Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Nini kazi ya hizo Sayari zilizobaki ukiondoa Dunia?

Sawa mkuu ila tu nilijarubu kuchambua solar yetu na ni kwamba haina sayari kumi zipo Nane pia kila kingaacho kama nyota si kuwa ni star complete zingine ni miale iliyokuwa inasafiri sasa imetumia miaka mingi kuufikia uso wa dunia miale hio huletwa na mlipuko wa supernova ,Nyota ktk galaxy yetu ya milk way ni zaidi ya million nyingi na ktk observable universe ni zaidi ya mabilions .........narudia kusema kuwa tupo peke etu ktk ulimwengu ina ukakasi but ktk solar yetu tupo alone. galaxy ni mkusanyiko wa nyota

Labda si vibaya kuangalia habari kadhaa za mimsingi zinazopatikana hata kwa Kiswahili kwa mfano hapa
* Mfumo wa jua - Wikipedia, kamusi elezo huru
* Sayari - Wikipedia, kamusi elezo huru
* Nyota - Wikipedia, kamusi elezo huru

na kwa vichwa mbalimbali
*Jamii:Astronomia - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Haha you have made me laugh my friend. Wanasayansi wanasema mwanga tu unachukua miaka milioni kibao(light years) kufika na unajua hakuna kitu chenye kasi zaidi ya mwanga mpaka sasa. Je binadamu tutafika baada ya muda gani huko kwa hizi space ships zetu? Na hata ikitumwa kwenda kwenye nyota nyingine ikifika na kurudi itamletea nani taarifa maana wote tutakuwa tumeshakufa.
Vizazi vyetu vitakavyokuwepo wakAti huo, kama ile move ya interstellar, walianza wakina matt Damon na LAZARUS"" wakawa wanatuma signals kwa kutumia beacons ,then wakina copper na wenzake wakafuatilia na kumalizia mchezo kwa ku-solve puzzle
 
Kwani neno kiumbe maana yake nini? Mungu ameumba viumbe tunavyoweza kuviona na tusivyoweza kuviona, tena hata tunavyoweza kuviona anaruhusu mwenyewe kuviona/kuvumbua/gundua kutokana na wakati. Mfano Mwanzo ilijulikana dunia ni kama meza, kumbe ni mviringo. Kuna watu walitangaza laana kwa wale walokwenda kwenye mwezi kwa kuwa wanaenda kumchokoza kwenye makao yake, walifikiri mbinguni ni juu ya utosi wao, leo ni safari za kawaida. Na vyombo vya masafa vipo zaidi ya Pluto sayari iliyozaniwa ni ya mwisho kumbe zipo nyingine kibao kwa jina la Gallaxy, kuna wakati Joshua 'alisimamisha jua', kumbe dunia ndo iliacha kuzunguka, jua halitembei wala kuzunguka!Mungu hashindwi kitu, Funguka ufahamu!kuna viumbe kama nyungunyungu wanaishi ardhini,hewa wanapate, lkn wanaishi,kuna bacteria,virus etc, mfumo wao wa kuishi ni tofauti kabisa na sisi, funza chooni, seal chini ya maji ambayo juu yameganda barafu huko Canada, Alaska nk. Wameanza kuonekana UFO, Alliens nk. Kuna Wanefil na Waanaki nk. Je majini,Shetani,Maroho,Mizimu,Voudoo, Angles etc. Nenda kwa ma Yoga na Budhaa(google) huko ndo utachanganyikiwa! Naamini, vile Mungu aliziumba hizo sayari pia kunaweza kuwa kuna viumbe vya namna yake, ni jambo ka wakati tu kuvigundua tena pale atakapotufunulia Yeye.
Kuna sehem nlisoma , wanadai mpaka sasa hakuna binadam amefika mwezini kutokana na mazingira yake. Na zile picha wanatuonyesha ni za uongo, zilichukuliwa area 51 nako kuna gravitation force ndogo, nlishindwa kukubali wala kukataa. mkuu kama unajua lolote tafazali saidia hapa
 
