupata mutation itakayo mfanya aweze kuishi bila kutumia oksijeni. Mwaka 1654 Galileo Galilei alitengwa na kanisa pamoja na kufungwa kifungo cha ndani baada ya kusapoti heliocentric theory iliyosema dunia pamoja na sayari zingine ndizo zinazozunguka jua na sio jua kuizunguka dunia. Theory hii ilipingwa vikari na kanisa Catholic. Hata hivyo baadae walikuja kuomba msamaha na kuregret kwa kumtendea vibaya bwana Galileo. Lolote linawezekana.
Kwenye blue hapo unaweza kulithibitisha?
 
Sayari nyingine ni just gases. Kwa mfano Jupiter is just gas. Mars inasemekana zamani watu walikuwa wanaishi,wakapigana,wakaiharibu,wakahama. Lakini hata sasa wanaweza kuwepo watu Mars ndani ya sayari,kama vile ambavyo wapo watundani ya dunia.

Chief; watu au viumbe?!
 
Nakumbuka miaka ya 90'alianguka MTU mmoja pande za USA ,MTU yule alikua was ajabu mpaka rais wa marekani Bush alikua wa ajabu ss labda alitoka pande za sayari mojawapo


Wametufunga kamba tu, kwanini aangukie Marekani, angeangukia Bigwa ndio tungeamini.
 
kutokana na hali ya kimazingila kiumbe kilocho umbwa kwa mfumo wa upumuaji lazima kinatumia oxgyen au carbondioxide na ndo hewa zinazo patikana kwenye dunia ndio maana viumbe walipo ingia katika sayar hizi walistahimili kwenye dunia mpaka sasa hizo sayari nyingine zina surface lakin hewa ndo sio rafiki kwa binadam na viumbe hai ingawa labda kidogo sayar ya MARS
 
evolution of atmosphere and ocean katika sayari nyingine kwanini hairingani na iliyokua katika dunia? Pengine tungekua na viumbe kama wa dunia katika izo sayari ilhali sayari zooote katika solar system zimetokea katika BIGBANG explosion... Moja kati ya theory inayoaminika kwa sasa
 
Jumla ya viumbe waliopo ulimwenguni ni 999 na bnadamu anakamilisha jumla ya viumbe 1000, kwenye maji kuna viumbe 600 na waliobaki ni kwingineko.
 
thes16175088 said:
Kwenye blue hapo unaweza kulithibitisha?
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na kuongezeka kwa hewa ya carbon duniani kumezuka magonjwa mbali mbali yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira kwa ujumla. Kadri muda unavyoenda watu wengi watawatakufa kutokana na matatizo hayo, na baadhi watadevelop genetic mutation taratibu wataadapti mabadiliko hayo na kuweza kurespire carbon instead of oxygen or both of them simltenously, na baadhi wanaweza kuishi in absence of oxygen /anaerobically.

Vyote vinawezekana japo vitachukua millions of years kutokea.
 
Duh.... Ulimwengu ni mkubwa aiseee
HIVI ANGA (SPACE) LINA UKUBWA GANI? NA MWISHO WAKE NI WAPI?KUNA UTAFITI WOWOTE ULIODOKEZA KUHUSU UKUBWA WA SPACE.MAANA MIE NAJIULIZA SANA INAKUWAJE SPACE ISIWE NA MWISHO. NANI MWANASAYANSI ATUJUZE?
 
HIVI ANGA (SPACE) LINA UKUBWA GANI? NA MWISHO WAKE NI WAPI?KUNA UTAFITI WOWOTE ULIODOKEZA KUHUSU UKUBWA WA SPACE.MAANA MIE NAJIULIZA SANA INAKUWAJE SPACE ISIWE NA MWISHO. NANI MWANASAYANSI ATUJUZE?
Space ni infinite hakuna tafiti ama ushahidi wa kisayansi inayoonyesha kuna mwisho wa space.
 
Mbona wanasayansi wameenda sana kwenye sayari mbali mbali lakini hawakuja na mrejesho kama huo mtazamo wako.
Wameenda kwenye Sayari zipi?, So far chombo kinachojulikana kiko kwenye sayari nyingine ni Rovers cha NASA, ambacho kinaketa picha huku duniani na Bado mpakà sasa hakuna evidence ya nguvu inayoonyesha kuwepo viumbe huko
 
Wameenda kwenye Sayari zipi?, So far chombo kinachojulikana kiko kwenye sayari nyingine ni Rovers cha NASA, ambacho kinaketa picha huku duniani na Bado mpakà sasa hakuna evidence ya nguvu inayoonyesha kuwepo viumbe huko
Nahitaji kufahamishwa zaidi kuhusu icho chombo... kinaendeshwa vipi? na wataalamu wanaocontrol icho chombo ni wanatoka nchi gani?
 
Nahitaji kufahamishwa zaidi kuhusu icho chombo... kinaendeshwa vipi? na wataalamu wanaocontrol icho chombo ni wanatoka nchi gani?
Mkuu kiujumla hivi vyombo vinaundwa kwa mtindo wa robotic flani hivyo inahusisha pia field Kama artificial intelligence kwa hiyo spacecraft inakuwa na communication antenas pamoja na sensors tofauti tofauti Kama vile camera kwa mfano mars rover inatumia high frequency Sana ambazo ni X band radio wavelength kiasi cha kwamba yenyewe antenna zake si kubwa, nadhani Kama wewe ulishawai fuatilia maswala ya satellite tv nadhani ulishawahi sikia vitu Kama ku-band c-band kwenye maswala ya ungo na satellite tv, x band ni aina ya njia zingine za wavelength katika kuwasiliana na hizo spacecraft zilizopo anga za mbali zamani nyingi zilitumia s band kwa ajili ya kucontrol spacecraft.
 
ZINA VIUMBE VINAVYOISHI KIKUBWA NI UWEPO WA HEWA NA NGUVU YA UVUTANO.

CHIMBUKO LA VYOTE HIVYO NI UWEPO WA GIZA NA NURU/JUA,SAYARI ZOTE ZINA VIUMBE
VINAVYOISHI KWA JINSI YA MAZINGIRA YA SAYARI HUSIKA.
MFANO:- SISI BINADAMU JOTORIDI LETU NI BELOW 40,LAKINI KUNA VIUMBE AMBAO HATA
UKICHEMSHA MAJI,MAFUTA AU KIMIMINIKA CHOCHOTE HAKIFI TOFAUTI NA KUCHOMA
MPAKA JIVU.

HAYUMKINI KUWEPO KWA SAYARI HIZO NI MOJAWAPO YA UWEPO YA DUNIA,KWANI ULIMWENGU WOTE
NI KITU KIMOJA KINACHOFANYA KAZI MOJA.
UWEPO WA SAYARI ZOTE NA NYINGINE ZISIZOJULIKANA UNAKAMILISHA UWEPO WA ULIMWENGU,KAMA
AMBAVYO BINADAMU ANAVYOISHI NA VIUMBE WENGINE MFANO WADUDU,NDEGE,WANYAMA PORI NA VIUMBE
WENGINE WENGI WANAOONEKANA KATIKA GIZA NA WASIOONEKANA KATIKA MWANGA AU WASIOONEKANA KABISA AU KUGUSA LAKINI UWEPO WAO UNAMAANISHA HAKUNA UTUPU KABISA KATIKA SAYARI.

KIMANTIKI/LOGICAL NI KUWA HATA HIZI MOVING AIR/HEWA INAYOSAFIRI/UPEPO NI
MOVEMENT ZA VIUMBE WASIOONEKANA KUTOKA SAYARI HIZO TUNAZOSEMA LABDA HAZINA VIUMBE KUJA KATIKA SAYARI YETU,KINACHOBADILIKA NI MEDIA/UWEZO WA UTAMBUZI MFANO:- SISI BINADAMU TU SOLID/LIQIUD OBJECTS LAKINI WAO NI AIR-OBJECT WAKIWA DUNIA LAKINI NI SOLID/LIDQIUD OBJECT WAKIWA KATIKA SAYARI ZAO.
HIVYO BASI TIKETI MOJAWAPO YA SISI ILI TUENDE UKO WALIPO WAO NI KUACHA MIILI YETU/KIFO NA ILI WAO WAJE HUKO NI LAZIMA WAWAINGILIE WATU EITHER KWA UZURI AU KWA UBAYA KUTEGEMEANA ROHO YA MWANADAMU/KIUMBE HUSIKA.
 
Mkuu kiujumla hivi vyombo vinaundwa kwa mtindo wa robotic flani hivyo inahusisha pia field Kama artificial intelligence kwa hiyo spacecraft inakuwa na communication antenas pamoja na sensors tofauti tofauti Kama vile camera kwa mfano mars rover inatumia high frequency Sana ambazo ni X band radio wavelength kiasi cha kwamba yenyewe antenna zake si kubwa, nadhani Kama wewe ulishawai fuatilia maswala ya satellite tv nadhani ulishawahi sikia vitu Kama ku-band c-band kwenye maswala ya ungo na satellite tv, x band ni aina ya njia zingine za wavelength katika kuwasiliana na hizo spacecraft zilizopo anga za mbali zamani nyingi zilitumia s band kwa ajili ya kucontrol spacecraft.
Shukrani sana mkuu..
 
Space ni infinite hakuna tafiti ama ushahidi wa kisayansi inayoonyesha kuna mwisho wa space.
Are you acquainted with Olber's paradox?

Kama ombwe ingekuwa haina kikomo basi kusingekuwa na usiku,kuna usiku hivyo ombwe ina ukomo
 
Back
Top Bottom