Kuna sehem nlisoma , wanadai mpaka sasa hakuna binadam amefika mwezini kutokana na mazingira yake. Na zile picha wanatuonyesha ni za uongo, zilichukuliwa area 51 nako kuna gravitation force ndogo, nlishindwa kukubali wala kukataa. mkuu kama unajua lolote tafazali saidia hapa
Kuna dogo alisoma Purdue, Chuo alichosoma Neil Armstrong (the first person to walkbon the moon). Anasema walijadili sana hili. Wakaja ku conclude kwamba kama kweli Wamarekani hawakukanyaga mwezini, kipindi kile kulikuwa na ushindani sana kati ya Wamarekani na Warusi. Warusi walikuwa na mawasiliano karibu yote ya Wamarekani ambao walikuwa wahasimu wao.

Kulikuwa na ushindani wa jadi wa "Space War" kati ya Warusi na Wamarekani. Ikumbukwe kwamba Warusi waliwahi kufika anga za huu na Yuri Gagarin kabla ya Wamarekani. Kwa hiyo, kama Wamarekani wangekuwa wame fake hiyo moon landing, Warusi wangewa expose kuinyesh uongi wao.

The moon is actually very near when you put things in perspective. It is actually our doorstep.

The fact that one would think we can't get there and would fake a moon landing says more about the sense of pessimism and ignorance if that person than anything else.

Since we started broadcast (Marconi), the signals have traveled about 200 light years.

Why would a trip to our doorstep surprise anyone?

Frankly I would be surprised if with all the tech we have, we have not ventured to the moon.
 
Tuna safari ndefu sana binadamu kuweza kuelewa haya mambo,kumbukeni its not even 500 yrs ago binadamu tulikuwa hatujui kati ya dunia na jua nani anamzunguka mwenzake,take a break people then come back after 1000 yrs nina uhakika mengi ya maswali yenu yataweza kujibiwa kirahisi tuu na kwenda Jupiter itakuwa safari ya nusu saa tuu
 
kazi ya jupiter ni kubwa sana yaani inatuzuia tusije pata mvua ya vimondo hiyo ni kutokana gravity yake...

kumbuka kuna asteroid, hizo ni sayari ndogo zinazopatikana ktkt ya mars na jupita, na zinaonekana Imekaa kama barabara, ambazo ndio zinazo tenganisha sayari za ngumu za kwanza kutoka upande wa jua ambazo ni melikiuri, venasi, dunia,na maazi. ktkt ndio asteroid zimejipanga kama uzio. halafu ndio zinafuata sayari za nje kuanzia jupita hadi pluto, na inasemekana kuna sayari nyingine ndogo imegundulika baada ya pluto .

kwa kuzungumzia viumbe tujaribu kufikiria kua kuna sayari inaitwa SATURN, kwa mfano. inaonekana jina lenyewe tu tayari inaonyesha kwenye sayari hiyo kuna viumbe vya kutisha.
 
Kuna dogo alisoma Purdue, Chuo alichosoma Neil Armstrong (the first person to walkbon the moon). Anasema walijadili sana hili. Wakaja ku conclude kwamba kama kweli Wamarekani hawakukanyaga mwezini, kipindi kile kulikuwa na ushindani sana kati ya Wamarekani na Warusi. Warusi walikuwa na mawasiliano karibu yote ya Wamarekani ambao walikuwa wahasimu wao.

Kulikuwa na ushindani wa jadi wa "Space War" kati ya Warusi na Wamarekani. Ikumbukwe kwamba Warusi waliwahi kufika anga za huu na Yuri Gagarin kabla ya Wamarekani. Kwa hiyo, kama Wamarekani wangekuwa wame fake hiyo moon landing, Warusi wangewa expose kuinyesh uongi wao.

The moon is actually very near when you put things in perspective. It is actually our doorstep.

The fact that one would think we can't get there and would fake a moon landing says more about the sense of pessimism and ignorance if that person than anything else.

Since we started broadcast (Marconi), the signals have traveled about 200 light years.

Why would a trip to our doorstep surprise anyone?

Frankly I would be surprised if with all the tech we have, we have not ventured to the moon.
Asante sana mkuu, ngoja nami nijaribu kufatilia
 
Kuna maelfu ya sayari zimegunduliwa zikizunguka nyota (jua ni nyota).

Na makaditio ni kwamba kuna mabilioni ya sayari katika ulimwengu, ambazo kati ya hizo, mamilioni zina uwezekano wa kuwa na conditions kama za dunia.

Mkuu Kiranga,
you could be right, jisomee hii kitu:

Two years ago, WikiLeaks released secret cables that disclosed information about ETs in our solar system. Documents released by Wikileaks, offered hints about aliens and extraterrestrial presence. Recently, NASA, accused of hiding alien life, accepted that we are not alone in the universe and if all goes as planned, we will meet aliens in a decade or two.

Wikileaks documents didn’t bring down government or agencies implicated in the cover-up, but it did tell us, before NASA, that there exists extraterrestrial life. Here’s the proof:

This cable comes from the year 2006, from the American Embassy in Vilnius, Lithuania. The statement was made by Albinas Januska, who at the time, was appointed adviser to the Lithuanian Prime Minister. Prominent Lithuanian politician says that there are a “group of UFOs, who are making influence from the Cosmos.” That “there exists a decreasing group of persons, who are trying to rationally analyze the situation and objectively evaluate what is happening.


source: Wikileaks Confirmed In 2013, What NASA Was Hiding Till 2015 – Aliens Are REAL
 
Kuna sayari ya:
Mungu
Malaika
Watakatifu
Marehemu
Mashetani
Viumbe hai wasio binadamu ( hawa ni kwa ajili ya makumbusho) n.k

Tatizo tuu hawaonekani kwa macho na vyombo vyao.

Hint: Ukitaka kuamini jiulize kwa nini kule hakuna migomba wala mihogo kama kwenu.
 
Kwa hali hiyo ni kitu hakiwezekani.hata wakigundua chombo chenye kasi mara milioni moja ya kasi ya mwanga muda wa kufika huko ni zaidi ya miaka mia maisha ya huyo binadamu yatakuwa yameishia njiani!Hivyo hilo libaki kwenye mawazo tu! kwanza hatutakiwi kufika huko. Sisi tusubiri nchi ya ahadi tu!!!!
Kwa hali hiyo ni kitu hakiwezekani.hata wakigundua chombo chenye kasi mara milioni moja ya kasi ya mwanga muda wa kufika huko ni zaidi ya miaka mia maisha ya huyo binadamu yatakuwa yameishia njiani!Hivyo hilo libaki kwenye mawazo tu! kwanza hatutakiwi kufika huko. Sisi tusubiri nchi ya ahadi tu!!!!
According to what have already been reported until now haiwezekani. Labda in a spiritual world ambapo roho inaweza kwenda umbali mkubwa sana in just a matter of eye twinkling.
 
Ukipata jibu Kabla hujazaliwa ulikuwa wapi na ukifa unakwenda wapi , basi pia majibu ya maswali ya uumbaji yatakuwa rahisi pia. Nani anajua kwamba waliokufa pia wanajiona wapo hai kwenye dunia yao?

Na je mtu atajijuaje kama kashakufa ama yupo hai? Unaweza kuwa unachangia mada hapa kumbe ulishakufaga siku nyingi ila hujijui tu. Hizi zote ni Siri za uumbaji - beyond human thinking...
 
in theory some wormholes joining two black holes are possible shortcuts.

But the technology to navigate through them is even more complicated than anything we can think of thinking of in the next hundred years.
Hapo hujaeleweka vizuri kuhusu hiyo shortcut ya blackholes hebu fafanua vizuri kwanini inashindikana? Na hiyo black hole inapitika?
 
Back
Top Bottom